KAMA LEO HII MWANAMKE ATATWEZWA UTU WAKE, WATAWEZAJE KWENDA KUCHUKUA FOMU YA UCHAGUZI?
"Serikali mwaka huu inaingia kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na mwakani uchaguzi mkuu, wapo watu mbalimbali watagombea wenye jinsia ya kike, kama leo hii watatwezwa na kudhalilishwa, nani mtoto wa kike...
Mke wa zamani wagwiji wa soko toka Brazil KAKA amefichua kuwa aliachana na supastaa huyo kwa sababu alikuwa "mkamilifu sana".
Nyota huyo wa zamani wa Brazil na Real Madrid alifunga ndoa na mchumba wa utotoni Caroline Celico mwaka wa 2005. Walidumu katika ndoa kwa muda wa usiozidi miaka kumi...
Kwa wewe ambaye umezaa na wanawake/ mwanamke ambaye hauishinaye inakupaswa ufahamu wamama wananguvu kubwa ya ushawishi kwa watoto kuliko wababa.
Kama hauna maelewano mazuri na huyo mwanamke uliyezaanaye usitegemee watoto watakuja kukutambua.
Nafahamu sio wababa wote ambao hawatoi huduma...
Bahati mbaya binti mwingine ana watoto wawili baba tofauti anauliza una mpango gani na Mimi.
Mwingine chuchu zimeshaanguka anakuambia sitaki unichezee.
Wewe mwenyewe ndiyo umeyachezea maisha yako sisi tunafanya mwendelezo tu.
Ungekataa kufanya tendo la ndoa kwa sharti mpaka uolewe kuna kijana...
Yaani mitaani tunaona hakuna stori nyingine zaidi ya maokoto.
Siku hizi wanawake ndo Wana hit na ku run Ndo maana hata ukitangaza kumpenda mtu mtaani swali la kwanza utaulizwa ni UNA HELA?
Utafanya nini kama umefiwa, umeupeleka mwili wa mpendwa wako kuhifadhiwa alafu unapigiwa simu kwamba mwili hauonekani? Umepotea? Haujulikani ulipo?
Tafuta popcorn, ambaa na kisa hiki..
Baada ya kutokea ajali, mlinzi wa hospitali akigongwa na gari mita kadhaa kutoka eneo lake la kazi, inspekta...
Pamoja na mabadiliko ya life style kubadilika kutokana na vimbwanga vya huyu mwanamke vidogo vidogo lakin kuna kitu kipo tofauti.
Tangu nimemuoa naona Kanyota kana ng’aa aisee Riziki inaonekana.Vimichongo vimeongezeka had nashangaa!!
Nahisi huyu mwanamke amekuja na nyooota..
Kipindi naoa Sikua...
Je ni kawaida kwa mwanamke kuona siku zake(mzunguko) kwa tarehe zisizo na utulivu mara kwa mara kwa karibu tena miaka miwili. Mwanamke ambaye siku zake sio steady atapataje mimba?
Mfano mwanamke kuona siku zake za mwezi tarehe 9 mwezi flani then mwezi unaofata anaona tarehe 7 au kama kaona...
Wimbo wa mtoto wa geti ulikuwa kwa ajili ya kuwapa faraja " watoto wa kiume" (elewa maana ya " mtoto" wa kiume) pamoja na wanaume makabwela wasio kuwa na akili za kiume.
Wimbo huo ulikuwa una appeal zaidi na nafsi na fantasy za makundi ya watu nilio wataja hapo juu yani watoto wa...
Huu upwiru utakuja kutuua jamani aisee tunapaswa kuwa na tahadhari wakati huu wa ujana wadau ama kweli ujana ni kaa la moto wakuu ukiuvhezea vibaya utakuja kujuta uzeeni kiukweli yaliyonikuta jana ni habari nyingine wakuu mniombeea
Jana maeneo fulani ya Binyampola hapa Kahama nilienda zangu...
Sina haja ya kusema mengi sana ukweli ndio huo kama mnavousoma hapo juu, hakuna kitu kinaitwa mwanamke wife material hakunaga, ukihisi umempata ujue kabisa umepatikana.
Akijipata ndio utajua kwanini Yesu yuko mbinguni ila shetani katulia kimpango wake toka enzi hapa duniani.
Tuendelee n...
Kuna uzi unasema kuwa Baba wa kambo kalea binti mpaka kawa mtu mzima lakini Binti alipotaka kuolewa mahari akasema apewe Baba yake mzazi na sio wa kufikia.
Uzi wenyewe huu hapa Tumsaidie huyu kimawazo
Ngoja niwaambie kitu ambacho hamkijui,
Ukioa Mwanamke mwenye mtoto kuna asilimia 90% kuwa...
Salute wakuu
Kuna dada ni rafiki yangu na amekua akinishirikisha mambo yake mengi ya ndani.
Huyu dada aliachwa na jamaa yake ila kile kibuti cha jamaa kidogo kiondoke na roho ya dada, aliteseka, alikonda ila baada ya muda akakaa sawa, akanenepa, akapendeza na mwenyewe akawa anadai kwa sasa...
Salaam,Shalom!!
Leo twende Kona za kinabii, watakaodaka wadake, wasioelewa ndo basi tena, wale wasioamini kuwa Mungu husema na manabii, ndo kabisa, hawatodaka chochote.
MWANZO WA NDOTO.
Roho wa akanichukua Hadi Mahali palipokuwa na maji mengi, ufukweni mwa ziwa na tazama, mnyama mkubwa...
Hili gaidi la kiislamu limeamua kufunguka yote baada ya kukamatwa....
Pressed how long the rape lasted, Islamic Jihad terrorist Manar Mahmoud Muhammad Qasem said around 60-90 seconds.
The IDF on Thursday put out a video of a Unit 504 interrogation of an Islamic Jihad terrorist named Manar...
Kwenye mapenzi mbali na ngono kuna mambo ya kusaidina matatizo madogo madogo na hata makubwa kama yapo ndani ya uwezo wenu.
Mfano mwanaume umemuambia mwanamke wako akuazime let's say Tshs 20,000 na ukamuahidi kwamba utamrejeshea baada ya siku tano lakini baada siku moja kabla ya kufika siku ya...
Mwanamke mwenye mzunguko wa siku 21 ambaye anaingia hedhi kwa siku 7. Siku yake ya hatari ya kubeba mimba inangukia siku ambayo bado yuko kwenye hedhi. Inabidi akutane na mtu wake siku ya hedhi ili mimba iingie. Bila kujua hilo anaweza kumaliza waganga wote akijua yeye ni mgumba.
Credit: Dr. Kala
Mwanamke ameumbwa kuhudumiwa tu,
Mwanamke ili atafutiwe na apewe atumie na ikitokea Mwanamke akatafuta na watu wakatumia basi watu hao hivyo vitu vitawatokea puani kwa masimango au kashfa yoyote watakayopewa.
Mfano huu hapa baba yangu wakati anamuoa mama yangu wa pili (mama wa kambo) alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.