Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

In the vibrant and ever-evolving Nigerian music industry, new talents constantly emerge, captivating audiences with their unique sounds and fresh perspectives. One such rising star is Ayra Starr...
3 Reactions
5 Replies
9K Views
Baada ya kustaafu kutoka kwa tasnia ya filamu za watu wazima mnamo 2015, Mia Khalifa aliingia kwenye uhusiano, akachumbiwa, akaolewa, akatalikiana, akawa mwanamke, mkufunzi wa masuala kazi...
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Niwapeni siri kwamba ukiachana na pesa, wanawake wanashobokea sana vijana maarufu hasa kwenye mambo ya sanaa na michezo, sijui kwanini ila ndivyo wengi walivyo. Katika makundi haya kwa sasa kuna...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Fans and multiple conspiracy theorists are beginning to spread the idea that Takeoff was sacrificed and they are doing this using some facts from "Messy" music video by Quavo & Takeoff which was...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Msanii aliyetamba na ngoma ya Imekaa vibaya na Tumbo joto , Abdul Miraj maarufu kama Kali P amesema hataki tena kusikia masuala ya Muziki . Kali P amesema ameamua Kumrudia Muumba wake na sasa...
20 Reactions
68 Replies
5K Views
NI MTIKISIKO! Kiungo punda, kisiki wa Klabu ya Yanga Khalid Aucho ‘Daktari’ na Rajab Abdul Kahali ‘Harmonize’ kwa pamoja wako mapenzini na mwanadada mrembo wa kuitwa Caren Simba. Kiungo huyo...
50 Reactions
609 Replies
41K Views
Comeback aliyopiga huyu mwamba haijawahi kutokea kwenye historia ya filamu nchini India. Pathan & Jawan zimewaka all time records za mauzo Bollywood, na cha hatari zaidi kuna na filamu nyengine...
5 Reactions
36 Replies
4K Views
High school graduate, 17, climbing without ropes falls to his death in Colorado after posting a FINAL Instagram selfie A 17-year-old high school graduate died while out rock climbing in Colorado...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Watu wamekua wakijiuliza kweli kama Bilionea huyu alikua na jeneza ndani..kutoka Makao Makuu Ya Zimbabwe Jijini Harare Mwanamitandao ya kijamii na mfanyabiashara, Genius Ginimbi Kadungure ambaye...
22 Reactions
81 Replies
24K Views
MIMI NDIO TAJIRI WATOTO WANGU WATAFUTE PESA ZAO Nyota wa zamani wa #NBA , #ShaquilleRashaunO'Neal amewachana watoto wake sita kuwa Pesa alizonazo na Utajiri alionao sio wao bali ni wa kwake hivyo...
13 Reactions
56 Replies
3K Views
Aliyekuwa Muigizaji maarufu video za ngono (pornography) Elisa Sanches ameacha rasmi kazi hiyo na kuamua kuwa mwamuzi wa Mchezo wa mpira wa miguu nchini Brazil. Mwamuzi Huyo kwa Sasa anaishi...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
STILL D.R.E - Ufundi wa Mikono ya Jay Z unaoishi tangu 1999 mpaka leo #UZI Tar. 13 Feb 2022 ilifanyika fainali ya American Football maarufu km Super Bowl kati ya Los Angeles Rams na Cincinnati...
40 Reactions
77 Replies
9K Views
Habari wanaJF. Ukweli ni kwamba vyuo vikuuu na vyuo vingine vimekuwa vikitambua na kuwatunuku PhD katika kutoa huduma fulani katika jamii. Lakini Kuna nguli wa Utangazaji na Mwana...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Bifu linalosemekana kuwepo (kama kipo) kati ya Diamond na Kusaga pale wasafi ni marudio yale yale kipindi cha clouds msanii ni aidha ukubaliane nao wanavyotaka wao ama nyimbo zako hazipigwi, Ni...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Aaahem Muda siku zote waenda mbele, muda hausubiri mtu, na katika kwenda kwake mbele Muda huja na mabadiliko. Ole wao wale wanaopingana na sheria hii ya mda kwa kukataa kukubali uhalisia kwamba...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Majina yake kamili anaitwa Mikka Aleksanteri Kari jina maarufu Mika Mwamba. Kiasili jamaa ni Mfinland. Miikka aliwahi kufanya kazi na wasanii mbalimbali wa nchini Tanzania. Wasanii hao ni: Dully...
29 Reactions
62 Replies
7K Views
If puss and dog can get together, Why can't we love one another? -Bob Marley
3 Reactions
51 Replies
5K Views
Habari za hivi punde ni kwamba mwanamuziki namba moja wa kike East Africa, Zuchu aka Zuu amejitoa Instagram. Amefanya hivyo kwa ajili ya kufanya ibada mwezi huu wa Ramadhan ambao Zuchu ni binti...
13 Reactions
53 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…