swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,251
- 1,467
Kwa mujibu wa ITV leo 4/8/2014 Mwalimu Nyerere Foundation wataendesha mdahalo kabambe kuhusu Katiba mpya pale Ubungo Plaza kesho Jumatatu tarehe 4/8/2014 kuanzia saa 9 alasiri wasemaji na waliokuwa wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mzee mwenyewe Joseph Sinde Warioba, Dr.Salim Ahmed Salim, Bwana Mdogo Humphrey Polepole na Mzee Joseph Butiku.
Mdahalo utaonyeshwa moja kwa moja kwenye ITV, pia utasikika kupitia Radio one na Capital Radio.
Leo tutarajie ufafanuzi toka kwa Mh.Warioba juu ya waraka wa mapendekezo mapya aliyoyapeleka kwa serikali akibadilisha baadhi ya mapendekezo ya Tume. Itakuwa ni jambo la maana mh.Warioba akilisemea hilo ili jamii na umma uweze kuona uhalisia na ukweli wa kauli ya mh.Lukuvi aliyoisema jana pale Nkrumah Hall chuo kikuu cha dsm.
Warioba itabidi atueleze tujue maoni yake yanahusu nini? Je, ni ya kwake binafsi au ya Tume? kama ni ya kwake binafsi je! tumwelewe kwamba tume yake imepika mambo kama wajumbe wengi wa bunge la katiba toka CCM walivyodai? Na iwapo maoni/mapendekezo hayo mapya ni ya Tume,, ni ya Tume ipi maana tume yake ilishavunjwa?
Watanzania tuwasihi Tanesco wasikate umeme ili watanzania wengi wasikie ufafanuzi kwa hoja zilizopindishwa na wapindishaji. Na pia watoe ufafanuzi kwa baadhi ya hoja ngumu na tata.
Aidha, tutarajie wajumbe wa iliokuwa Tume ya Katiba kuonesha mwanga wa namna ya kutoka hapa ambapo BMK limenasa.
===========================================
Updates
=>Warioba anasema waliteuliwa wajumbe toka makundi tofuati wenye misimamo na itikadi tofuat kidin, kisiasa na kiuchumi lakn tofaut hzo walieka kando na kuangalia maslah ya taifa!
Anawaomba makundi yote yanayopaswa kuwa BMK washauriane kuondoa maslahi binafsi na kujal maoni ya wananchi ktk maeneo yote muhimu.
=>Jaji warioba anasema hakuna mawaziri wa muungano wanaotembelea Zanzibar kwa ajili ya mambo ya Muungano.
Mambo yote ya muungano ni ya bara.
=>Anasema Nchi mbili zimeunganika lakini moja haina Sovereignty, Tanganyika iko huru kufanya mambo yake ya maendeleo lakini Zanzibar mpaka iombe ridhaa ya Bara.
=>Anakana Maneno aliyoyasema Lukuvi, anasema Rasimu ya kwanza ilikuwa na sura mbili ambazo zinazungumzia maliasili/ Ardhi.
Tulipomaliza kazi yetu, tulikabidhi serikali rasimu.
Anasema hiyo barua aliyowaandikia Serikali ataitoa kwa waandishi wa habari, ili mambo yawe wazi.
=>Muda wa maswali na maoni umeanza.
Mama Hellen Bisimba, amesema je wananchi wako tayari kuendelea kuona pesa yao iendelee kutumika vibaya ndani ya bunge la katiba?
Maria Sarungi, anasema wanasiasa wamejikita katika uchaguzi wa 2015. so muafaka itakuwa ngumu
JIBU
=>Walishauriana wakati mwingi na raisi, Raisi alitoa maoni kwanza kama mtanzania mwenye haki pili kama raisi, anaheshimu maoni yake pale alipoyatolea.
Raisi ni mwanachama wa chama cha mapinduzi, yapo maoni yaliyoelekea huko
=>Walijiandaa kujua ni nini kifanyike, itafika mahali BMK watakua pamoja, wamepunguza sana madaraka ya raisi pia atengane na bunge. Hatakua sehemu ya bunge na mawaziri wake hawatakua bungeni. Watafute lugha inayojenga na maslahi yao yawe Taifa
=>Machali na Ukawa waambiwa waende wakakae, hii ni busara ya hali ya juu kutoka kwa Warioba, Kifupi warioba ana wasihi Ukawa warudi bungeni.
=>Joseph Butiku Anaongelea mambo muhimu yaliyojitokeza katika mchakato:
Anasema wajumbe wengi kwenye Tume walikuwa na umri mkubwa, anasema watu wanasema wao ni wazee wakufa.
Anasema watu wasikilize maneno ya wazee, anauliza mchakato sio wa vyama ni wa wananchi.
Anasema mchakato sio wa vyama ni wananchi.
=>Vitabu vingine wameweka kwenye Tovuti lakini Tovuti imefungwa, Anauliza nani kafunga Tovuti....?
=>Madhumuni ya mchakato huu umeelezwa ndani ya sheria.
Awadhi Said kutoka Zanzibar ndiye anayeongea sasa.
=>Ni wakati wa uwazi, muungano utoe fursa na haki sawa. Serikali ya muungano ina majukumu mawili, mambo ya muungano na Tanzania Bara ukijumlisha na serikali ya ZNZ tayari tuna serikali tatu hivyo hoja ya gharama sio. Kilichopendekezwa ni serikali mbili zilizo chini ya serikali ya muungano zitanganishwe.
=>Tanzania bara itabeba gharama nyingi kuliko ya visiwani sio hoja kwa sababu gharama zinatokana na mahitaji. Anatolea mfano mahitaji ya polisi Zanzibar na Tanganyika, Polisi mmoja alinde watu 400 na mali zao, tanzania bara 120,000 polisi, na kwa tanzania visiwani watahitaji polisi 2700
Mama Mwantumu ndiye anaeongea sasa
=>Mama Mwanatumu ameanza kuongea yeye alikuwa n mjumbe wa tume na pia mstaafu kutoka Serikalini. anaongelea takwimu, anasema wananchi waliongelea madaraka ya Rais yapunguzwe.
=>Anakanusha kuwa sio kweli kwamba wao wanajificha kwenye kivuli cha wananchi
[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=175278&d=1407229135[/JFMP3]
[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=175277&d=1407228820[/JFMP3]
Mdahalo utaonyeshwa moja kwa moja kwenye ITV, pia utasikika kupitia Radio one na Capital Radio.
Leo tutarajie ufafanuzi toka kwa Mh.Warioba juu ya waraka wa mapendekezo mapya aliyoyapeleka kwa serikali akibadilisha baadhi ya mapendekezo ya Tume. Itakuwa ni jambo la maana mh.Warioba akilisemea hilo ili jamii na umma uweze kuona uhalisia na ukweli wa kauli ya mh.Lukuvi aliyoisema jana pale Nkrumah Hall chuo kikuu cha dsm.
Warioba itabidi atueleze tujue maoni yake yanahusu nini? Je, ni ya kwake binafsi au ya Tume? kama ni ya kwake binafsi je! tumwelewe kwamba tume yake imepika mambo kama wajumbe wengi wa bunge la katiba toka CCM walivyodai? Na iwapo maoni/mapendekezo hayo mapya ni ya Tume,, ni ya Tume ipi maana tume yake ilishavunjwa?
Watanzania tuwasihi Tanesco wasikate umeme ili watanzania wengi wasikie ufafanuzi kwa hoja zilizopindishwa na wapindishaji. Na pia watoe ufafanuzi kwa baadhi ya hoja ngumu na tata.
Aidha, tutarajie wajumbe wa iliokuwa Tume ya Katiba kuonesha mwanga wa namna ya kutoka hapa ambapo BMK limenasa.
===========================================
Updates
=>Warioba anasema waliteuliwa wajumbe toka makundi tofuati wenye misimamo na itikadi tofuat kidin, kisiasa na kiuchumi lakn tofaut hzo walieka kando na kuangalia maslah ya taifa!
Anawaomba makundi yote yanayopaswa kuwa BMK washauriane kuondoa maslahi binafsi na kujal maoni ya wananchi ktk maeneo yote muhimu.
=>Jaji warioba anasema hakuna mawaziri wa muungano wanaotembelea Zanzibar kwa ajili ya mambo ya Muungano.
Mambo yote ya muungano ni ya bara.
=>Anasema Nchi mbili zimeunganika lakini moja haina Sovereignty, Tanganyika iko huru kufanya mambo yake ya maendeleo lakini Zanzibar mpaka iombe ridhaa ya Bara.
=>Anakana Maneno aliyoyasema Lukuvi, anasema Rasimu ya kwanza ilikuwa na sura mbili ambazo zinazungumzia maliasili/ Ardhi.
Tulipomaliza kazi yetu, tulikabidhi serikali rasimu.
Anasema hiyo barua aliyowaandikia Serikali ataitoa kwa waandishi wa habari, ili mambo yawe wazi.
=>Muda wa maswali na maoni umeanza.
- UKAWA watafute mwenyekiti mwenza aongoze bunge la katiba na Sitta-Mchangiaji
- Machali anauliza swali kuhusu serikali viongozi wake kuto kuheshimu maoni ya wananchi anaomba kupata busara kwa Wazee kama Warioba na Butiku wananchi wachukue hatua gani
- Ni lini mtu anatoa maoni kama kiongozi wa nchi au mtu binafsi, Je maoni ya Kikwete hayakuharibu mchakato wa Katiba?
- Tume ilijengaje imani hadi ikakamilisha kazi ya kutoa rasimu na kwanini BMK imeshindwa. Nini kifanyike
Mama Hellen Bisimba, amesema je wananchi wako tayari kuendelea kuona pesa yao iendelee kutumika vibaya ndani ya bunge la katiba?
Maria Sarungi, anasema wanasiasa wamejikita katika uchaguzi wa 2015. so muafaka itakuwa ngumu
JIBU
=>Walishauriana wakati mwingi na raisi, Raisi alitoa maoni kwanza kama mtanzania mwenye haki pili kama raisi, anaheshimu maoni yake pale alipoyatolea.
Raisi ni mwanachama wa chama cha mapinduzi, yapo maoni yaliyoelekea huko
=>Walijiandaa kujua ni nini kifanyike, itafika mahali BMK watakua pamoja, wamepunguza sana madaraka ya raisi pia atengane na bunge. Hatakua sehemu ya bunge na mawaziri wake hawatakua bungeni. Watafute lugha inayojenga na maslahi yao yawe Taifa
=>Machali na Ukawa waambiwa waende wakakae, hii ni busara ya hali ya juu kutoka kwa Warioba, Kifupi warioba ana wasihi Ukawa warudi bungeni.
=>Joseph Butiku Anaongelea mambo muhimu yaliyojitokeza katika mchakato:
Anasema wajumbe wengi kwenye Tume walikuwa na umri mkubwa, anasema watu wanasema wao ni wazee wakufa.
Anasema watu wasikilize maneno ya wazee, anauliza mchakato sio wa vyama ni wa wananchi.
Anasema mchakato sio wa vyama ni wananchi.
=>Vitabu vingine wameweka kwenye Tovuti lakini Tovuti imefungwa, Anauliza nani kafunga Tovuti....?
=>Madhumuni ya mchakato huu umeelezwa ndani ya sheria.
Awadhi Said kutoka Zanzibar ndiye anayeongea sasa.
=>Ni wakati wa uwazi, muungano utoe fursa na haki sawa. Serikali ya muungano ina majukumu mawili, mambo ya muungano na Tanzania Bara ukijumlisha na serikali ya ZNZ tayari tuna serikali tatu hivyo hoja ya gharama sio. Kilichopendekezwa ni serikali mbili zilizo chini ya serikali ya muungano zitanganishwe.
=>Tanzania bara itabeba gharama nyingi kuliko ya visiwani sio hoja kwa sababu gharama zinatokana na mahitaji. Anatolea mfano mahitaji ya polisi Zanzibar na Tanganyika, Polisi mmoja alinde watu 400 na mali zao, tanzania bara 120,000 polisi, na kwa tanzania visiwani watahitaji polisi 2700
Mama Mwantumu ndiye anaeongea sasa
=>Mama Mwanatumu ameanza kuongea yeye alikuwa n mjumbe wa tume na pia mstaafu kutoka Serikalini. anaongelea takwimu, anasema wananchi waliongelea madaraka ya Rais yapunguzwe.
=>Anakanusha kuwa sio kweli kwamba wao wanajificha kwenye kivuli cha wananchi
[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=175278&d=1407229135[/JFMP3]
[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=175277&d=1407228820[/JFMP3]