02/02/2020 ni mwisho au mwanzo mpya wa Nabii na mtume Mwamposa?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,599
141,416
Hii tarehe ya leo tarakimu zake zimekaa vizuri sana ni 0 na 2 basi.

Leo ndio siku ambayo Nabii na mtume Mwamposya amekamatwa na jeshi la polisi na kwa maana hiyo atalala rumande nadhani ni mara ya kwanza tokea apate daraja la Utume.

Siku hii haitasahaulika kwa waumini wake iwe positively au negatively.

Nawatakia dominica ya 02/02/2020 yenye baraka!
 
Haya mambo bwana, ni mazito!! Labda serikali imuchukulie hatua kali za kisheria, ndio unaweza kuwa mwisho wake, lakini kwa akili za kiafrika, usije shangaa ndio ukawa ufunuo wake!!! Waumini wake wakawa. Mala kumi ya sasa!!
 
Hii tarehe ya leo tarakimu zake zimekaa vizuri sana ni 0 na 2 basi.

Leo ndio siku ambayo Nabii na mtume Mwamposya amekamatwa na jeshi la polisi na kwa maana hiyo atalala rumande nadhani ni mara ya kwanza tokea apate daraja la Utume.

Siku hii haitasahaulika kwa waumini wake iwe positively au negatively.

Nawatakia dominica ya 02/02/2020 yenye baraka!
Hata hivyo kapiga mabilioni mengi sana tena bila kulipa kodi zetu. Huyu anatakiwa kupigwa money laundering akapumzishwe "store".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashauri serikali ipige marufufuku kabisa hii biashara ya uuzaji wa mafuta ya upako na maji ya upako.
Wafuasi wake nashangaa bado wameshupaza shingo kumtetea kana kwamba anafata maagizo ya Mungu.
 
Hii tarehe ya leo tarakimu zake zimekaa vizuri sana ni 0 na 2 basi.

Leo ndio siku ambayo Nabii na mtume Mwamposya amekamatwa na jeshi la polisi na kwa maana hiyo atalala rumande nadhani ni mara ya kwanza tokea apate daraja la Utume.

Siku hii haitasahaulika kwa waumini wake iwe positively au negatively.

Nawatakia dominica ya 02/02/2020 yenye baraka!
Kwani Mwamposa kaua mtu ?
 
Back
Top Bottom