Huyu jamaa anaunguza karanga kwa kutumia kemikali ya "sulphuric acid" na kutembeza mtaani! Karanga! Karanga! Waswahili hatutaki shida ya mambo ya kuthibitishwa ubora tunaona tunanyanyasika!
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Stergomena Tax, Machi 14, 2024 ameshiriki katika hafla ya kufunga mafunzo ya utayari dhidi ya dharura za kemikali na mionzi, ambapo Mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa. Sambamba na Ufungaji...
Naomba kujuzwa na wajuzi👂
Yaani mfano ningeuliza ugali ni kemikali gani unasema ni kabohaidrati (CxHxOx)
Sasa je, hii ndimu huwa ni nini. Ile ya unga ya dukani?
Taratibu tutaongea lugha moja
A large explosion was observed near the Iranian city of Shahriar, near the capital Tehran, on Thursday evening, according to local media and footage shared on social media.
Iranian media reported that a large fire broke out at a chemical solvent production...
Kuwezesha Ukuaji na Ufanisi: Suluhisho Bora za Kemikali na Huduma Zetu kutoka ISMANI COMPANY LTD!
Tunatoa kemikali za hali ya juu kwa bei ya jumla na rejareja, zilizotengenezwa kwa viwango vya kimataifa.
Tumejitolea kuleta ubora, usalama, na ufanisi katika shughuli zako za viwandani na...
Chips ni chakula kinachotengenezwa kutoka kwenye viazi. Chakula hiki kimekuwa kinahusishwa na matatizo mengi ya kiafya ikiwemo magonjwa ya moyo.
Wataalam, tusaidieni ni kipi hasa kinachofanya chips iwe mbaya kiasi cha kuhusishwa na mambo mabaya.
Kumekuwepo na madai yanayosambaa mtandaoni kuwa makasha ya dawa za meno huwa na rangi (code) za aina mbalimbali zinazofafanua aina ya kemikali zilizotumika kutengenezea dawa hiyo.
Aidha, madai hayo yanafafanua zaidi kuwa kemikali husika ni hatari kwa afya na husababisha saratani, na kwamba...
Unawaliza watu kwenye nchi yao, nawe kubali kulizwa kwenye nchi yako.....
https://twitter.com/i/status/1698965937502785800
SCREENSHOT: VIDEO
A fire has occurred at the Sibur petrochemical plant in Russia's city of Dzerzhinsk.
Source: Kremlin-aligned Russian news agency RIA Novosti, citing...
Dereva wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Lusajo Makiwelu, anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuwamwagia kemikali watu wawili akiwemo mtalaka wake, Witness Nguvalwa (31) na mtoto wake mwenye umri wa miezi sita (jina limehifadhiwa).
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno, amethibitisha...
Dereva wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Lusajo Makiwelu, anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuwamwagia kemikali watu wawili akiwemo mtalaka wake, Witness Nguvalwa (31) na mtoto wake mwenye umri wa miezi sita (jina limehifadhiwa).
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno, amethibitisha...
OFISI ya Mkemia Mkuu wa Serikali na wasafirishaji wa kemikali wamesema hakuna dereva anayepoteza maisha kwa kuathiriwa na kemikali kutokana na uhifadhi usiofaa wakati wakusafirisha.
Ufafanuzi huo umetolewa Mara baada ya kusambaa kwa video katika mitandao ya kijamii iliyorekodiwa na raia wa nchi...
Kumeibuka wimbi la wafanyabiashara wengi wakiingiza nchini madawa mbalimbali yenye kemikali kali za kurefusha uume, kuongeza ndevu, kukupa six packs hata kama una mtumbo mkubwa kama wa Bujibuji Simba Nyamaume , dawa ya kuotesha nywele kwenye upara na nyingine nyingi. Na kuna madawa ya...
KWA MAHITAJI YA
🛢️Sulphuric Acid
🛢️Borax
🛢️Nitric Acid
🛢️Hydrogen Peroxide
🛢️Caustic soda
🔥cynide
Na Kemikali nyinginezo nyingii za
Viwandani
Migodini
Kilimo
Mifugo
Wasiliana nasi AquaGreen Ltd
,Wauzaji wa jumla na Reja Reja ,kupitia.
0754763364
Mabehewa 22 ya Shirika la Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) yamedondoka mkoani Morogoro yakiwa na kemikali tani 1,099 za Sulphur Dioxide.
Wataalamu kutoka katika mamlaka mbalimbali za serikali wapo katika jitihada za kudhibiti madhara ya kemikali hizo kwa binadamu na wanyama baada ya treni hiyo...
Putin amewataka wananchi wa Urusi kuachana na kunywa sumu ama kemikali kutoka kwenye vinywaji baridi kama Cocacola na wapendelee kunywa vinjwagi vya asili ambavyo havina sumu na pia sio kemikali.
Putin anasema Coca Cola ni kemikali tupu na ni sumu.
Mwaka .2012 Donald Trump aliwahi kusema Pepsi...
Habari
Kwa mahitaji ya chemicals mbalimbali, kama vile,
▶️CAUSTIC SODA
▶️HYDROGEN PEROXIDE
▶️SULPHURIC
▶️ACTIVATED KABONI ya (india,Philipines na usa)
▶️SODIUM CYNIDE
▶️SULPHONIC
▶️CAUSTIC SODA
▶️NITRIC ACID
▶️FORMALINE
▶️SODA ASH
▶️CMC (sodium methyl cellulose)
▶️SODA ASH
▪️TITANIUM DIOXIDE...
Imeripotiwa kuwa Marekani imekuwa ikituma vifaa vya kinga (PPE) kwa Ukraine kwa ombi la nchi hiyo ili kujiandaa kwa shambulio lolote la silaha za kemikali wakati wa vita dhidi ya Urusi inayoendelea.
Msemaji wa Baraza la Usalama la Kitaifa la Rais Joe Biden alithibitisha kwamba "vifaa vya kuokoa...
Kwenye plastic kunakundi moja la kemikali linalipatikana kwa wingi ndani yake. Linaitwa biphenols. Hii ni kemikali hatari sana sababu ni carcinogenic. Na mbaya zaidi kemikali hii inafanana na hormone inayopatikana kwa wanawake iitwayo estrogen na inaweza fanya kazi za estrogen.
Hii inaweza...
ASBESTOS NI NINI?
Asbestos ni madini yanayochimbwa ardhini kama madini mengine. Kwa miaka iyoyopita asbsestos ilikuwa na bei nzuri katika soko la dunia kwa sababu ilikuwa na matumizi mengi katika viwanda. Tanzania asbestos inapatikana Ikorongo (Musoma), mbembe (Morogoro), Rubeho(Mpwapwa) na...
Sabuni pia zinasemekana kuwa na kemikali zinazoathiri mbegu za wanaume
Kemikali zinazopatikana katika baadhi ya bidhaa ambazo hutumiwa kila siku kama vile dawa ya kusugua meno, sabuni na mafuta ya kujikinga kutokana na miale hatari ya jua zinaweza kuharibu mbegu za uzazi za wanaume.
Kwa mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.