meno

Meno (; Greek: Μένων, Ménōn) is a Socratic dialogue by Plato. Meno begins the dialogue by asking Socrates whether virtue is teachable. In order to determine whether virtue is teachable or not, Socrates tells Meno that they first need to determine what virtue is. When the characters speak of virtue, or rather arete, they refer to virtue in general, rather than particular virtues, such as justice or temperance. The first part of the work showcases Socratic dialectical style; Meno, unable to adequately define virtue, is reduced to confusion or aporia. Socrates suggests that they seek an adequate definition for virtue together. In response, Meno suggests that it is impossible to seek what one does not know, because one will be unable to determine whether one has found it.Socrates challenges Meno's argument, often called "Meno's Paradox" or the "Learner's Paradox," by introducing the theory of knowledge as recollection (anamnesis). As presented in the dialogue, the theory proposes that souls are immortal and know all things in a disembodied state; learning in the embodied is actually a process of recollecting that which the soul knew before it came into a body. Socrates demonstrates recollection in action by posing a mathematical puzzle to one of Meno's slaves. Subsequently, Socrates and Meno return to the question of whether virtue is teachable, employing the method of hypothesis. Near the end of the dialogue, Meno poses another famous puzzle, called "The Meno Problem" or "The Value Problem for Knowledge," which questions why knowledge is valued more highly than true belief. In response, Socrates provides a famous and somewhat enigmatic distinction between knowledge and true belief.

View More On Wikipedia.org
  1. SAYVILLE

    Benchikha hana meno hapo Simba, hajazoea mpira wa kubembelezana

    Benchikha alipokuja tu Simba, niliwahi kuja na nyuzi mbili nikitoa tahadhari kuwa mafanikio yake yanaweza kuwa duni kutokana na hali aliyoikuta Simba. Kwanza niliongelea suala la quality ya wachezaji aliopewa aende nao vitani. Pili nikaja kuongelea athari za kurithishwa migogoro kati ya...
  2. C

    NADHARIA Mtu akikung'ata ukapaka mavi ya kuku meno yake yanaoza

    Wakuu, Kipindi tulipokuwa watoto nilikuwa nasikia hii sana kwamba uking'atwa na mtu ukienda kupaka kinyesi cha kuku basi yule aliyekung'ata meno yake yanaoza yote! Ni kweli hii au ilikuwa njia ya kufanya watoto wasiwe wachokozi kwa wengine?
  3. MKATA KIU

    Mchungaji Daniel Mgogo anasema Sadaka zinatolewa hili ziliwe na wachungaji. Mungu hana account ya kupokelea Sadaka, Wachungaji ndio Meno ya Mungu

    Pastor Daniel Mgogo anasema sadaka zinatolewa hili ziliwe na wachungaji, maana Mungu hana account ya kupokelea pesa za sadaka. wachungaji ndio wawakilishi wa Mungu hivyo wana haki ya kuzila sadaka kwa niaba ya Mungu
  4. Teko Modise

    Tuambie huwa unatumia dawa gani ya meno?

    Mimi nimeweka kambi hapa kwa Colgate max fresh, hakika iko vizuri sana. Nilikuwa na tatizo la fizi kutoa damu ila baada ya kutumia hii tatizo limeisha. Tushirikishe wewe huwa unatumia dawa gani unaposwaki meno yako?
  5. Chawa wa lumumbashi

    Mwasisi wa unafiki na uchawa nchi hii ni mchonga meno( baba john,baba maria na baba rosemary)

    Yule jamaa mwandishi wa habari wa kwanza wa BBC swahili na hakika ndiyo alistahili kuwa rais wa nchi hii sio huyu mnaomsema ninyi kwanza mnaomsema ninyi ni mwasisi wa haya yote kwanza waTanzania kuanzia udini,uoga, unafiki na uongo uongo wa ninyi wajinga wajinga Kitendo cha yeye kumsema Amini...
  6. MamaSamia2025

    Wakuu tatizo langu la meno liko complicated nataka ushauri wenu

    Wakuu nina tatizo la meno kuuma. Meni ya juu upande wa kushoto. Kiukweli maumivu yake sio ya kutisha kama ambavyo watu wakiumwa jino inavyokuwa. Ila ni maumivu ambayo hayakomi hasa usiku. Kimsingi comfortability hakuna. Nilienda hospitali wakataka kung'oa nikakataa ikabidi wanipe dawa za...
  7. Trubarg

    Harufu ya utapeli, kuna watu watalia na kusaga meno soon

    Kuna mchezo wa watu wanajiita Jumia, wao wanasema wanafanyankazi ya matangazo online. Wanakupa task ya kuweka like kwemye video za youtube then wanakulipa buku (1k). Unatakiwa kufanya task zote, na wanalipa in lumpsum of 10 tasks. Sasa trend nayoiona kila baada ya task mbili kuna task moja ya...
  8. A

    UN inaonekana kukosa meno kwenye masuala nyeti yanayoikumba Dunia. Dunia inapasuliwa katika pande mbili

    UN ni shirika la Umoja wa Mataifa, Shirika hili lina makao yake makuu katika jimbo la Kaskazini Mashariki mwa Marekani ya Kaskazini linalofahamika kwa jina la New York. Shirika hili lilianzishwa Oktoba 24, 1945 katika mji wa San Francisco katika jimbo la California nchini Marekani (USA). Moja...
  9. Mr Q

    Kwanini kucha, nywele huendelea kukua hadi uzeeni na sio meno na viungo vingine?

    Pengine elimu ya viumbe ilinipita kando au mwalimu wangu hakugusia hilo katika ufundishaji wake au mimi sikukumbuka kuulizia hilo enzi ninasoma. Sasa Nakuja kwenu nikiamini mnaweza kunipa jibu litakalo nisaidia kuelewa ni kwanini baadhi ya viungo vya mwili kama kucha na nywele huendelea kukua...
  10. J

    Bashungwa aipa meno bodi ya ushauri ya TANROADS

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameitaka Bodi ya Ushauri ya Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), kutokafanya kazi za maofisi na badala yake kutembelea na kukagua na kufuatilia utekelezaji wa miradi kuanzia ngazi za awali za manunuzi, mikataba, utekelezaji, ufanisi wa miradi kulingana na...
  11. Nsanzagee

    Kale ka nchi kanaweza kuvamiwa na kushambuliwa, lakini mwisho wa siku, mvamizi ataambulia kujuta na kusaga meno

    Sjawahi kujua ni kivipi Israel huwa ni vigumu kupigika. Ukiondoa hiyo Imani ya kusema ni taifa la Mungu, lakini Je, Mungu hachukii kisirani? Mbona hicho kitaifa kina watu na viongozi wenye kisrani sana. Ni kagomvi mpaka nachukia, hakaogopi nchi kubwa wala mhuni kama Iran. Naomba kujua...
  12. I

    Ili TAKUKURU iwe na meno ishirikishwe katika mipango ya idara na mashirika ya umma

    Mara kadhaa Rais na wapambe wake wakiwemo mawaziri wanapohisi kuna ubadhilifu katika fedha za umma huwaagiza TAKUKURU wafanye uchunguzi! Mtindo huu wa utawala ni wa hovyo kwani tayari fedha zinakuwa zimetumika vibaya. Jambo hili lingeweza kuepukika kama TAKUKURU wangeufahamu mradi tangu mwanzo...
  13. Roving Journalist

    Mbeya: Ashikiliwa kwa tuhuma za kupatikana na nyara za Meno ya Tembo yenye uzito wa kilogramu 7.5

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kipindi cha kuanzia Septemba mosi hadi 12, limefanya oparesheni na Misako yenye tija katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Mbeya na kupata mafanikio ikiwa ni pamoja na kukamata watuhumiwa 29 wakiwemo wa kupatikana na nyara za serikali (Meno ya Tembo), kufanya...
  14. D

    Meno ya Ndovu na Pembe za Tembo ipi sahihi?

    Mara nyingi nasikia Pembe za Ndovu na meno ya Tembo na sio vice versa je tofauti yake ni nini? Naombeni mnisaidie kwa hili.
  15. yvee

    UZUSHI Msimbo (Code) wa rangi kwenye kasha la dawa za Meno huonesha aina za kemikali zilizotumika kutengeneza dawa hiyo

    Kumekuwepo na madai yanayosambaa mtandaoni kuwa makasha ya dawa za meno huwa na rangi (code) za aina mbalimbali zinazofafanua aina ya kemikali zilizotumika kutengenezea dawa hiyo. Aidha, madai hayo yanafafanua zaidi kuwa kemikali husika ni hatari kwa afya na husababisha saratani, na kwamba...
  16. Msanii

    Ongezeko la bei ya mafuta: Je, Bunge lina meno ya kuiwajibisha EWURA?

    Ni vyema kwanza niwapongeze watakaoelewa mantiki ya huu uzi. Katika mawanda ya sheria, kuna kitu kinaitwa mgongano wa maslahi. Ni kwamba Hakimu au Jaji au mtu yeyote anayesimama kwenye altare ya kutoa haki anapaswa kujiepusha na hiki kipengele. Huwezi ukasimama kusikiliza na kuhukumu kesi...
  17. Wagumu Tunadumu

    Kwanini wanawake ndiyo husumbuliwa zaidi na meno kuuma au kutoboka?

    Pamoja na kuwa hii gender ipo vizuri kwenye maswala ya usafi wa mwili na mazingira kwa ujumla,kwanini hasa wanakuwa wanapatwa na tatizo hili? Wataalamu naombeni majibu,toka nimekuwa na ufahamu na kuishi kwenye jamii mbali mbali ambazo nimebahatika kuishi nimekuwa nikiona wanawake wanapatwa na...
  18. Sildenafil Citrate

    Iringa: Akamatwa na meno 7 ya tembo katika nyumba ya kulala wageni

    Jeshi la Polisi Mkoani Iringa limemkamata Jacob Mhanga (54) Mkazi wa kijiji cha Utiga Mkoani Njombe akiwa na meno saba ya Tembo katika nyumba ya kulala wageni. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa Allan Bukumbi amesema Mtuhumiwa huyo alikutwa katika nyumba ya kulala wageni katika kijiji cha...
  19. CK Allan

    TUCTA: Nyongeza ya Mshahara itaanza kulipwa Mwezi August

    Barua ndio hii ngoja tusubiri! Ingawa naona dalili za mkutano kuahirishwa au ukiwepo hautakuwa na tija. Tunajua kabisa TUCTA ndio Serikali yenyewe. ====== SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WAFANYAKAZI TANZANIA (TUCTA) TARIFA KWA WAFANYAKAZI KUHUSU AHADI YA NYONGEZA YA MSHAHARA YA KILA MWAKA (ANNUAL...
Back
Top Bottom