Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Zifuatazo ni bifu zilizowahi kutokea hapa nchini ,baadhi yao ziliwahi kutokea na wahusika kumaliza tofauti zao na nyingine bado zinaendelea mpaka sasa. Clouds media vs Kalapina Clouds media vs...
25 Reactions
143 Replies
13K Views
Back then nakumbuka Jumanne Idd, Chiku Ketto na Kala Jeremiah. Sijui nani mwingine ashawahi toka recently. Au ni drama tu kama drama nyingine?
2 Reactions
43 Replies
1K Views
Mimi sielewi huu utamaduni wameutoa wapi Hawa wasanii wa kiume wa Bongo Flavour. Sikuhizi naona ndiyo fashion Kila msanii wa kiume lazima atoboe masikio aweke helleni kubwa masikioni kama...
6 Reactions
17 Replies
392 Views
Katika celebrities wanawake sijui kama kuna mzuri kuliko Dua Lipa, ameukonga sana moyo wangu, nimesikitika sasa ameolewa.
19 Reactions
123 Replies
2K Views
Dada Yondo,aliyezaliwa Denise Kusala Yondo mnamo Aprili 23,1958, huko Bukavu, Zaire (sasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo), ni mwanamuziki mashuhuri wa Kongo anayejulikana kwa mchango wake katika...
22 Reactions
68 Replies
4K Views
Kama ni mfatiliaji mzuri wa hip hop, nadhani Utakuwa umesha Iona hii. Ila Kama bado, story Ina anzia Mwaka Jana ambapo drake na j Cole wali toa ngoma Ina itwa first person shooter. Humo ndani j...
7 Reactions
132 Replies
7K Views
Tasnia ya muziki wa bongo fleva, hususan muziki wa Rap wa zamani kutoka kwenye viunga vya wilaya ya Temeke, imepata pigo kufuatia kifo cha aliyekuwa mwanzilishi wa kundi la Rap la LWP (Majitu)...
10 Reactions
10 Replies
622 Views
Miongoni mwa biashara pasua kichwa ni hii biashara ya kumsimamia msanii haswa msanii wa muziki . Awali ya yote, wengi hawajui kuna utofauti kati ya sponsor na manager. Manager kiuhalisia inabidi...
10 Reactions
55 Replies
2K Views
Nawauliza ninyi mnaojua mambo mengi ...Ni nani kati ya Faly Ipupa na Diamond platinum Madako masebu ana pesa mingi kuzidi mwenzie?
2 Reactions
8 Replies
348 Views
Ukiacha skendo ya marehemu mutahaba, sijawahi sikia skendo nyingine, alipo olewa nilijua ndoa haikatiz mwaka Mmoja Chali, lakini wapiiii, ndo kwanza ananenepa dada wa watu. Nadhani wachawi wako...
10 Reactions
104 Replies
2K Views
28 Mei 2013 Msanii Maarufu enzi hizo wa Bongo Flavour alitutoka Duniani akiwa kwenye Matibabu huko nchini Afrika Kusini. Wasanii wa Bongo Flavour wamejipangaje kumuenzi? Naona kimya sisikii watu...
2 Reactions
12 Replies
290 Views
Je, producer mkali hapimwi kwa kutengeneza hits za wasanii wakubwa pekee wenye mashabiki na nguvu ya kusambaza kazi zao, bali pia unapimwa kwa uwezo wa kumtoa msanii underground mpaka kuwa star...
7 Reactions
52 Replies
1K Views
Kelele ni nyingi uko Twitter utasema Majizo kaokota dodo chini ya mwembe. Naufananisha usajili wa Madenge kama usajili wa Mbwana Samatta pale Aston Villa. Usajili mbovu halafu mbovu tena...
11 Reactions
51 Replies
5K Views
Wakati Burna Boy, Davido na Wizkid wanavuma dunia nzima, ni kwa nini wasanii wetu hawaendi mbali vile?
1 Reactions
1 Replies
163 Views
Nimemkumbuka huyu mwandishi wa habari wa zamani ITV siku hizi simuoni jamani mwenyewe information zake au alishastaafu?
8 Reactions
94 Replies
15K Views
Huyu dada Mtangazaji wa ITV nadhani inabidi apewe pongezi kwa jinsi alivyojitoa muhanga kutangaza habari za CDM wakati wa uchaguzi hadi sasa, amezunguka mikoa yote na viongozi lakini kikubwa ni...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Wakuu, Anaitwa Latricia Ian, jana ndo kachaguliwa kuwa ni Miss World Tanzania Mna uhakika huyu ndo anaenda kutuwakilisha Watanzania huko Miss World? Kamati ya Miss World wametumia vigezo kumpa...
14 Reactions
58 Replies
2K Views
Msanii wenu ana agenda zipi, mbona haeleweki. Kama kuna washauri wake wanasoma uzi huu wamfikishie ujumbe, anakoelekea ni kubaya.
20 Reactions
79 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…