betting

Gambling (also known as betting) is the wagering of money or something of value (referred to as "the stakes") on an event with an uncertain outcome, with the primary intent of winning money or material goods. Gambling thus requires three elements to be present: consideration (an amount wagered), risk (chance), and a prize. The outcome of the wager is often immediate, such as a single roll of dice, a spin of a roulette wheel, or a horse crossing the finish line, but longer time frames are also common, allowing wagers on the outcome of a future sports contest or even an entire sports season.
The term "gaming" in this context typically refers to instances in which the activity has been specifically permitted by law. The two words are not mutually exclusive; i.e., a "gaming" company offers (legal) "gambling" activities to the public and may be regulated by one of many gaming control boards, for example, the Nevada Gaming Control Board. However, this distinction is not universally observed in the English-speaking world. For instance, in the United Kingdom, the regulator of gambling activities is called the Gambling Commission (not the Gaming Commission). The word gaming is used more frequently since the rise of computer and video games to describe activities that do not necessarily involve wagering, especially online gaming, with the new usage still not having displaced the old usage as the primary definition in common dictionaries. "Gaming" has also been used to circumvent laws against "gambling". The media and others have used one term or the other to frame conversations around the subjects, resulting in a shift of perceptions among their audiences. Gambling is also a major international commercial activity, with the legal gambling market totaling an estimated $335 billion in 2009. In other forms, gambling can be conducted with materials which have a value, but are not real money. For example, players of marbles games might wager marbles, and likewise games of Pogs or Magic: The Gathering can be played with the collectible game pieces (respectively, small discs and trading cards) as stakes, resulting in a meta-game regarding the value of a player's collection of pieces.

View More On Wikipedia.org
  1. GITWA

    Naomba kujuzwa kuhusu Biashara ya Betting

    Amani ya Mungu iwe juu yenu Najua hapa kuna waelewa wa mambo mengi katika biashara hivyo naomba kujua mambo yanayotakiwa ili kuanzisha ofisi ya betting. Miongoni mwa mambo ninayotaka kujua ni; 1. Mtaji kiasi gani tunatakiwa 2. Nawezaje kupata mfumo wa betting 3. Leseni yake inapatikanaje 4...
  2. Mhafidhina07

    Hivi kuna njia yoyote ya kuacha kubet?

    kubeti ni tamaa ya kutoa kidogo na kupata kingi ndani ya muda mchache imetufanya vijana wengi tuishi kwenye dibwi la kubahatisha na kutaka vya haraka mpaka wengi wetu hudondokea kwenye madhara ya ushoga na liwati. Jamii inaharibika kwa kuwa betting inadhoofisha akili na vijana wengi hatufanyi...
  3. U

    Ndugu yangu alishinda betting milioni 7 na laki 4 mwezi wa kwanza, kwa sasa anatia huruma, hii michezo ina maendeleo kweli?

    Nilitegemea pesa hizo zitamsaidia kwamba mwaka umeanza vizuri kwake walau afanye cha maana afungue hata biashara lakini nimekuja kumfatilia naona hakuna la maana alilofanya, Kwa machache nayoyajua: alinunua simu ya laki 9 kaiuza kwa hasara kubwa mno alinunua Tv kubwa nzuri, kama kainunua...
  4. Danielmwasi

    LOOKING for reason to stop betting. here it is

    for me jamii forum is for fun and being stupid at times. but I will share you my bet history. for people who don't count their losses I start beting last year and wasted too much money and time. results shows. I only won 129,574 /= I spent way more than this. so betting can't be a job. I...
  5. 1

    Simba isipomfunga Al Ahly kesho nitajiondoa rasmi hapa Jamiiforums

    Ninaongea nikiwa na uhakika, michezo hii naifahamu vizuri, Simba anaua kesho vizuri tu. Na kama mwarabu atachomoka kesho, mimi 1979magufuli natangaza rasmi kuagana na jamiiforums. Iwe jua iwe mvua, mwarabu ameyakanyaga, mwarabu ameyatimba.
  6. R

    Siku yangu ya kwanza kuingia ofisi za kubeti kwa bahati mbaya

    Salaam, Shalom! Siku moja nilitoka nyumbani kwangu nilipanga kwenda mjini kununua baadhi ya mahitaji muhimu ya vifaa vya umeme, Niliondoka nyumbani majira ya saa tisa hivi, baada ya nusu saa, nilifika mjini, Sasa Pana duka la vifaa vya umeme kubwa nililokuwa nikitumia kununua mahitaji yangu...
  7. joyce123

    No betting and gambling challenge

    Wadau naomba Leo tarehe 13/03/2024 tuanze challenge ya kutocheza kamari yeyote
  8. wanzzuki

    Je, inawezekana kutajirika kupitia kubeti kwenye michezo?

    Kwenye makampuni mengi ya kubeti kuna hii kitu inaitwa jackpot ambapo kwa pesa yako kidogo tu utakayoweka unaweza kuondoka na mamilioni ya fedha. Sasa na mimi nataka niingie mazima kwenye kubeti soka ila kabla sijaingia naomba niwaulize, hivi inawezekana kweli kwa buku tu mtu akashinda jackpot...
  9. Teko Modise

    Betting imeajiri watu elfu 25 nchini

    Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Nchini (GBT) amesema sekta ya michezo ya kubahatisha imekuwa chanzo cha ajira kwa wengi nchini akiwemo yeye mwenyewe ambapo mpaka sasa zaidi ya watu elfu ishirini na tano (25) wameajiriwa kupitia michezo ya kubahatisha. Source: #EastAfricaTV
  10. Jamii Opportunities

    Trainee Dealer (15) at JX Betting (T) Limited February, 2024

    Position: Trainee Dealer (15) We are seeking enthusiastic individuals with a keen interest in games and a drive to deliver exceptional service to our valued guests. As a Trainee Dealer, you will embark on a comprehensive training program that will equip you with the knowledge and skills...
  11. W

    Napataje mechi yote ya marudio na mahala pakutoa malalamiko ya betting?

    Jamani kama nilivoeleza Pao juu nilibetia shoot on tergert za CRYSTAL PALACE vs BANLEY sasa Kuna sehemu nyingine wameonesha 6.0 na nyingine 6.1 sasa nilivo watafuta wamesema nitafutee full match tuhesabu shoot on tergert naipataje full mechii msaada jamani na pili kama hatuaelewana kampuni...
  12. M

    Kijana atoa ushuhuda na kusema hatoikaribia Betting tena

    Anaandika, Mimi ni kijana wa miaka 20s+ nilifundishwa kubeti mwishoni mwa mwaka 2014 Kama Sio mwanzoni mwa mwaka 2015 nikiwa bado nasoma secondary. Kabla sijajifunza kubeti nilikua kijana mwenye akili iliyotulia,mipango inayotekelezeka na mwenye future nzuri na yenye tumaini. Lakini kadri...
  13. Newbies

    Tanzania tumieni mapato ya betting kwaajili ya timu za Taifa

    Badala ya kuanza kuchangisha tunaweza kuamua kutumia mapato yapatikanayo katika tasnia ya michezo ya bahati nasibu ambayo ni mengi kuboresha na kuinua timu za Taifa kuliko kutembeza bakuli. Mfano wa nchi wanazoelekeza mapato ya betting kwenye timu za Taifa Ni Ujerumani. Ni aibu kila siku...
  14. R

    Je, kuna dini inakataza kubeti? Kama ipo waumini wake watakubali kutibiwa kwa kodi za betting? Kwanini wasitumie kwa mapato ya madini?

    Tumeanzisha mfuko wa kuchangia bima ya afya chanzo cha mapato yake ni kubeti. Ni kweli kwamba wanaobeti wengi wana matatizo ya akili na hivyo kuwawekea kiasi cha fedha zao kwenye matibabu ya afya zao ni jambo jema. Ni kweli kwamba wanaobeti wengi ni jobless hivyo kupata fedha za kujitibu ni...
  15. BARD AI

    Tozo za Miamala, Kodi za Vinywaji Vikali kugharamia Bima ya Afya kwa Wote

    Akiwasilisha Muswada wa Bima ya Afya kwa Wote Bungeni baada ya kukwama mara mbili, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema baada ya Serikali kutakiwa kueleza chanzo cha Fedha zitakazoendesha Bima ya Afya kwa Wote, Wizara ya Fedha imeridhia kuhamisha baadhi ya Kodi na Tozo kwenda kwenye mfuko huo...
  16. Eli Cohen

    Kweli betting imekuwa janga maana hata pro athletes wameanza kuhusishwa na issue hii

    Kuna addiction flani ukishiingia katika betting inakushikilia na haitakuachia hivi hivi no matter we ni tajiri kiasi gani. Recently wacheza mpira maarufu wameanza kupigwa suspension ndefu kutokana na wao kujihusisha na betting. Mtu anaweza kuchomesha team ili tu apige kibunda. Vijana mtaani...
  17. Cannabis

    Betting yachangia billioni 170 katika pato la taifa kwa mwaka 2022/2023

    Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT) imetimiza miaka 20 tangu kuanzishwa kwake July 01, 2003 ambapo imesema ndani ya miaka hiyo imefanikiwa kuchangia pato la Taifa kufikia Tsh. bilioni 170.43 kwa mwaka, kuongeza ajira kwa vijana na kuvutia uwekezaji wa kampuni 67 za kitaifa na...
  18. N

    Betting hadi katika mabadiliko ya nafasi za viongozi, Wizara, Mkoa na Wilaya.

    Nimeshuhudia jamaa waki-bet kuwa ndani ya siku 100 kutoka Mosi Oktoba, yatafanyika mabadiliko ya viongozi kutoka Wizara moja kwenda nyingine, Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya. Endapo atafanya mabadiliko kwenye Wizara atatoa fungu lake, na kama atabadilisha mkuu wa mkoa kuna fungu lake, pia...
Back
Top Bottom