Hii hapa wadau...
Watanzania wote hatuwezi kuwa na msimamo mmoja, ila ccm mna msimamo mmoja. Lazima mjitizame, kwanini ccm wote mna mtizamo mmoja?
Katiba nzuri
Katiba nzuri
Nyie walamba miguu ya mafisadi kila kitu kwenu kizuri. Hukuona Kenya watu wanahojiwa na kamati ya bunge live kwenye Tv ili wapate nafasi walizoteuliwa, au ndio na wewe walewale ulitoa kiboga ukapata kazi serikalini unataka katiba ibaki kama ya zamani umrithishe nafasi yako hawara yako. Dizaini za akina Vicky Kamata sio
Uzuri wake nini mkuu? Utakimbilia kusema haki za wafugaji
Rais akiiba unaweza kumshitaki?
Mafisadi ambae ni wateule wa Rais wewe mwananchi unaweza kumuwajibisha?
Wateule wa Rais wanadhibitishwa na Bunge kama ilivyo kwa nchi za kidemocrasia?
Mkuu wa mkoa, wilaya, mkurugenzi wa Halmashauri unaweza kuwawajibisha wewe mwananchi?
Mbona sasa wabunge wameongezeka kuliko mwanzo?
Mazuri we hujayaona?
Hivi hamjisikii aibu umati wote ule kuwashangaa?