Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

1. Alizaliwa miaka kadhaa kabla ya uhuru... 2. Kaja dar mwaka 77... 3. Alizaliwa na utangazaji... 4. Alivutiwa na muziki baada ya babake kuupenda muziki... 5. Watangazaji wa sasa hawana...
4 Reactions
74 Replies
13K Views
HAYA SASA MUONEKANO MUPYA WA vicent kigosi hahaha kweli age is just a number!!!!!!!!!!!! http://2.bp.blogspot.com/-ue75dKt0frs/UoZCPcvJ_JI/AAAAAAAAolU/DZ7irZR9VLM/s1600/1.jpg
1 Reactions
134 Replies
12K Views
Staa mkubwa wa filamu za Bongo, Jacob Stephen ‘ JB’ akiwa na Irene Uwoya. Picha hii haihusiani na fumanizi. LILE sakata la madai kwamba, staa mkubwa wa filamu za Bongo, Jacob Stephen ‘ JB’...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Hatimaye mwanadada Jacqueline Wolper ameamua kuweka wazi kilichotokea mpaka kuamua kubadili Dini yake ya Uislamu na kurudi kwenye ukristo tena. Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii...
0 Reactions
56 Replies
10K Views
List mpya kutoka Forbes inahusisha wasanii waliolipwa pesa nyingi duniani kwa kipindi cha June 2012 hadi June 2013 ambapo pesa hizo zinatokana na mauzo ya album,show(tour) na vitu vingine...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Aah aah dah nilicheka sana wakati nacheki trailer la mkasi ambapo salama alikuwa anamuhoji vannesa mdee,salama katika pilika pilika za kumuuliza swali mdee akaingiza hii, mimi nimesoma...
1 Reactions
54 Replies
14K Views
Taarifa za sababu kubwa zilizopelekea Wema Sepetu kumtimulia mbali aliyekuwa director wake aliyefahamika kwa jina moja la Chid kuwa ni ufuska uliokubuhu kwa director wake huyo huku akitumia magari...
0 Reactions
5 Replies
46K Views
Kylie Jenner (mdogo wa Kim Kardashian) na Jaden Smith mambo si mabaya. Binti sasa anapata huduma zote anazostahili mtoto wa kike kupata kutoka kwa mpenzi wake wa kiume. Ili linathibitika pale...
1 Reactions
4 Replies
7K Views
WCBwasafi#for life
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Tumestaarabika siku izi.
5 Reactions
88 Replies
11K Views
Mnenguaji big name bongo aisha madinda,amefunguka kuwa banza stone ndiye aliyemfundisha kuvuta bangi." Niiliingizwa na banza stone kwani tulikuwa tunamuomba bangi ya kawaida kumbe alikuwa...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Mista Fab is so illlllllll
0 Reactions
4 Replies
1K Views
mbali na kuanika mahusiano yake ya kimapenzi na ray,na jinsi chuchu hans na johari walivyomuingilia kwenye penzi lake na aliyekuwa my ex number one wake, baadhi ya watu wameanza kumtishia maisha...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Sometimes I do believe kuwa majina ya watu yanaweza ku play role kubwa kwenye mafanikio au mkosi kwa mtoto husika,it might be, pengine wazazi wanapochagua majina kwa watoto wao wawe makini...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Nikki wa kundi la weusi linaloundwa na Joh makini,Gnako na yeye mwenyewe,amepata shahada ya uzamili katika maendeleo kutoka chuo kikuu cha UDSM.Hongera msanii wetu. Source:Milard ayo
2 Reactions
35 Replies
15K Views
Kile kipindi ambacho bifu la clouds media group na mwanamuziki lady jaydee lilipopamba moto,ambapo bifu lilikuwa kali kweli kweli,ndipo lady jaydee baada ya kuhisi kuzidiwa na radio hiyo,aliamua...
1 Reactions
8 Replies
6K Views
Nimeshangaa sana baada ya kuona AWARDS mbalimbali alizojinyakulia LADY JAYDEE tokea aanze muziki apa bongo mwaka 2000 hadi sasa 2013,tokea mwaka huo(2000) aanze muziki alibahatika kujinyakulia...
9 Reactions
42 Replies
11K Views
Pamoja na mengine,swali kubwa aliloulizwa boss/WCB president..NI NI KWA NINI NI MWANAMZIKI ANAYEONGOZA KWA KUUZA CALLER TONES IN EAST AFRICA??hatukujua walifaham vip hizo data but jibu pekee...
2 Reactions
38 Replies
6K Views
Back
Top Bottom