Zuhura Yunus BBC Swahili dira ya dunia

Zuhura Yunus BBC Swahili dira ya dunia

Hawa watangazaji wa BBC wanajua bwana, na tena wana sauti nzuri ni hatari. Kuna mmoja anaitwa Suluma Kassim yaani akiwa anareport kitu hautotamani kiishe. Big up sana BBC na hongereni kwa kukitangaza kiswahili.

Ulmuhkeer wa DW ni balaa
 
sauti nani mkali

1.Ummy Khery
2.Regina Mziwanda
3.Suluma Kassimu
4.Zuhura Yunusi
na
5.Zainabu Dinni
 
Waislam ukiwakuta kijiweni wanakwambia wazungu ni wadini sana.
mfumo kristo.

Hawataki habari za bbc kisa ni wazungu,sasa watangazaji kiasi kikibwa waislamu lakini bado tu!

Basi waambieni waarabu wenu wa IRAN WALETE IDHAA YA KISWAHILI ili wakristo wakae kimya

Unaongea nini wewe?Mbona haueleweki?
 
Hawa watangazaji wa BBC wanajua bwana, na tena wana sauti nzuri ni hatari. Kuna mmoja anaitwa Suluma Kassim yaani akiwa anareport kitu hautotamani kiishe. Big up sana BBC na hongereni kwa kukitangaza kiswahili.

Napata shaka hawa watangazi wa BBC swahili wa sasa wakifikia ukomo wa utangazaji (karibia ya wote ni watu wazima) Itakuwaje?watatokea watangazaji wengine wazuri kama hawa kweli?
 
Napata shaka hawa watangazi wa BBC swahili wa sasa wakifikia ukomo wa utangazaji (karibia ya wote ni watu wazima) Itakujwaje?watatokea watangazaji wengine wazuri kama hawa kweli?

wala usipate shida wapo vijana juu ya ilo wapo vijana na mda si mrefu utawaona kama si kuwasikia mfano Kayanda
 
Napata shaka hawa watangazi wa BBC swahili wa sasa wakifikia ukomo wa utangazaji (karibia ya wote ni watu wazima) Itakujwaje?watatokea watangazaji wengine wazuri kama hawa kweli?




nifah wamesikia maombi yako


Salim Kikeke shared a link .
4 hours ago ·
Nafasi ya kazi BBC Tanzania.
BBC Dar es Salaam inatafuta
mwandishi wa habari mwenye uwezo
wa kuandika na kuzungumza kiufasaha
- Kiswahili na Kiingereza 'Bilingual
Reporter'.
Maelezo zaidi na fomu ya maombi
bonyeza link hii:
http://careerssearch.bbc.co.uk/jobs/
job/Bilingual-Reporter-Dar-es-Salaa
m/9959?ocid=socialflow_facebook
 
Last edited by a moderator:
nifah wamesikia maombi yako


Salim Kikeke shared a link .
4 hours ago ·
Nafasi ya kazi BBC Tanzania.
BBC Dar es Salaam inatafuta
mwandishi wa habari mwenye uwezo
wa kuandika na kuzungumza kiufasaha
- Kiswahili na Kiingereza 'Bilingual
Reporter'.
Maelezo zaidi na fomu ya maombi
bonyeza link hii:
http://careerssearch.bbc.co.uk/jobs/
job/Bilingual-Reporter-Dar-es-Salaa
m/9959?ocid=socialflow_facebook

Aisee naipenda BBC sana hadi natabiri yajayo....teh teh teh
Asante kwa kunijuza
 
Last edited by a moderator:
Sijui nani anaemshauli namna gani ya kuvaa hivyo vitambaa kichwani kila siku akitokea unakuta amefunga tofauti tofauti mpaka raha sana.
 
Hawa watangazaji wa BBC wanajua bwana, na tena wana sauti nzuri ni hatari. Kuna mmoja anaitwa Suluma Kassim yaani akiwa anareport kitu hautotamani kiishe. Big up sana BBC na hongereni kwa kukitangaza kiswahili.

Huyo Suluma atakuwa anatangaza kwenye radio labda
 
Hizi ni hisia zangu mwenyewe mwingine hausiki kabisa huyu mtangazaji Zuhura yunus napenda Sauti yake na anamapozi mazuri na nadhani wazazi wake walimtunza vizuri kitabia Hongera sana.jambo la pili kitambaa anachovalisha kichwani wee acha.Radio na tv za kibongo sijaona kabisa Hongera saaaana z,nakukubali sanaaaaaana.
 
mbona watanfazaji wa tv za tanzania hata kama ni waislam hawavai ushungi au maadili huku TZ hayaruhusu? Nimewahi kumuona Fatma Nyangasa wa ITV akiwa nje anafuatilia habari anavaa ushungi lakini studio havai au ni uvamuzi wao?

Kila media ina sera zake, ITV hawana sera ya kuwaruhusu wanawake kuvaa hijab.

Fatma Nyangassa yupo Azam Tv now, anavaa ushungi na anatokelezea vizuri tu.
 
Back
Top Bottom