acha tamaa za paka, kuparamia majirani.
roho ikakutoka, vya watu kuvitamani.
mchana umeokoka, usiku hayawani.
kila mtu wamtaka, umtupe kitandani.
hebu punguza mizuka, na uache uhuni.
naogeshwa kwa iliki..nafukizwa kwa ubani..
nisiwe mnaafik..ananipenda si utani..
mtoto shokishoki..anatokea visiwani..
tena amejikoki..haniachi asilani..
penzi lake mshikaki..lina tamu milioni..
mie ndani sitoki ..nimeganda kama lami..
Ukweli ni kwamba waomba ajira ndo wengi juu,
Kuliko wanaopambana ili wajiajiri tu!
Unaweza miliki pesa ukakosa uhuru juu,
tambua huru ndo UTAJIRI pekee huku juu.
Mtu akishapata nafasi uku juu,
ujikuta anajipa ukuu,
atambui atabaki mmoja tu,
Na ndo mwenye hukumu na uwezo wa hali ya juu.
Mungu...
Baada ya kutumia smartphone za makampuni mbalimbali I. e
Nokia/Lumia
Samsung/Galaxy S6
Tecno/H6, wx3, F1, J8 ...
Xiaomi/Redmi note 8,na sasa natumia note 10
Naomba ushauri kati ya hizi
OnePlus Ace
Realme GT Neo 3
Galaxy S10 used
Bei zinalingana tu
Salaam!
Utenzi huu unabeba dhima ya neno "Ukatili" ambalo limekuwa likitajwa sana, lakini watu wengi wameshindwa hasa kuelewa neno hilo lina maana gani. Shairi hili lipo katika mtindo wa masimulizi kuhusu matukio ya ukatili yanayotokea ndani ya familia, ambapo mabinti yatima mapacha waliokuwa...
Kutokana na kukithiri kwa udhalilishaji na kuyasahau maadili yetu . Nimeamua kuja na makala ya ushairi yashajihishayo kulinda maadili na kupinga udhalilishaji
TUYALINDE MAADILI KUPINGA UDHALILISHAJI
Bismillahi awali ninaandika shairi
Naandika bila ukali maneno yangu mazuri
Naituliza akili...
CCM HUWA IMARA ZAIDI INAPOTISHWA KIFO
Na Philipo Mwakibinga.
0758910403.
Ndugu zangu Wana wa CCM Kidumu Chama Cha Mapinduzi! Nawasalimu kwajina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Naomba niendelee kusisitiza kuwa lazima tuendelee kusimama imara kama sote tunaamini Mungu na tunapokea kila...
Salaam wanajukwaa , naitwa omary mkazi wa iringa, ninaweza kuandika mambo yanayohusu fasihi(ushairi, riwaya,tamthiliya na hadithi fupi), sijawahi kufanikiwa kuandika kitabu lakini naishia kuandika tu kwenye madaftari, Ila ndoto yangu nije kuandika vitabu vingi sna na visomwe na watu ,Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.