Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
- Lissu: Nyerere alitoa amri yaani Decree na watumishi wote na idara zote za Tanganyika ziligeuzwa kuwa za muungano
- Lissu anamalizia kwa kusema nchi hii ni haramu!!
- Lissu: Tanganyika haikuwawa na Hati ya Muungano bali na amri ya aliyekuwa rais Nyerere
- Mwongozo wa Serukamba kuwa tuko hapa kama nani kama Hati ya Muungano haipo.
- Mtikila ameomba kuongea .. haya .. anamjibu Serukamba kuwa tuko hapa kuandika katiba mpya kwa msingi wa ukweli
- Mchungaji Mtikila: 'tulijengwa kwenye misingi ya uongo ndio maana Mungu alishindwa kubariki hii nchi yetu kwa miaka 50'
- Sasa ni kamati 6 inawasilisha mkiti ni wasira
- Mtikila: Muungano wa Tanzania ni suala la Kitapeli!
- Amon Mpanju: hakubaliani na Mtikila kuwa hatujabarikiwa na pia amehoji utaalam wa Lissu
- Kamati 6 ufafanuzi wa walio wachache utawasilishwa na Ismail Jussa .. msikose..
- Naona wasirra anaongea bila kusumbuliwa
- Sasa sijuwi walio wengi kama wataheshimu pale jussa atakapo kuja kwa ufafanuzi wa walio wachache
- Sasa wassira anawasilisha maoni ya wachache
- Wassira Tukiweka serikali 3 hapa zikaweka masharti kuna watu watapata matatizo, unapunguzia Wazanzibari fursa'
- Wassira anasoma maoni ya wachache cha kushangaza anasitasita na kuyatolea ufafanuzi
- Pia anasoma kama kalazimishwa
- Mwandosia sasa anatowa taarifa ya ajali aliyopata makamu wa rais jana na viongozi waandamizi
- Sitta amsisitiza atoe kwa kifupi tu
- Bunge maalum linatoa pole kwa makamu wa rais na waathirika wote wa mafuriko
- Anawaasa wabunge wote watoe posho zao za siku kuchangia maafa ya mafuriko
-Jussa anaanza na kusema ana waraka ambao haukuwekwa ktk ripoti.
- Jussa: kujadili muundo ni kinyume na sheria ya mabadiliko. Tukitaka kujadili s2 tuunde Tume nyingine
- Jussa: tuhuma nzito kurudisha sultani .. Mkapa alipotoa msamaha kwa sultan alikuwa kama mkiti.wa chama gani?
- Jussa taarifa ya mpanju naipuuza kama navyompuza yeye mwenyewe
- Jussa: anaeleza kuwa chama kitakachorudisha sultani ni CCm
- Jussa: kuleta hoja ya sultani haina mishiko mbona hatusemi kwa Tanganyika tunataka kumrudisha Malkia
Jussa: tukifanya vitu kwa kuzoea tu.. tulipaswa kuendelea na ukoloni? Tanganyika ilitawaliwa na Zanzibar
Jussa: Katiba ya 1965 ilitaja Tanganyika .. sasa ilikufa vipi aprili 1964?
- Jussa: Tanganyika ipo lkn imejificha ivuliwe koti
- Jussa: mwaka 2011 mkiti Sitta ukikutana na sisi Baraza la Wawakilishi wote pande zote tulikuwa wamoja sasa wameufyata!
Jussa: kamtaja Asha Bakari walitoka wote baada ya kukataliwa kuzungumzia masuala.ya utalii sasa anaufyata
- Jussa: mambo yote ya sarafu na benki, elinu ya juu, mafuta, utafiti.. nk yamechukuliwa na kuwekwa Muungano.. tumechoka
- Jussa: Shivji alitaja zaidi sheria 40 zilizotumika kunyanganya mamlaka ya.Zanzibar. Hatukubali
- Jussa: Tanganyika ikiwa imevaa koti la Muungano inatunyanganya mamlaka yetu.Znz .. hatukabali hatukubali
- Jussa amemaliza kuwasilisha kwa makofi makubwa
- Jussa: hansard ya 1965 inaonyesha katiba iliandaliwa kwa siri
Jussa.. ramani ya Zangebar inayoonyesha utawala wa Znz mpk huku Bara
Ufafanuzi wa walio wachache kwa kamati.hii ya mwisho ni Freeman Mbowe
- Mbowe anamshukuru Wassira kwa niaba ya dola atawasilisha Hati ya Muungano
- Mbowe: Fursa hii ya kutibu majeraha. Tuone makosa waliyofanya waasisi wetu kwa nia njema na turekebishe
- Mbowe: lazima tuwe na misingi ya kuandika katiba .. hatuwezi kuandika katiba mpya kwa rushwa.. unafiki
- Mbowe: Ni lazima tuwe na Ujasiri wa kusema ukweli ktk kila hatua ya mchakato wa kuipata Katiba Mpya
- Mbowe: Miongoni mwa watu waliotaka tuwasaidie kufikisha kilio chao sisi tulio wachache ni Makonda!
- Mbowe: tunapata wapi ujasiri kuwatukana wajumbe wa Tume
- Kuna Mjumbe: Kama hayati Mwl Nyerere alikosolewa na kudaiwa ni mwongo; basi hata Wariona na wenzake wanaweza kukosolewa
- Mbowe:Hatupo hapa kutetea 'personality' tunatetea 'issues'
- Mbowe: serikali ya CCM walikuwa na watumishi zaidi 100 walishirikiana na Tume kufanya hii rasimu. Kawataja baadhi
- Mbowe: Tume ya Warioba inapobezwa basi ni kuwa wanaobezwa ni watumishi wa serikali na hata chama tawala!
- Mbowe: taifa limetumia pesa za wananchi bil 68 kufanya utafiti huu
- Mbowe: mnataka kuleta rasimu ya serikali 2 ambayo haipo
- Mbowe: Kuna seminar imefanywa kwa baadhi ya wabunge ikiandaa vifungu vya kuchomeka kwenye rasimu!
- Mbowe: taasisi zenye uwakilishi wa mamilioni ya watu mf CDM, CUF, NCCR, LHRC, Tanganyika Law Society walipendekeza s3
- Mjumbe: Mbowe anapotosha, TUCTA tulipendekeza "Serikali Moja" na si tatu kama alivyodai CWT wadai walipendekeza TATU!
- Hawa Mchafu: TUCTA tulipendekeza s1 .. Oluoch kajibu walimu ni 90% wamependekeza s3
- Mbowe:Tunawaunga mkono wazanzibari wanaoipigania Zanzibar, nasi tunaupigania utaifa wetu wa Tanganyika!
- Orodha imeshatoka ya kuchangia leo.
- Machali:nimestuka leo hii kusikia mjumbe mwenzetu pinda leo anakiri hati ya muungano imepatikana
- Serekali ya ccm mlificha wapi hati hiyo ziku zote
- Machali:menyekiti naomba uwatulize watomvu wa nidhamu
- Machali:tunaitaji maelezo ni kwa nini walishindwa kutupatia hati ya mungano kwenye kamati wanasema leo ipo hicho ni kiini macho
- Machali:taarifa yake nimeisiki lakini ndio walele wenye fikira zilezile za chama ccm aende akawaeleze haohao ccm wenzake
- Sitta anasema kishabiki kuwa machali roho inamuma kwa kitendo cha hati kuonekana
- Kuna mjumbe anasema bi asha atafutiwe mchumba...hahahha...!
- Asha Bakari: Jussa yeye hata kuzaa hajazaa wala kuoa. Yeye ndo kaufyata.
- Kigwangala:tume mpaka kupende keza waliopendekeza kwenye rasimu walifuata mfumo gani?
- Kigwangala:mwendelezo huu wa hizi tume kuvuruga serekali yetu siukubali kabisa
- Na utafiti uliofanywa na tume hautoshelezi
- Zakia:waasisi hawakuwa na maudhui ya s3 walikuwa na maudhui ya s2
- Zakia:mwanasheri wa uganda ndio aliyeitwa kuja kutengeneza hati ya muungano
- Alikuwa mwanasheri maarufu Africa
- Zakia:mimi nimezaliwa znz nimesomea na kuolewa bara watoto wangu wote nimewazalia bara
- Msigala:mfumo ambao mimi nitaupenda ni ule utakaolinda amani na kulinda haki za walemavu
- Ni mfumo ambao hautambebesha garama kubwa mwananchi
- Mpaka sasa bado nashwinda kushawidhika kwa asilimia mia kama s3 sitaleta ufumbuzi wa matatizo nilyoyasema
Video: Mh. Jussa akiwasilisha maoni ya wachache.
- Lissu anamalizia kwa kusema nchi hii ni haramu!!
- Lissu: Tanganyika haikuwawa na Hati ya Muungano bali na amri ya aliyekuwa rais Nyerere
- Mwongozo wa Serukamba kuwa tuko hapa kama nani kama Hati ya Muungano haipo.
- Mtikila ameomba kuongea .. haya .. anamjibu Serukamba kuwa tuko hapa kuandika katiba mpya kwa msingi wa ukweli
- Mchungaji Mtikila: 'tulijengwa kwenye misingi ya uongo ndio maana Mungu alishindwa kubariki hii nchi yetu kwa miaka 50'
- Sasa ni kamati 6 inawasilisha mkiti ni wasira
- Mtikila: Muungano wa Tanzania ni suala la Kitapeli!
- Amon Mpanju: hakubaliani na Mtikila kuwa hatujabarikiwa na pia amehoji utaalam wa Lissu
- Kamati 6 ufafanuzi wa walio wachache utawasilishwa na Ismail Jussa .. msikose..
- Naona wasirra anaongea bila kusumbuliwa
- Sasa sijuwi walio wengi kama wataheshimu pale jussa atakapo kuja kwa ufafanuzi wa walio wachache
- Sasa wassira anawasilisha maoni ya wachache
- Wassira Tukiweka serikali 3 hapa zikaweka masharti kuna watu watapata matatizo, unapunguzia Wazanzibari fursa'
- Wassira anasoma maoni ya wachache cha kushangaza anasitasita na kuyatolea ufafanuzi
- Pia anasoma kama kalazimishwa
- Mwandosia sasa anatowa taarifa ya ajali aliyopata makamu wa rais jana na viongozi waandamizi
- Sitta amsisitiza atoe kwa kifupi tu
- Bunge maalum linatoa pole kwa makamu wa rais na waathirika wote wa mafuriko
- Anawaasa wabunge wote watoe posho zao za siku kuchangia maafa ya mafuriko
-Jussa anaanza na kusema ana waraka ambao haukuwekwa ktk ripoti.
- Jussa: kujadili muundo ni kinyume na sheria ya mabadiliko. Tukitaka kujadili s2 tuunde Tume nyingine
- Jussa: tuhuma nzito kurudisha sultani .. Mkapa alipotoa msamaha kwa sultan alikuwa kama mkiti.wa chama gani?
- Jussa taarifa ya mpanju naipuuza kama navyompuza yeye mwenyewe
- Jussa: anaeleza kuwa chama kitakachorudisha sultani ni CCm
- Jussa: kuleta hoja ya sultani haina mishiko mbona hatusemi kwa Tanganyika tunataka kumrudisha Malkia
Jussa: tukifanya vitu kwa kuzoea tu.. tulipaswa kuendelea na ukoloni? Tanganyika ilitawaliwa na Zanzibar
Jussa: Katiba ya 1965 ilitaja Tanganyika .. sasa ilikufa vipi aprili 1964?
- Jussa: Tanganyika ipo lkn imejificha ivuliwe koti
- Jussa: mwaka 2011 mkiti Sitta ukikutana na sisi Baraza la Wawakilishi wote pande zote tulikuwa wamoja sasa wameufyata!
Jussa: kamtaja Asha Bakari walitoka wote baada ya kukataliwa kuzungumzia masuala.ya utalii sasa anaufyata
- Jussa: mambo yote ya sarafu na benki, elinu ya juu, mafuta, utafiti.. nk yamechukuliwa na kuwekwa Muungano.. tumechoka
- Jussa: Shivji alitaja zaidi sheria 40 zilizotumika kunyanganya mamlaka ya.Zanzibar. Hatukubali
- Jussa: Tanganyika ikiwa imevaa koti la Muungano inatunyanganya mamlaka yetu.Znz .. hatukabali hatukubali
- Jussa amemaliza kuwasilisha kwa makofi makubwa
- Jussa: hansard ya 1965 inaonyesha katiba iliandaliwa kwa siri
Jussa.. ramani ya Zangebar inayoonyesha utawala wa Znz mpk huku Bara
Ufafanuzi wa walio wachache kwa kamati.hii ya mwisho ni Freeman Mbowe
- Mbowe anamshukuru Wassira kwa niaba ya dola atawasilisha Hati ya Muungano
- Mbowe: Fursa hii ya kutibu majeraha. Tuone makosa waliyofanya waasisi wetu kwa nia njema na turekebishe
- Mbowe: lazima tuwe na misingi ya kuandika katiba .. hatuwezi kuandika katiba mpya kwa rushwa.. unafiki
- Mbowe: Ni lazima tuwe na Ujasiri wa kusema ukweli ktk kila hatua ya mchakato wa kuipata Katiba Mpya
- Mbowe: Miongoni mwa watu waliotaka tuwasaidie kufikisha kilio chao sisi tulio wachache ni Makonda!
- Mbowe: tunapata wapi ujasiri kuwatukana wajumbe wa Tume
- Kuna Mjumbe: Kama hayati Mwl Nyerere alikosolewa na kudaiwa ni mwongo; basi hata Wariona na wenzake wanaweza kukosolewa
- Mbowe:Hatupo hapa kutetea 'personality' tunatetea 'issues'
- Mbowe: serikali ya CCM walikuwa na watumishi zaidi 100 walishirikiana na Tume kufanya hii rasimu. Kawataja baadhi
- Mbowe: Tume ya Warioba inapobezwa basi ni kuwa wanaobezwa ni watumishi wa serikali na hata chama tawala!
- Mbowe: taifa limetumia pesa za wananchi bil 68 kufanya utafiti huu
- Mbowe: mnataka kuleta rasimu ya serikali 2 ambayo haipo
- Mbowe: Kuna seminar imefanywa kwa baadhi ya wabunge ikiandaa vifungu vya kuchomeka kwenye rasimu!
- Mbowe: taasisi zenye uwakilishi wa mamilioni ya watu mf CDM, CUF, NCCR, LHRC, Tanganyika Law Society walipendekeza s3
- Mjumbe: Mbowe anapotosha, TUCTA tulipendekeza "Serikali Moja" na si tatu kama alivyodai CWT wadai walipendekeza TATU!
- Hawa Mchafu: TUCTA tulipendekeza s1 .. Oluoch kajibu walimu ni 90% wamependekeza s3
- Mbowe:Tunawaunga mkono wazanzibari wanaoipigania Zanzibar, nasi tunaupigania utaifa wetu wa Tanganyika!
- Orodha imeshatoka ya kuchangia leo.
- Machali:nimestuka leo hii kusikia mjumbe mwenzetu pinda leo anakiri hati ya muungano imepatikana
- Serekali ya ccm mlificha wapi hati hiyo ziku zote
- Machali:menyekiti naomba uwatulize watomvu wa nidhamu
- Machali:tunaitaji maelezo ni kwa nini walishindwa kutupatia hati ya mungano kwenye kamati wanasema leo ipo hicho ni kiini macho
- Machali:taarifa yake nimeisiki lakini ndio walele wenye fikira zilezile za chama ccm aende akawaeleze haohao ccm wenzake
- Sitta anasema kishabiki kuwa machali roho inamuma kwa kitendo cha hati kuonekana
- Kuna mjumbe anasema bi asha atafutiwe mchumba...hahahha...!
- Asha Bakari: Jussa yeye hata kuzaa hajazaa wala kuoa. Yeye ndo kaufyata.
- Kigwangala:tume mpaka kupende keza waliopendekeza kwenye rasimu walifuata mfumo gani?
- Kigwangala:mwendelezo huu wa hizi tume kuvuruga serekali yetu siukubali kabisa
- Na utafiti uliofanywa na tume hautoshelezi
- Zakia:waasisi hawakuwa na maudhui ya s3 walikuwa na maudhui ya s2
- Zakia:mwanasheri wa uganda ndio aliyeitwa kuja kutengeneza hati ya muungano
- Alikuwa mwanasheri maarufu Africa
- Zakia:mimi nimezaliwa znz nimesomea na kuolewa bara watoto wangu wote nimewazalia bara
- Msigala:mfumo ambao mimi nitaupenda ni ule utakaolinda amani na kulinda haki za walemavu
- Ni mfumo ambao hautambebesha garama kubwa mwananchi
- Mpaka sasa bado nashwinda kushawidhika kwa asilimia mia kama s3 sitaleta ufumbuzi wa matatizo nilyoyasema
- Kigwangala anamtuhumu Sitta kwa upendeleo anao utoa kwa walio wachache
- Kigwangala anamkatuza Tundu Lisu hapa.anadai anapotosha kuhusu Shivji
- Lisu anahoji kuhusu amri iliyotolewa na Nyerere kuhusu kugeuza mambo ya Tanganyika kuwa ya Muunngano
- Lisu anaendelea kudai nchi hii haijawahi kua moja na nchi hii ni haramu
- Serukamba anahoji kama hati za muungano hazipo wabunge wapo pale kama kina nani
- Shekifu anamtaka Tundu Lisu athibitishe wale aliodai wameuwa
- Rev. Mtikila anadai tumeishi kwenye uongo kwa miaka hamsini ndio mana Mungu ameshindwa kuibariki
Inaonekana hii hotuba ya Lisu imewagusa wajumbe wengi.
- kamati no.sita inawasilisha taarifa.na muwasilishaji ni Steven Wasira
- Wasira anawahakikishia watanzania kua hati ya makubaliano ipo na ipo ktika hali nzuri na itawasilishwa bungeni ndani ya siku mbili.
anaendelee......
Video: Mh. Jussa akiwasilisha maoni ya wachache.
Last edited by a moderator: