Niki/artist wa pili mwanafunzi wa masters UDSM na mkufunzi jokate mwegilo /modal wamekuwa wakionekana pamoja mara nyingi, na jana tu walikuwa pamoja coco beach. Kiukweli hatufahamu kinachoendelea...
'Chocheeni kuni mbichi moto ukolee......
Unawaulizaje watu magongo ya ni nini wakati umesema kuna nyoka?
Mjomba wewe uliwapaka wanja, ngoja wao wakupake pilipili, alafu kwenye kombolela iwe zamu...
Wakuu hii tabia naona sasa inaeendelea hapa bongo kwenye music, maana vijana wanapenda sana mteremko na kutoka kwa kutumia migongo ya watu, sasa huyu jamaa anajiita JAY MASWAGGER, ame copy huu...
Mtu maarufu ungependa sana kukutana nae na neno moja ambalo ungependa kumwambia 1. Zitto kabwe 2. Diamond 3.Ben pol 4.Dr slaa 5.AY 6. FA 7.Wema sepetu 8.JB 9.bell 9 10.shaa 11.Jonh Mnyika...
alikua akihojiwa kuhusu wimbo wake wa Obama, akaulizwa kwanini kwenye ule wimbo hajamtaja kikwete?. akajibu kwa mishauo kwamba alimuomba ruksa kikwete, alimfuata akamwambia nina wimbo...
Mimi sikutegemea kama unaweza kucheza kiduku kiasi kile. jumapili lazima nije kwenye show uloandaa pale maisha club. Leo umenifanya nifurahi sana. big up sana mkuu. mia
Msanii wa muziki wa kizaz kipya ambae anafanya vizur kwa sasa Diamond platnamuz, amesema kwamba yeye kama kwenda nje au kufanya shoo angekua anafanya kila siku.Diamond amesema kwamba lazima afanye...
mimi nilikua napenda sana kuisikili hii clouds fm na TV yao ili nimekuja KUGUNDUA hawa jamaa niwatu waajabu sana na wamekua wakiyapambisha mabifu bila hata sababu mf; LADY JAYDEE anabifu na...
oh maii toto lina guu aisee....sio mnatuwekea michilizi ya wema sepetu hapa.....aisee angalieni toto hilo....very energetic,classic mtoto msaaafi aisee kansa ya koo hapo inakusamehe....mambo ya...
Yaani wanandoa hawa walikuwa wanapendezana sana sijui ni mdudu gani aliingilia ndoa yao?je hakuna la kufanya kuwarudisha?na kwa anayejua ninini chanzo cha kuvunjika?jf ni jeshi kubwa tutapata...
Msanii Ommy dimpoz apigwa mawe na chupa kwenye show ya kili tour dodoma kwa kumdhihaki msanii aliyeipaisha dodoma,marehemu Albert Mangwea.
Ommy dimpoz afukuzwa na Mashabiki Stejini. KTMA Tour...
nimeangalia video za nyimbo nyingi sana za mwanamuziki Judith Wambura aka Lady Jay dee lakini sijawahi kuona huyu dada akionyesha manjonjo ya kukatika huku akienda na mapigo!! pia nimebahatika...
Yaani kweli usupastaa kazi,wewa sepetu kwenye a/c yake ya instagram kapost picha inayoonyesha giza tu,picha nzima alafu chini kaandika do u miss me!?,nilipochoka zaidi eti watu wamelike 300+ sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.