Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Tusipoteze Muda Twende Moja Kwenye Moja Kwenye Majina Yao 1. Abigail Chams - Kazaliwa May 7, 2003 Label : Rockstar Africa 2. Yammi - Kazaliwa May 12, 2002 Label : The African Princess 3. Bruce...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwanza natanguliza hoja kwamba sina chuki yoyote na huyo jamaa kwa sababu hata silijui lolote linalomhusu bali pia nampongeza kwa kuhamasisha morali ya wachezaji wa Taifa Stars kwa kuhudhuria...
6 Reactions
100 Replies
15K Views
Mwezi Septemba mwaka jana CEO wa lebo ya WCB na mwimbaji wa Bongofleva, Diamond Platnumz akiongea na DW Africa alithibitisha kununua ndege binafsi (private jet) kwa lengo la kile alichoita ni...
8 Reactions
38 Replies
4K Views
Habari wana jf ,nani mkali kati Chino kidd vs Msami.
2 Reactions
53 Replies
4K Views
Nauliza tu sio kwa ubaya kwanini Diamond Platnumz amemtenga mtoto wake aliyezaa nae Hamisa Mobeto?
3 Reactions
164 Replies
25K Views
Huyu dogo mpopo Ruger kutoka kwa wapopo huko Naija ni wamoto sana. Nimekuwa mfuatiliaji wa mangoma ya wapopo kwa muda sasa wacha niseme huyu yanki ana toa mikwaju ya moto sana. Toka kwa mkwaju...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Baada ya mashabiki kumsakama kwa muda mrefu kuhusu muonekano wake na sura kiujumla, mwanamuziki kutoka Tanzania House Of Talent (THT) Maua Sama aonesha niya yake ya dhati kuhusu kubadili muonekano...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Binafsi zaidi ya mara Tano ( 5 ) au Saba ( 7 ) nilimsikia na kumuona mara kwa mara alipokuwa akihojiwa akisema kuwa hatokuja Kuvaa Viatu kamwe na kwamba sehemu zote atakazokuwa anaenda au...
1 Reactions
51 Replies
9K Views
Sijui ni uchawa au kujitoa akili. Mpoto amepitia chuo cha sanaa Bagamoyo ila nadhani alifeli. Najua anatumia stail ya kughani majigambo katika fasihi Kero yangu ni kwamba kwenye mikutano ya...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
Kuna kitu special kilichopo ndani ya huyu mdada. Despite na uigizaji na uandaji mbovu wa filamu bongo lakini unapokutana na huyu mtu hata kama umekosea chaneli lazima utafurahishwa na uigizaji wake.
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Kipindi hiko miaka ya miaka ya 2002-2003 huyu dada alitamba na kibao chake Cha songa mbele. Kipindi hiko chuchu sound kwa Sasa ni marehemu aliufanya mziki kuwa tofauti. Video yake kama basata...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Moja kati ya maboss wa Media, huwezi kosa taja jina la Majizo. Huyu ni Mkurugenzi na Mtendaji toka Radio E na TV E, ambaye kwasasa ni mume halali wa Elizabeth Michael (Lulu), japo alikuwa akitoka...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Ndondi ni moja ya mchezo bora sana ila hatari katika orodha ya michezo duniani, ni mchezo ambao mabondia hutoka na fedha nyingi sana iwe amepigwa au ameshinda inategemea mkataba wake upo vipi, ila...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Kamwene, jamani tuseme ukweli hii couple ya mwanadada Irene Uwoya na Kayumba kiukweli hata hainogi yani bora hata kipindi kile yupo na janjaro kidogo ila kwa hapa amezidi kupotea kwa kweli. Hivi...
3 Reactions
96 Replies
25K Views
Dodi (mtoto wa aliyekua Mmiliki wa Fulham FC) ndie alimvalisha Pete ya uchumba princess Diana Ila bahati mbaya hawakufikia ndoa. Laiti Leo hii Princess angekuwa hai basi Mfalme (ajae) wa...
12 Reactions
164 Replies
19K Views
Imeshakuwa desturi sasa, Diamond akitoa wimbo wowote ule lazima yaibuke malalamiko kutoka kwa wasanii wenzake kuwa amekopi vitu kadhaa kutoka kwenye wimbo/nyimbo zao. Na wasanii hawa wanakuwa na...
6 Reactions
41 Replies
8K Views
Kama ulishawahi kusikiliza ile album ya Kanye kwa jina Graduation bila shaka unaujua wimbo unaitwa 'Big Brother' Ule ni wimbo spesho kabsa ambao mwana alimuimbia mshkaji wake wa faida (yaani km...
10 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari wanajamvi, Ni muda mrefu sasa sijamuona bwana mdogo Enock amepotea kwenye chombo chetu pendwa cha umma TBC. Najua humu JF ni chimbo la habari naomba alipo kijana huyu machachari kwenye...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Ha ha ha ha ha nimesikia mtoto wa Pfunky Majani na Kajala Masanja, Paula amepata division zero katika matokeo yake ya kidato cha nne yaliyotangazwa jana. Unaambiwa tangu matokeo yatangazwe Paula...
1 Reactions
174 Replies
36K Views
Back
Top Bottom