WanaJF Kwa mda mrefu sasa kuelekea utungaji wa katiba mpya kumekuwa na mjadala mkali kuhusu muungano wetu uwe wa muundo upi sasa ningependekeza tuwe na kura ya maoni hapa JF kuhusu muundo wa...
Wanabodi ninakerwa na jambo hili naomba tujadili. Hivi serikali ni nani? Nilidhani ni wananchi ambao wanawakilishwa na Bunge?
Kutokana na majadiliano yanayoendelea bungeni kuhusu mikataba ambayo...
Habari wadau wote wa JamiiForums. Naamini kwamba hamjambo na Mwenyezi Mungu, muweza wa kila kitu amewajaalia kuamka salama. Kwa wale ambao kwa bahati mbaya siku ya leo wameamka vibaya kutokana na...
Bunge Maalum la katiba linaendelea muda huu na leo wajumbe wataendelea kujadili sura ya kwanza na sita ya rasimu mpya ya katiba.
Mh. Sereweji
kutoka Zanzibar anasema kuwa muundo wa serikali...
HIVI SASA, Ni matangazo ya moja kwa moja (live) kutoka ukumbi wa mikutano wa karimjee yakirushwa na TBC1. mgeni rasmi ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania JAKAYA MRISHO KIKWETE... KATIBA...
Wadau, naamini kuwa hamjambo na mmeamka salama. Nami pia Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniamsha salama. Wale wagonjwa tuwaombee kwa Mwenyezi Mungu awajaalie wapone haraka. Wale waliofikwa na...
Kwa mujibu wa ITV leo 4/8/2014 Mwalimu Nyerere Foundation wataendesha mdahalo kabambe kuhusu Katiba mpya pale Ubungo Plaza kesho Jumatatu tarehe 4/8/2014 kuanzia saa 9 alasiri wasemaji na...
- Lissu: Nyerere alitoa amri yaani Decree na watumishi wote na idara zote za Tanganyika ziligeuzwa kuwa za muungano
- Lissu anamalizia kwa kusema nchi hii ni haramu!!
- Lissu: Tanganyika...
Wadau, naamini mmeamka salama na akili zimetulia baada ya yale yaliyotokea jana.
Kwa mujibu wa maelezo ya Mwenyekiti wa Bunge Maalum ambayo ameyatoa jana usiku, ni kwamba Bunge litaendelea na...
Mwadhama Kadinali, Polycarp Pengo amesema kwamba kauli iliyotolewa hivi karibuni na Askofu wa Jimbo la Rulenge mkoani Kagera, Severine Niwemugizi kwamba Katiba mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi...
Ndugu wanabodi,
Msisahau kufuatilia mdahalo wa Katiba utakaorushwa live na ITV. Watoa mada ni Prof Ibrahim Lipumba, Tundu Lissu, Ally Awadhi, na Humprey Polepole.
Pia alialikwa Steven Wassira...
Mwana UKAWA na wakili msomi Kamanda Mh.Tundu Lissu atakuwa live Star Tv kuanzia saa 8 mchana katika mdahalo wa katiba uliondaliwa na UDASA.
Atakuwepo pia Dr. Kitila kama mwana UDASA na upande...
Rasimu ya Warioba na Tume ya Mabadiliko ya Katiba = "A" au Rasimu ya Sitta,Chenge na Baraza Maalumu la Katiba = "B"
Piga kura yako kwa kuandika neno "A''au "B" au unaweza kuandika "Warioba au...
UKAWA leo wamechanganyikiwa baada ya Ummy Mwalimu, Mwenyekiti wa Kamati Namba Moja kumwaga nondo za kutetea muundo wa serikali Mbili na kuuponda muundo wa Serikali tatu.
- Juma Duni Haji...
Kikao cha bunge maalum la katiba kinaendelea leo hii, kinachojadiliwa hasa ni sura ya kwanza na sita ya kwenye rasimu ya katiba.
Mh. Mbarouk anaunga muundo wa serikali mbili maana ndo anaamini...
Tusikubali kwenda serikali tatu. Kwa vile tumekatazwa kutaka kuvunja Muungano - japo waliotukataza hawana uwezo huo - na kwamba tunaweza kujadili "muundo" bora wa Muungano.
Ninawasihi watu wa...
Habari wadau wote wa Mtandao Pendwa Tanzania, mtandao wa kila mtu bila kujali itikadi zake za kisiasa, kidini, umri na jinsia, Mtandao wa JamiiForums.
Ni matumaini yangu kuwa Mwenyezi Mungu...
Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko na teuzi za sura mpya kwenye baraza la mawaziri. Uapisho utafanyika September 1, Ikulu ndogo Zanzibar saa tano kamili asubuhi.
1. Rais Samia Suluhu Hassan...
Wadau, amani iwe nanyi.
Kama kawaida yetu tutaendelea kuwaletea mtiririko wa mijadala Bungeni Dodoma. Kwa sasa Bunge lipo kwenye mchakato wa kukamilisha kupitisha vifungu vya Kanuni za Bunge...
Wadau, amani iwe kwenu.
Natumaini kwamba hamjambo na Mungu Muweza amewaafikisha kuiona vema siku ya leo. Kwa wale wagonjwa tuzidi kumuomba Allah awajaalie wapone mapema. Na wale waliotangulia...
Wadau, amani iwe kwenu. Huku Dodoma hali ni shwari kwa siku ya leo. Nje ya UKUMBI wa bunge hali ya ulinzi imeimarishwa ingawa ni tofauti na jana. Leo wapo askari wachache na ile barabara kuu ya...
Wanajamvi
Maandalizi yanaendelea ktk viwanja vya Ikulu
Niwasihi mvute subira tuwahabarishe na Wanajamvi walioko hapa tukio kubwa katika hatua ya utungaji wa katiba.
Ambapo Tume ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.