figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Hatimaye Mshindi wa Miss Mbeya 2019 amepatikana, Angelah Deocress ndio mshindi wa taji la miss Mbeya kwa msimu huu, ikumbukwe mashindano haya huandaliwa na kituo cha redio cha Dream. FM kila mwaka kutoka mkoani Mbeya.
Shindano hilo lilifanyika usiku wa tarehe 3 Tughimbe Hall, Mafyati Mbeya
Miss mbeya 2019 ni Angelic (mwaka jana alishiriki miss mbeya na aliishia top 10)
1st runner up ni Nelly (mwaka jana alikuwa miss Mbeya no 1)
2nd runner up ni Evengelina peter (mwaka jana alifanikiwa kuingia top 5 ya Miss mbeya)
Hii inatufundisha kwamba tusikate tamaaa! Sasa mkapabane Miss kanda
Mshindi amezawadiwa pikipiki mpya Aina ya TANHERO ambayo Ina uwezo wa kumpatia kipato na hata kutimiza Ndoto zake, waandaji ametoa pongezi kwake na Shukrani kwa wanambeya kwa kushirikiana kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa tukio
Kuhusu zawadi wa Pikipiki Mshindi kasema anashukuru kwani zawadi ni Zawadi, sababu ukubwa wa Zawadi unategemeana na uwezo wa muandaaji. Kwake yeye amesema ni fursa kwani anaenda kujulikana kitaifa na kumataifa. Ndoto yake ni kuwa Miss Tanzania.. Kwasasa anachowaza ni Mashindano yaliyo mbele yake na si Zawadi. Kawashukuru Waandaaji pia.
Sherehe hizi, zilipambwa na Msanii Muhinindi wa Kusini Mbosso Khan.
MY TAKE:
Nawapongeza Waandaaji wa Mashindano ya Miss Mbeya kwani wameonesha Uungwana kwa kuahidi kile kilicho ndani ya uwezo wao na kumkabidhi mshindi hapo hapo, kuliko waandaaji wanaoahidi Makubwa na kuishia kuwadhurumu washindi. Huu ni mfano wa kuiga. Hongereni Dream FM Radio.
UREMBO NI HESHIMA!
Angel Deocress mshiriki no.5 miss mbeya 2019, Katika vazi la ubunifu ,likiwakilisha kilimo cha mahindi mkoani mbeya..
Shindano hilo lilifanyika usiku wa tarehe 3 Tughimbe Hall, Mafyati Mbeya
Miss mbeya 2019 ni Angelic (mwaka jana alishiriki miss mbeya na aliishia top 10)
1st runner up ni Nelly (mwaka jana alikuwa miss Mbeya no 1)
2nd runner up ni Evengelina peter (mwaka jana alifanikiwa kuingia top 5 ya Miss mbeya)
Hii inatufundisha kwamba tusikate tamaaa! Sasa mkapabane Miss kanda
Mshindi amezawadiwa pikipiki mpya Aina ya TANHERO ambayo Ina uwezo wa kumpatia kipato na hata kutimiza Ndoto zake, waandaji ametoa pongezi kwake na Shukrani kwa wanambeya kwa kushirikiana kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa tukio
Kuhusu zawadi wa Pikipiki Mshindi kasema anashukuru kwani zawadi ni Zawadi, sababu ukubwa wa Zawadi unategemeana na uwezo wa muandaaji. Kwake yeye amesema ni fursa kwani anaenda kujulikana kitaifa na kumataifa. Ndoto yake ni kuwa Miss Tanzania.. Kwasasa anachowaza ni Mashindano yaliyo mbele yake na si Zawadi. Kawashukuru Waandaaji pia.
Sherehe hizi, zilipambwa na Msanii Muhinindi wa Kusini Mbosso Khan.
MY TAKE:
Nawapongeza Waandaaji wa Mashindano ya Miss Mbeya kwani wameonesha Uungwana kwa kuahidi kile kilicho ndani ya uwezo wao na kumkabidhi mshindi hapo hapo, kuliko waandaaji wanaoahidi Makubwa na kuishia kuwadhurumu washindi. Huu ni mfano wa kuiga. Hongereni Dream FM Radio.
UREMBO NI HESHIMA!
Angel Deocress mshiriki no.5 miss mbeya 2019, Katika vazi la ubunifu ,likiwakilisha kilimo cha mahindi mkoani mbeya..