Zuchu- Sukari....!!!

Zuchu- Sukari....!!!

zuchu ananyimbo kali tatu tu RAHA ,CHECHE na NISAMEHE hizi nyengine zote chini ya kiwango
 
Mkuu hapo nakuongezea na 3 zingine ni hataree

Zuchu-Hakuna Kulala

2:Zuchu Ft Mboso-Ashua

3:Zuchu Raha...

Hutojutia mkuu...lakin kuna bonus nakupa uende nayo

Rayvanny ft Zuchu-Number One:

Hii Ashua ndio nairudia mpaka nasema kaniroga nini
Number one na sukarii
Nilimdharau chuchu yupo vizuri
 
Haka katoto mwanzoni nlikua nakchukulia POA Ila hii ngoma ya Sukari aisee Ni , dzain kapita Kama maua Sama na iokote. Bravo

Akili yangu inazidi kushawishika kwamba mimi nitakua ni Alien tu. Maana hata sielewi mnachoongelea humu
 
Back
Top Bottom