Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,373
kiki ndo niniKIKI zingine duh !!
kiki ndo niniKIKI zingine duh !!
Hatar sana . kuna ile sehem anaanzia . "Mbezi Kimara hunipeleka puta ashuk!!!!!"Hiyo RAHA umenigusa mkuu.Humo ndani mtoto alijua kuinyambua sauti,hasa verse ya pili.
Ndege asili ya kuga,kufuga haiwezekani.......🎵🎵🎵Hatar sana . kuna ile sehem anaanzia . "Mbezi Kimara hunipeleka puta ashuk!!!!!"
O swear hii nyimbo ukiweka reply wakat wa mgegedo utanishukulu mkuu!!!
Firw.a na wakala wako wa tigo pesaHuna tofauti na huyo zuchu rembua sasa
Kipaji chake kikubwa ni kwenye uandishi, Kwa kwel kabarkiwa Sana hapo...
Kwani Vanessa bado anaimba?Huyu alivokuwa anaanza game ilisadikika anakuja kuukwaa u wa Bongo flavah lol.
Nikasema huyu hata iweje hawezi mpiku Vanessa Mdee, sasa ona anavozidi kupotea, hii ni nyimbo ya hovyo kuimbwa naye.
Hakuna kityuuh hapa.
Hayo ni maoni yako, hayabatilishi uhalisia wowote. Dogo anajua bhanaHuyu alivokuwa anaanza game ilisadikika anakuja kuukwaa u wa Bongo flavah lol.
Nikasema huyu hata iweje hawezi mpiku Vanessa Mdee, sasa ona anavozidi kupotea, hii ni nyimbo ya hovyo kuimbwa naye.
Hakuna kityuuh hapa.
Kwani unadhani sijui km Vanessa kashatangaza kusimama kuimba? Poleeeeeh weeKwani Vanessa bado anaimba?
Sijakataa kujua, nilichosema u wa Bongo flavah,Hayo ni maoni yako, hayabatilishi uhalisia wowote. Dogo anajua bhana
Sijakataa kujua, nilichosema u wa Bongo flavah,
Kwani wimbo wenyewe mbovu, promoh tyuuh. Aaaaah
Chuki mbaya sana...uzi mzm ww peke yako ndio unasema anapotea..Huyu alivokuwa anaanza game ilisadikika anakuja kuukwaa u wa Bongo flavah lol.
Nikasema huyu hata iweje hawezi mpiku Vanessa Mdee, sasa ona anavozidi kupotea, hii ni nyimbo ya hovyo kuimbwa naye.
Hakuna kityuuh hapa.
Mpinga wengi ni mchawiChuki mbaya sana...uzi mzm ww peke yako ndio unasema anapotea..
Sasa kama anapotea how come ngoma ina go viral? Madem bwana
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app