Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Habari Wanajf, Kwakweli nilitegemea wonders kutoka kwa Alikiba kwenye show hii ya Ufunguzi wa Michuano ya African Super League, labda anaweza akaja tofauti kutokana na ukubwa wa event yenyewe...
2 Reactions
8 Replies
858 Views
Wimbo mpya unaokimbiza hapa Tanzania unamaneno makali ya kuiuliza jamaa juu ya life mbovu ya mwamba mmoja huko uswahilini ikimuonesha akiishi life la kujificha na kufulia huku maneno ya masimango...
6 Reactions
67 Replies
8K Views
Ogopa matapeli, Diamond Platnumz (shabiki damu wa Yanga)ndio msanii wa kwanza toka Tanzania kuimba jukwaa kubwa la CAF aliimba kwenye AFCON Gabon 2017. Tunaweka kumbukumbu sawa ili kuondoa...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Shaggy na Sean Paul hawa wote ni wana muziki kutokea Jamaica ambao wanaimba dancehall . Shaggy huwa anachanganya dancehall muda mwingine anaimba reggae kwa upande wa Sean yeye huwa anachanganya...
8 Reactions
61 Replies
4K Views
Nimepata shauku ya kutaka kumjua huyu jamaa. Mbali na uigizaji ,uchekeshaji na kufanya challenges za nyimbo mbali mbali huyu jamaa ana jishughulisha na nini? Maana hana jina kubwa kiasi hicho...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Mpira wa bongo wa simba na yanga umekosa ushawishi wa maana tangu huyu jama apigwe marufuku, Tanzania tumeshindwa kupata mtu mbadala wa huyu jamaa ushabiki wa hoja haupo tena ni makelele tu...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
Msanii Ruby ambae siku ya Leo ameenda live Instagram ameonesha kuchukizwa na kutoa ya moyoni dhidi ya Boss wa EFM na ETV anayefahamika kama Fransic Siza a.k.a Majizzo au Majay. Msanii huyo wa...
19 Reactions
605 Replies
40K Views
Aliyekuwa mfalme wa muziki wa taarab nchini, Mzee Yusuph amefunguka na kueleza kuwa watu wote walio na nyimbo zake kwenye simu zao wafute na kuacha kusikiliza ili kuepuka dhambi. Katika...
3 Reactions
109 Replies
14K Views
Eran alikuwa aki serve kama bodyguard wa Swift katika tour yake ya kimuziki iitwayo Eras. Viva Israel, Viva nchi ya ahadi. ============= Taylor Swift‘s security guard who protected her during...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Kachukia kitendo cha whozu kuishi kwa wema ,wanaishi tu hawafungi ndoa ila mama wema nae anapenda kumsema mwanae mbele za watu lazima achomoe betri,anamuambia ukweli ila anapenda drama na...
20 Reactions
131 Replies
13K Views
Salaam! Msanii pekee wa kike kutoka wcb amekuwa akitoa mfululizo wa nyimbo ambazo kiutamaduni zinaathiri kizazi chetu cha baadae "honey wangu akinuna namkatia mabuno" imagine watoto wangapi...
27 Reactions
107 Replies
7K Views
Huyu ni Oscar Oscar wa wasafi media! Akishakaa kwenye mic za WCB! Anaona anaweza kukanyaga kitu chochote! Maandiko yanasema ONDOA kwanza boriti kwenye jicho lako, ndipo utazame boriti kwenye jicho...
13 Reactions
79 Replies
5K Views
Mkurugenzi maarufu wa filamu nchini Iran pamoja na mke wake wameuawa wakiwa nyumbani kwao nje kidogo ya Mji Mkuu wa nchi hiyo, Tehran. Taarifa kutokea kwenye vyombo vya habari vya nchini Iran...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Yule mwanadada mwanamitindo kwa jina la Jackline Cliff amemwandikia barua mtangazaji Millady Ayo kutokea gerezani katika visiwa vya Macao alipofungwa kwa kosa la kukamatwa na madawa ya kulevya...
0 Reactions
86 Replies
35K Views
Niseme tu wazi miongoni mwa wanamuziki wenye vipaji tofauti tofauti vya hali ya juu ila hawajielewi basi mmoja wapo ni huyu ndugu yetu Abasi Kinzasa (20 Percent). 20 Percent ni msanii wa hali ya...
3 Reactions
13 Replies
5K Views
Kwa mujibu wa Jarida la #Billboard, Mastaa hao walipanga kuachia albamu yao Oktoba 13, 2023, albamu ambayo inaripotiwa kuwa na ngoma za Raa huyo za takriban miaka 5 lakini Wasambazaji wengi...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Kipindi cha mwaka 2011 tasnia ya bongo movie hawa majamaa wawili Ray na Kanumba waliweza kuleta mapinduzi makubwa sana na kama Kanumba angekuwepo basi tungekuwa mbali sana. Waswahili wanasema...
4 Reactions
43 Replies
8K Views
Habari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada. Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi...
20 Reactions
161 Replies
18K Views
Mzungu anasema, "Put your money where your mouth is". Sasa jamaa anaongea sana zaidi ya anavyofanya boxing. Seems like kuburudisha watu na maneno yake ya ujuaji na uvaaji ndio anachokiweza zaidi...
1 Reactions
5 Replies
840 Views
Back
Top Bottom