Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Lady Jay D, Prof J kupafomu na P-SQUARE Yaani zile JOTO HASIRA zikikutana na ALINGO lazima PERSONALLY utasema CHOP MY MONEY hadi YAHAYA apatikane maana tupo KAMILI GADO!!! Wale wakali wa muziki...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
keep waitn..mambo mazuri yanakuja WCB for life baby
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wakati lulu akidaiwa kwenda selo na mimba alikuwa kesha itoa, dk wa marehemu kanumba anayefanya kazi ktk hospital ya chartable.mbezi lous mtaa kwa msuguri ndiye aliyefanya kazi hiyo.ni wiki tatu...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Gumzo at 12:57 AM SHILOLE AAMBULIA MATUSI MARA MAADA YA KUANDIKA KIINGEREZA CHA UGOKO MTANDAONI... WAMWAMBIA KUWA KIINGEREZA NI WITO..!! Shilole aliamua kutandika yai kwenye Instagram...
3 Reactions
64 Replies
9K Views
Paul Matthysse ‘P-Funk’ akionesha jeraha alilolipata kichwanibaada ya kuanguka chooni. LEGEND wa kuzalisha mapigo ya muziki Bongo, Paul Matthysse ‘P-Funk’, amepata ajali ya kushangaza chooni...
0 Reactions
38 Replies
8K Views
Na Shakoor Jongo MAAJABU! Jambo zito limefichuka kuwa mastaa walio katika uhusiano wa kimapenzi, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Penniel Mwingilwa ‘Penny’ ni ndugu, AMANI limepekua na kupata...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Stori: Imelda Mtema MTANGAZAJI wa Kituo cha Televisheni cha DTV, Peniela Mwingilwa ‘Penny’, ambaye ni mpenzi wa mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amesema yupo tayari kuchangia...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Nimetumiwa hii audio clip (acapella) kwa whatsapp, nimecheka nimeona nifanye sharing.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Muziki na sanaa ni ubunifu na wala si kujua kuimba tu!. Wiki iliyopita nilimnukuu mzalishaji mkongwe wa muziki hapa nchini Master J akisema idadi kubwa ya wasanii hapa bongo wanafanikiwa si kwa...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Msanii maarufu kwenye tasnia ya muziki kwa sasa DIAMOND alilipwa tsh 10,000/- tuu katika FIESTA 2009 ambapo alifanya show Kali iliokubalika na wadau wa muziki Tanzania. Hayo amebainisha mwenyewe...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Ni zaidi ya mwaka mmoja umepita toka kufariki kwa mwigizaji staa wa Tanzania Steven Kanumba, ambae aliacha kampuni ya kutengeneza filamu aliyokua akiimiliki pamoja na mali nyingine yakiwemo...
0 Reactions
16 Replies
10K Views
Salaam wakuu, kama wewe ni mmoja wapo wa wapenzi wa masebene basi ni lazima utakubaliana na mimi kwamba hii kitu ni kali sana. Hizo nyuzi zinavyoguswa humo na kinanda ni balaa sana....
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ngoma inaitwa Scary movies, sikiliza halafu uniambie....
0 Reactions
4 Replies
989 Views
Huenda ile story ya kwamba Diamond amepata na anaendelea kupata mafanikio kutokana na kutumia waganga wa kienyeji si kweli!! You never know! Staa huyu ambaye gazeti la Daily Nation limemtaja...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Huyu mwandishi wa jambo na vijambo comedy ya EATV amefanya kazi kubwa sana kuandaa comedy ya namna hii. Hii ni comedy yenye ubunifu mkubwa sana kama mtu akijaribu kufatilia. Tofauti na commedy...
3 Reactions
3 Replies
49K Views
this young man can really rap. Since day one i saw him in The X-factor US i knew he had it. Check it here when he freestyles on sway's world:Astro Freestyles Over the 5 Fingers of Death on Sway in...
0 Reactions
0 Replies
976 Views
Swahibaz Mpooo?. Haya ,list yangu ya movies bora za kukupa burudani kwa uzalendo hii hapa.. 1.Fikra Zangu. Ni moja kati ya movies za kibongo ambazo SITACHOKA kutazama ingawa kuna makosa ya...
0 Reactions
22 Replies
14K Views
nimekuwa mdau na mfuatiliaji wa muziki wa kizazi kipya tangu kupevuka lakini katika msanii ambaye kawapiga bao wengi kwa ubunifu huyu sio mwingine ni diamond kiasi kwamba anawafanya chipukizi wote...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
PICHA 7 ZA GIRLFRIEND MPYA WA PREZZO KUTOKA TANZANIA-CHAGGA BARBIE There has been a lot of drama surrounding Prezzo and his beautiful Tanzanian Lady known by her IG name Chagga Barbie.Tweefs...
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Back
Top Bottom