Mwenye nayo tafadhali aturushie hapa tuanze mapema kujijuza.
Tayari cheki editing zangu hapo mwanzo:mm nilidhani tayari umeshaweka kivuli laini.
Muungwana Prof...very soon itakuwa hewani....stay tuned.
Ahsante profesa...hata avata yako imerandana na jina.
Kwa sim inasumbua,labda utumie yenye uwezo wa kufungua pdfMbona inagoma kufunguka au haitaki kufunguka kwa kutumia cm