Umeolewa huyu? Nisije kupata dhambi bure ya kumsifia mke wa mtu
Umeolewa huyu? Nisije kupata dhambi bure ya kumsifia mke wa mtu
Hivi ni dhambi kusifia mke wa mtu? I hope salim kikeke nae hajawowa manake mmmh
We Obama ni mkristu na una mke, kwa nini unataka kuharibu maisha ya mwanadamu mwenzako au kwa kuwa wewe ni rais wa dunia?
Hivi ni dhambi kusifia mke wa mtu? I hope salim kikeke nae hajawowa manake mmmh
Hivi ni dhambi kusifia mke wa mtu? I hope salim kikeke nae hajawowa manake mmmh
Hao wote Mkuu ni kutoka Mombasa, Kenya.Hivi huyu Zuhura Yunus ni Mtanzania au ni kutoka Mombasa? Na kuna mwingine anaitwa Mariam Omary, nae ni Mtanzania au kutoka Mombasa?
Ni Tanzania na Mombasa pekee unaweza kupata Kiswahili fasaha vile
Hao wote Mkuu ni kutoka Mombasa, Kenya.
Ok. Nadhani hata Mariam Dodo Abdallah atakuwa ni Mombasa
Huwa ananisuuzaga mtima sana nikimskiliza huyu mwanamke.mtulivu,hana papara na approach yake ya utangazaji inavuta attention kwa wasikilizaji...ninadhani sifa zake zinapaa beyond ya hapa.
Umefunguka vya kutosha na hisi hata wakati unaandika ulikuwa unaandika kwa hisia sana.
Hao wote Mkuu ni kutoka Mombasa, Kenya.