OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,242
- 103,943
Mwana UKAWA na wakili msomi Kamanda Mh.Tundu Lissu atakuwa live Star Tv kuanzia saa 8 mchana katika mdahalo wa katiba uliondaliwa na UDASA.
Atakuwepo pia Dr. Kitila kama mwana UDASA na upande wa CCM atakuwepo Mh. Wassira.
My Take:
Wazalendo jitokezeni kumuunga mkono Tundu Lissu na wazalendo wengine
Atakuwepo pia Dr. Kitila kama mwana UDASA na upande wa CCM atakuwepo Mh. Wassira.
My Take:
Wazalendo jitokezeni kumuunga mkono Tundu Lissu na wazalendo wengine
Kama ilivyolipotiwa hapo mwanzo kuwa chama cha mapinduzi ccm kina mpango kabambe wa kupeleka watu wa kukodi kwenda kumzomea mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni na mjumbe wa UKAWA kwenye mdahalo hapa NKURUMAH HALL. hizi ni picha zikionyesha mabasi ya UDA yakishusha vijana hapa chuo kikuuu maeneo ya Utawala. Ntaendelea kuwapa updates!!!