Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,446
- 21,140
Kuna wimbo Lady Jaydee aliimba na Chidy Benz unaitwa Uko juu, kwenye audio ya huo wimbo verse ya Chidy ipo ila video yake Lady Jaydee alifuta verse ya Chidy .
Inavyosemekana kwa habari za chini ya kapeti ni kwamba Chidy alikuwa anamtaka kimapenzi Lady Jaydee akaamua kumtongoza Lady Jaydee ,Lady Jaydee akamtolea nje maana aliona kama dharau hivi na hakuishia hapo akaenda mpaka kufuta verse yake hivyo alivyoenda kushuri video verse ya Chidy haikuwepo.
Wengine wanasema Chidy alimwambia Lady Jaydee hawezi kuja kushuti video kwa sababu hana nguo za kushutia ,akitaka aje basi amnunulie nguo ,Lady Jaydee akaona upuuzi huu akafutilia mbali verse yenyewe .
Sasa cha ajabu hili swali hakuwahi kuulizwa popote pale Lady Jaydee wala Chidy Benz ili watuweke wazi nini kilitokea kati yao mpaka kupelekea verse ya Chidy kufutwa.
Kama ishu ilikuwa ni kweli ya mavazi iliyopelekea Chidy kugoma ,mbona video nyingi tu tunaona wasanii wanashirikiana vizuri kwenye audio lakini kwenye video wengine walioshirikishwa hawatokei lakini verse zao hazifutwi ,kwa nini kwa Chidy ilifikia hatua hii?
Inavyosemekana kwa habari za chini ya kapeti ni kwamba Chidy alikuwa anamtaka kimapenzi Lady Jaydee akaamua kumtongoza Lady Jaydee ,Lady Jaydee akamtolea nje maana aliona kama dharau hivi na hakuishia hapo akaenda mpaka kufuta verse yake hivyo alivyoenda kushuri video verse ya Chidy haikuwepo.
Wengine wanasema Chidy alimwambia Lady Jaydee hawezi kuja kushuti video kwa sababu hana nguo za kushutia ,akitaka aje basi amnunulie nguo ,Lady Jaydee akaona upuuzi huu akafutilia mbali verse yenyewe .
Sasa cha ajabu hili swali hakuwahi kuulizwa popote pale Lady Jaydee wala Chidy Benz ili watuweke wazi nini kilitokea kati yao mpaka kupelekea verse ya Chidy kufutwa.
Kama ishu ilikuwa ni kweli ya mavazi iliyopelekea Chidy kugoma ,mbona video nyingi tu tunaona wasanii wanashirikiana vizuri kwenye audio lakini kwenye video wengine walioshirikishwa hawatokei lakini verse zao hazifutwi ,kwa nini kwa Chidy ilifikia hatua hii?