sports

  1. S

    Let's prioritize women in household decision-making and sports participation

    I would love to prioritize women's empowerment in two key areas can foster significant societal change in household decision-making and sports participation. Mothers often sacrifice greatly, yet their voices in household choices are overshadowed by the power given to fathers. Implementing...
  2. TODAYS

    Sky Sports News Watupiga Spana Japo Wengi Wanaona ni sifa

    Mwaka huu kumekuwepo na mjadala wa uraia pacha ila ilipokuja issue ya AFCON kuna baadhi wa wachezaji hata haifahamiki wametoka!!. POINT: Kuna mchezaji anacheza team ya daraja la tano huko uingereza kuja kucheza kombe kubwa la mataifa ya Afrika. Soma mwenyewe hapo 👇🏾
  3. BahatiBillionaire

    Bet zangu za leo 30th Dec 2023

    30th Dec 2023 Bets zangu za leo NCAAB (College Basketball) ‍Marquette Golden Eagles MoneyLine NHL ‍WIN Jets MoneyLine ‍ NCAAF (College Football) ‍Mississippi Rebels +7.5 (Alternate Spread) ‍ NCAAB (College Basketball) ‍James Madison Dukes -12.0 Multiple 1 Marquette Golden Eagles...
  4. Suley2019

    FT: Madeama 1-1 Yanga | CAFCL | Baba Yara Sport Stadium | 08.12.2023

    Mechi za hatua ya Makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika kuendelea tena leo tarehe 08.07.2023 Yanga kutoka katika kundi D watakuwa ugenini kumenyana na Madeama ya nchini Ghana. Mechi hii itachezwa kuanzia saa 1:00 jioni katika uwanja wa Baba Yara nchini Ghana. Je, wawakilishi hawa wa Tanzania...
  5. M

    BAKHRESA badili malengo ya Azam sports club

    Azam sports club ni club ambayo naamini wachezaji wake wana kila kitu lakini imekuwa haifanyi vizuri. Bakhresa group ibadili malengo ili isijikite katika kuwania ubingwa bali kukuza vipaji na kuuza wachezaji. Ondoa wachezaji wote wa nje,igeuze iwe club ya kukuza vipaji vya wazawa.
  6. Jamii Opportunities

    Sub-Editor – Sports Desk at The Guardian Limited October, 2023

    Position: Sub-Editor – Sports Desk Department: Editorial Reporting Channel: Managing Editor Place: Dar es Salaam Duties and Responsibilities Checking and correcting editorial copy allocated by Sports Editor for facts, accuracy, taste, compliance with TGL house style, language use, clarity...
  7. P

    General importances of sports

    GENERAL IMPORTANCES OF SPORTS: A sport is an activity involving physical exertion and skill in which an individual or team competes against another or others for entertainment. There are so many different types of sports like football, volleyball, fencing, jogging, basketball, and so on. The...
  8. Elivate

    Subaru Impreza G4 Sports.

    2012 Subaru Impreza G4 for sale. Automatic Trans. Number plate utachagua ww. Low Mileage. Bodykit kali + Muffler & Air intake mods ndogo. Smart Radio + Push to start. Bei ni 22.5M plus usajili. 0742720822 For more details. SOLD
  9. Masandawana

    Kesho asubuhi usikose kipindi cha michezo cha E Sports

    Uchambuzi ulioshiba kuhusu kilichotokea leo kule Mbarali. Hapa Maestro, pale Jef Leah, pembeni kuna Mzee wa Jambia bila kumsahau Mwana wa Kazumari. Damu itamwagika kesho…
  10. MSAGA SUMU

    Kabwili akiwasha Rwanda, anaidai Rayon Sports mil 600. Kesi iko mezani FIFA

    FIFA has sanctioned Rwanda's CAF Confederation Cup campaigners Rayon Sports from registering new expatriate players. The directive from the world football governing body came after the club refused to pay Tanzanian goalkeeper Ramadhani Kabwili who left in April. The player joined Rayon from...
  11. Mwizukulu mgikuru

    kampuni ya sports pesa tambueni kuwa mla huliwa....

    kampuni ya sports pesa kila siku mnakula pesa za vijana wanaoshinda wakibahatisha michezo mbalimbali, ila nyinyi mkiliwa mnaumia sana...jana nimeweka 50000 kwa mechi ya singida united na jku dakika ya arobaini na nane naona pesa yangu inarudishwa kwangu , wananitumia meseji kuwa mechi...
  12. H

    Ukweli kuhusu Simba Sports Club

    Natumaini u buheri wa afya. Kumekuwa na mijadala mingi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uchezaji wa Simba. Ukweli ni kwamba baada ya Simba kujitathimini kwa muda mrefu imeamua kubadili falsafa yake ya kupiga pasi nyingi za nyuma na madoido yasiyokuwa na tija. Tathimini ilionesha ili timu...
  13. Andre-Pierre

    Nimezichungulia jezi za simba sports sijaridhika nazo

    Watu wa msafara wa kusambaza jezi za simba mikoani hasa maduka ya vunjabei wamepitia hapa nilipo. Jamaa yangu aliyepo kwenye msafara akanionesha jezi za simba zitakazozinduliwa baadae jioni. Sandaland ameleta jezi ambazo sijazielewa kwakifupi ni chini ya kiwango. Wana simba punguzeni matarajio
  14. Jamii Opportunities

    Female Sports and PE Teacher at Dar es Salaam Independent School

    Position: Female Sports and PE Teacher TEACHERS APPLYING FOR A SPORTS & PE TEACHER POSITION should have; At least five years’ experience teaching & training basketball, volleyball, football e.tc. Evidence of students’ achievement. Computer skills. Proficiency in English speaking and writing...
  15. Christopher Wallace

    Uzi mweupe wa Simba Sports ni wa moto, wana simba kaeni mkao wa kula

    Nimefanikiwa kuchungulia jezi za Simba za ugenini hizi nyeupe ni nzuri sana sijawahi kuziona aisee. Wana Simba kaeni mkao wa kula kwa uzi huu hakika vunjabei aliwachelewesha sana. Uzi ni mkali. Ikitokea hujauelewa niulize mimi
  16. Suley2019

    Tetesi: Uzi maalumu wa tetesi mbalimbali za usajili kuelekea msimu mpya wa ligi 2023/24

    Salaam ndugu zangu, Kama ilivyo ada katika wakati huu ligi yetu ya Tanzania inaelekea ukingoni tetesi ndiyo mahala pake. Nimeona nisogeze uzi huu wa tetesi na sajili mbalimbali ili tuweke rekodi sawa. Hivyo, uzi huu nitajitahidi kuweka baadhi ya tetesi za sajili za Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC...
  17. H

    Yafuatayo yatafanyika Simba SC kuelekea Msimu wa 2023/2024

    Kichwa cha habari chahusika. Baada ya kusuasua kwa misimu miwili ni dhahiri sasa kuna mabadiliko yafuatayo yatafanyika Simba SC: 1. Fred Nganjiro (Vunjabei) hataendelea kuwa kit supplier wa Simba. Itapewa kampuni ya nje ya nchi (hasa Afrika kusini) au ndugu yetu mmoja atachukua tender. 2...
  18. John Gregory

    Clouds Tv imekosa studio yenye hadhi kipindi cha Sports Bar?

    Habari wakuu, Nimeshangaa sana kuona hii studio/chumba cha habari wanachotumia Clouds Tv katika kipindi cha Sports bar mpaka nikajiuliza kwa nini wameamua kufanya hivyo? Je, wamekosa resource? Ubahili? Au ukata? Kwakweli chumba cha habari ni kama wapo ndani ya 'contena' au kabatini, Yaani...
  19. S

    Mahamud Zuberi wa Azam TV anavyoharibu kipindi cha Sports AM

    Mahamud Zuberi ndiye anayeendesha kipindi ambapo ni kipindi mahsusi kwa wachezaji wa zamami kueleza historia yao mpira hadi wakaibuka kuwa maarufu. Hivyo, watazamaji tunakuwa na hamu ya kumsikia mchezaji anachosema. Hivyo, tungetarajia muda mwingi autumie mchezaji kuongea yeye atumie muda...
Back
Top Bottom