KakaJambazi wanaingilia mamlaka yako
Mhh upareni kule kwa thithi ndio baba thao na thithi ndio mama zao ndiko anakotoka ngoja ni google.acha kudanganya ww Zuhura ni mpare wa usangi
Hivi huyu Zuhura Yunus ni Mtanzania au ni kutoka Mombasa? Na kuna mwingine anaitwa Mariam Omary, nae ni Mtanzania au kutoka Mombasa?
Ni Tanzania na Mombasa pekee unaweza kupata Kiswahili fasaha vile
Mkuu mamlaka gani tena hayo?
Zuhura Yunus ni Mtanzania. amesoma Jangwani Secondary Form 1 mpaka Form 6 (PCB). Baba yake Kanal Yunus Abdallah alikuwa Mwenyekiti wa FAT(sasa TFF) kwenye miaka ya 80.
Bora wewe umetufafanulia vizuri. Kuna mtu hapo juu alishaanza kujipendekeza Kenya. Na tukizubaa kidogo atatuambia Salim Kikeke nae mkenya!Zuhura Yunus ni Mtanzania. amesoma Jangwani Secondary Form 1 mpaka Form 6 (PCB). Baba yake Kanal Yunus Abdallah alikuwa Mwenyekiti wa FAT(sasa TFF) kwenye miaka ya 80.
Hivi ni dhambi kusifia mke wa mtu? I hope salim kikeke nae hajawowa manake mmmh
Acha huyo , kuna kifaa kipo CITIZEN TV ya kenya kina macho madogo yaliyozama ndani na kinapenda kuvaa hushungi , anapenda sana kutangaa taarifa ya habari ya kiswahili alasiri ni balaaaaaa