Yaani huyu bint si mchezo mimi huwa simsikilizi siku hizi manake nikisikia tu sauti yake mizuka inaanza kupanda, ama kwel bint kajaaliwa na mungu huyu....
Yaani huyu bint si mchezo mimi huwa simsikilizi siku hizi manake nikisikia tu sauti yake mizuka inaanza kupanda, ama kwel bint kajaaliwa na mungu huyu....
Na kabla ya BBC alikuwa Mwananchi Communications Ltd.
Zuhura Yunus mbona kuna kipindi alikuwa anatangaza redio Uhuru kipindi fulani, alikuwa na Paul James.Hao wote Mkuu ni kutoka Mombasa, Kenya.
Mkuu tudhibitishie kama kweli wanatoka Mombasa, au hujui hao unaowasemea wanaweza kuwa member wa jf ukaumbuliwa waziwazi.Hao wote Mkuu ni kutoka Mombasa, Kenya.
Zuhura Yunus ni Mtanzania. amesoma Jangwani Secondary Form 1 mpaka Form 6 (PCB). Baba yake Kanal Yunus Abdallah alikuwa Mwenyekiti wa FAT(sasa TFF) kwenye miaka ya 80.
![]()
Anaitwa Lulu Hassan
Hapa chini akiwa na mumuwe na mtoto,hayuko single
![]()
Yaani huyu bint si mchezo mimi huwa simsikilizi siku hizi manake nikisikia tu sauti yake mizuka inaanza kupanda, ama kwel bint kajaaliwa na mungu huyu....
hata akilini kwako ulishamvua nguo
Wanaume wa kibongo kwa kusifia wanawake hawajambo lakini kazi duh!!!Acha huyo , kuna kifaa kipo CITIZEN TV ya kenya kina macho madogo yaliyozama ndani na kinapenda kuvaa hushungi , anapenda sana kutangaa taarifa ya habari ya kiswahili alasiri ni balaaaaaa
Utani woote,mtambo naukubali sana wa Citizen ni MWANAKHAMIS HAMADAma Kwa Hakika Hujakosea! Namkubali Sana Lulu Anajua Kazi Yake Na Anajiamini Huwa Nikimiss Kipindi Cku Yupo Studio Naumia Sana.. Kwa Ujumla Watangazaji Wa Citizen Wapo Vizuri Wametupita Tz Kwa Kila Kitu
mfumo kristuuumbona watanfazaji wa tv za tanzania hata kama ni waislam hawavai ushungi au maadili huku TZ hayaruhusu? Nimewahi kumuona Fatma Nyangasa wa ITV akiwa nje anafuatilia habari anavaa ushungi lakini studio havai au ni uamuzi wao?