lutamyo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2011
- 641
- 159
dalili za kuishiwa na uhuni katika siasa. kama mwanasiasa mkomavu hutozomea
Ukomavu wa kisiasa sio kukubali kutumika tuu kama nguo kwamba ikisha chafuka unaivua na kumpa dobi, kama kuvumilia watanganyika tumevumila sana tena sana leo hii ni miaka hamsini ya Uhuru waTanganyika yetu pendwa ila Tazama mafukara waliojaa, angalia shule , hospitali, na huduma nyingine nyingi zote ni mbovu hakika huu ni uvumilivu. Sijui ila kwamtazamo wangu weye unatumika tu wenyewe wamekaa wametulia. Au weye huna ndugu yeyote kijijini na kama unao basi ni wakusingiziwa tu, kwanini ungekuwa nao ungesemea kuhusu madiwani wetu uchwara katiaka hali mashauri nyingi ambao kwangu mimi ndiyo msingi wa Uduni wa Taifa letu la TANGANYIKA. ARUTA CONTINUA MAPAMBANO YANAENDELEA IWE CHADEMA IWE NANI UHURU UNAKUJA.