Zuhura Yunus BBC Swahili dira ya dunia

Zuhura Yunus BBC Swahili dira ya dunia

Acha huyo , kuna kifaa kipo CITIZEN TV ya kenya kina macho madogo yaliyozama ndani na kinapenda kuvaa hushungi , anapenda sana kutangaa taarifa ya habari ya kiswahili alasiri ni balaaaaaa
kinaitwa LULU hicho kifaa.
 
Acha huyo , kuna kifaa kipo CITIZEN TV ya kenya kina macho madogo yaliyozama ndani na kinapenda kuvaa hushungi , anapenda sana kutangaa taarifa ya habari ya kiswahili alasiri ni balaaaaaa

huyo dada nampenda sana
 
mbona watanfazaji wa tv za tanzania hata kama ni waislam hawavai ushungi au maadili huku TZ hayaruhusu? Nimewahi kumuona Fatma Nyangasa wa ITV akiwa nje anafuatilia habari anavaa ushungi lakini studio havai au ni uamuzi wao?

Nadgani ni maamuzi tu ya mtu ila kama mtu anafata hasa dini yake hawezi kuwa na double standard katika kuvaa hata kama awe kazini au hata beach!
 
Ameanzia radio Uhuru kwenye kipindi cha muziki akitangaza sambamba na Paul James Swea. Baadae akaenda kusoma Bimingham University na mazoezi yako katika Journalism alikuwa nafanyia BBC. Then akabakia hapo hapo hakutaka kurudi tena TZ. Bila shaka nimekuongezea kitu hapo.

Na sababu ya kutoka Uhuru FM kwenda Mwananchi ni kwa kuwa Mwananchi walikuwa na mpango wa kuanzisha radio ambayo haikuanzishwa hata hivyo... Thanks Ngalikivembu.
 
View attachment 182362
View attachment 182363
Mtangazaji wa kwanza Mwanamke BBC Swahili TV Nimependa Sauti yake na utangazaji wake kwenye TV na Redio safi sana. Kwa hakika BBC swahili Hawajakosea kumpa kutangaza kwenye Television mpaka raha.

Huyu mtangazaji kama yupo humu jamii forum naomba ani PM maana huwa napata msongo wa mawazo nikimtazama na kumsikiliza kama ameolewa naomba mume wake anisamehe ila mfikishieni ujumbe Mungu Mweusi anapata kwikwi anapokuona ukitangaza.
 
Anasoma vizuri sana.pia mashalah...kaumbika...nadhani mungu alimuumba week end..akiwa ametulia zaidi.
 
She is married by her work mate salim kikeke

Say married to not married by.

Aisee,we mleta uzi sijui ulikuwa unafikiria nini.
Huyu Mdada mzuri kweli,na ukimuangalia vizuri ni kwamba kama amechanganya na Alshabab Family vile.
Usomali upo kwa mbali,siunajua watu wa mombasa walivyochanganya.

Mie alinicheckesha sana siku ile ya Kuadhimisha siku ya Bruce Lee kwenye BBC Swahili,asiee alinikunjia makareti ya kufa mtu kama vile anasonga ugali hewani.

shrotly,ni mtangazaji mzuri,vocally,surally,umbolly,kimolly,napia anavutially

Ndiyo kasumba ya sisi Watanzania kila kizuri hatuamini kuwa ni chetu. Tanzanite imeenda hivi hivi Kenya kwa ujinga wetu, picha za tingatinga zimeenda Japan hivi hivi kwa ujinga wetu. Sasa hata Zuhura Yunus eti Mkenya, tuache unyonge jamani
 
Aisee,we mleta uzi sijui ulikuwa unafikiria nini.
Huyu Mdada mzuri kweli,na ukimuangalia vizuri ni kwamba kama amechanganya na Alshabab Family vile.
Usomali upo kwa mbali,siunajua watu wa mombasa walivyochanganya.

Mie alinicheckesha sana siku ile ya Kuadhimisha siku ya Bruce Lee kwenye BBC Swahili,asiee alinikunjia makareti ya kufa mtu kama vile anasonga ugali hewani.

shrotly,ni mtangazaji mzuri,vocally,surally,umbolly,kimolly,napia anavutially

Aweee Zanzibarspice
Na Mie umenivutia lughally
 
Last edited by a moderator:
Hawa watangazaji wa BBC wanajua bwana, na tena wana sauti nzuri ni hatari. Kuna mmoja anaitwa Suluma Kassim yaani akiwa anareport kitu hautotamani kiishe. Big up sana BBC na hongereni kwa kukitangaza kiswahili.
 
Back
Top Bottom