ubelgiji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Balozi wa Ubelgiji nchini Tanzania atembelea Ofisi za JamiiForums, Machi 14, 2024

    Leo, Machi 14, 2024, JamiiForums imetembelewa na Balozi wa Ubelgiji nchini Tanzania, Peter Huyghebeart Ujumbe wa Ubalozi umepata nafasi ya kukutana na Uongozi na Watendaji wa JF na kuona shughuli mbalimbali za Taasisi ikiwa ni pamoja Programu 8 zinazotekelezwa na kujadiliana namna bora ya...
  2. M

    Israel yakasirishwa na Uhispania na Ubelgiji baada ya nchi hizo mbili kusema zitatambua rasmi nchi huru ya Palestina

    Nov 25, 2023 11:03 UTC Netanyahu na mawaziri wakuu wa Uhispania na Ubelgiji Mvutano umepamba moto kati ya utawala haramu wa Israel na Uhispania na Ubelgiji, nchi mbili za Ulaya ambazo mawaziri wake wakuu wamelaani mashambulizi yaliyosababisha uharibifu mkubwa ya utawala huo dhidi ya watu wa...
  3. Suley2019

    Bilionea wa Ubelgiji atuma bilioni 1 kwa mpenzi wake, Mahakama yataifisha

    Mahakama kuu Nchini Kenya imeiruhusu Serikali ya Nchi hiyo kutaifisha zawadi ya pesa za Kenya milioni 102 milioni (TSH. Bilioni 1.74) iliyotumwa kutoka Ubelgiji na Bilionea aitwae Marc De Mesel kwenda Kenya kwa Mpenzi wake ambaye ni Felista Nyamathira Njoroge (23) baada ya kubainika kuwa huenda...
  4. J

    Kama Tundu Lissu anajisikia salama zaidi kukaa Ubelgiji akae tusimpangie hakuna mbadala wa Uhai

    Dunia ni kijiji kinachoendeshwa kwa teknolojia Tumwache Tundu Antipas Lisu aishi sehemu anayohisi yuko salama zaidi, Tusimpangie Ameshapitia magumu mengi ikiwemo kuchungulia kaburi Dominica njema
  5. Countrywide

    Tundu Lissu asafiri kwenda Ubelgiji kuonana na Daktari na kuhuisha visa yake

    Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium. Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa...
  6. comte

    Ugumu wa maisha ndio umemkimbiza Lissu kutoka Ubelgiji

    Imefahamika sasa kilichomkimbiza Lissu kutoka Ubelgiji ni ugumu wa maisha. Kwa sasa Ubelgiji maisha yako juu sana mara 2 ya Tanzania kwa kigezo cha mfumko wa bei. What is Belgium's current inflation rate? In January 2023, the inflation rate in Belgium fell to 8.05 per cent, which shows a...
  7. F

    Zijue gharama za Nyama na maharage nchini Ubelgiji alipokuwa Lissu

    Siku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania. Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na...
  8. BARD AI

    Vifaranga vya Ubelgiji vilivyokamatwa Airport Dar bado havijaondolewa

    Licha ya Serikali kuagiza vifaranga vya kuku 62,730 wa mayai vilivyoingizwa nchini virudishwe Ubelgiji, inadaiwa hadi sasa bado havijaondolewa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA). Vifaranga hivyo vilivyoingizwa nchini Desemba 22 na kampuni ya Phoenix Farms Limited, vilizuiliwa...
  9. JanguKamaJangu

    Serikali yazuia vifaranga 62,730 vilivyoingizwa nchini kutoka Ubelgiji

    Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Profesa Hezron Nonga amesema wamezuia vifaranga 62, 730 vya kuku wa mayai kuingia nchini baada ya kubainika kutokuwa na vibali pamoja na cheti cha afya. Vifaranga hivyo ambavyo ni mali ya kampuni ya Phoenix Farms Limited ya Mkuranga...
  10. Influenza

    Je, Rwanda kweli inawasaidia M23? Ubelgiji yaitaka Rwanda kuacha kuwaunga mkono waasi hao

    Ubelgiji imeitolea wito nchi ya Rwanda "kusitisha msaada wowote" kwa waasi wa M23 wanaoendelea na mapigano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, baada ya uchunguzi wa Umoja wa Mataifa kubaini kuwa kundi hilo liliwaua raia 131 mwezi uliopita. Wizara ya mambo ya nje ya Ubelgiji ilisema jana...
  11. JanguKamaJangu

    Eden Hazard atangaza kustaafu kuichezea timu ya taifa ya Ubelgiji

    Kiungo huyo mshambuliaji mwenye umri wa miaka 31 amechukua maamuzi hayo baada ya timu timu yake ya taifa kuishia Hatua ya Makundi katika Kombe la Dunia 2022. Hazard ameitumikia Ubelgiji kwa miaka 14 na kwa sasa anaelekeza nguvu katika ngazi ya klabu yake ya Real Madrid. Imeelezwa kuwa...
  12. JanguKamaJangu

    FIFAWorldCup2022: Ubelgiji chaliiiii yapigwa 2-0 na Morocco

    Magoli ya kiungo mshambuliaji Abdelhamid Sabiri anayeichezea Sampdoria ya Italia na Zakaria Aboukhlal wa Toulouse ya Italia yameipa ushindi #Morocco na kuweka matumaini ya kufuzu Hatua ya Mtoano kutoka katika Kundi F. Morocco ambayo ni timu ya pili ya Afrika kupata ushindi katika michuano hiyo...
  13. Execute

    Kwa mpira huu wanaocheza Ubelgiji nawashauri wasiende Qatar kuepuka aibu

    Naangalia mechi kati ya Misri na Ubelgiji hapa na ninaona hawa Wabelgiji warudi nyumbani kwao kuepuka dhahama kwenye Kombe la Dunia. Beki zinakatika na kutoa maboko, haziwezi kufanya marking wala kukaa man to man. Forward hazifanyi attempt yoyote zaidi ya kupiga back pass. Wameshapigwa 2 bila.
  14. figganigga

    Je, kampuni Kemexon ya Ubelgiji ndiyo inayoiba mafuta na Gesi ya Mtwara?

    Salaam wakuu, Hivi karibuni tumeshuhudia Meli zikianza kubeba Makaa ya Mawe kutoka Mtwara. Watu wakadai Makaa ya Mawe Tanzania inayauza kwa kila tani moja ni Elfu sitini za kitanzania huku Soko la dunia kila tani ni Dola 300 zaidi ya laki saba za Kitanzania. Hivyo ikaonekana huu mkataba ni wa...
  15. JanguKamaJangu

    Virusi vya Monkeypox vyasababisha Ubelgiji, Uingereza kuanzisha karantini

    Ubelgiji na Uingereza zimekuwa Nchi za kwanza kuanzisha karantini ya lazima kwa wagonjwa wa monkeypox ambao umekuwa ukisambaa kwa kasi katika mataifa tofauti hivi karibuni Ubelgiji imedai kuwepo kwa watu wa nne wenye maambukizi ya virusi hivyo huku duniani kwa sasa idadi ikitajwa kuwa ni zaidi...
  16. beth

    Urusi yawafukuza Wanadiplomasia 31 kutoka Uholanzi, Ubelgiji na Austria

    Taifa hilo limewataka Wanadiplomasia 31 kutoka Nchi Tatu kuondoka siku kadhaa zijazo. Wizara ya Mambo ya Nje imeagiza Wanadiplomasia 15 wa Uholanzi kuondoka ndani ya siku 14 Agizo hilo pia limetolewa kwa Watumishi wa Ubalozi wa Ubelgiji baada ya Nchi hiyo kuwafukuza Wanadiplomasia 21 wa Urusi...
  17. Linguistic

    Moshi: Meya Juma Raibu ang'olewa kwa kupigiwa kura za kutokuwa na imani naye

    Kura 18 zimemkataa. Alikuwa na kashfa ya kushiriki birthday ya shoga mmoja hapo Moshi. Ni kashfa iliyotrend sana kwenye vyombo mbalimbali vya habari kama magazeti. Nafikiri ndio hiyo imemng'oa labda kama kuna sababu nyingine tutajua Kapigiwa kura Leo, 18 zimemkataa na 10 zimemkubali...
  18. The Palm Tree

    Ameanza Tundu Lissu nchini Ubelgiji kisha impact yake ikawa Freeman Mbowe kufutiwa mashitaka na kisha straight Ikulu kuzungumza na Rais....

    This is absolutely strange indeed. Ni wazi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameona mwezi, macho ya kuuona ukweli yamefumbuka. Hebu jaribu kufikiri vizuri kidogo. Kwamba, Rais Samia Suluhu all the way kutoka Brussels - Belgium kuonana na kuzungumza na National CHADEMA Vice Chairpersnon, ndugu...
  19. J

    Duni Haji: Wapinzani tusipoungana CCM itaendelea kutawala miaka 100 ijayo. Alichoongea Zitto ndicho Lissu alichoongea na Rais Samia

    Mwenyekiti wa ACT - Wazalendo mzee Juma Duni Haji amesema endapo Wapinzani hawataamka kutoka usingizini na kuungana basi CCM itaendelea kutawala kwa zaidi ya miaka 100 ijayo. Mzee Duni amesema alichokiongea Zitto Kabwe pale Dodoma mbele ya Rais Samia ndio hicho hicho alichokiongea Tundu Lisu na...
  20. Suley2019

    Msigwa: Rais Samia hakukodi ndege ya Emirates wakati wa safari yake ya kwenda na kurudi Ufaransa na Ubelgiji

    “Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan hakukodi ndege ya Emirates wakati wa safari yake ya kwenda na kurudi Ufaransa na Ubelgiji. Mhe. Rais alisafiri kwa kutumia ndege hizo kama abiria. Ameokoa fedha nyingi ikilinganishwa na kama angetumia ndege binafsi ama angechukua ndege ya ATCL ama angekodi. Pia...
Back
Top Bottom