<br /><br />Wazomewe hao na kila sehemu wakionekana kila maana.
<br /> hiyo ndo dawa yao wasaliti
<br /><br />Wazomewe hao na kila sehemu wakionekana kila maana.
Aisee hakuna dhambi kubwa kama kumvumilia mjinga. Yan hawa wasaliti tutawazomea mpaka wakome, wameuza utu wao hawana tena thamani mbele ya macho yetu..Hapo inaonyesha kuwa wenzetu Chadema uvumilivu hakuna kabisa. Iweje mtu ambaye alikuwa kiongozi wako leo umzomee?
Sisi Tunashangilia mashujaa pekee wasaliti wote ni mwendo wa zomea zome
umempa za uso
<br />dalili za kuishiwa na uhuni katika siasa. kama mwanasiasa mkomavu hutozomea
<br />dalili za kuishiwa na uhuni katika siasa. kama mwanasiasa mkomavu hutozomea
<br /> <br / waliozomea c wanasiasa ni wananchi waliopigika na maisha wanaoish chini ya dola 1 per day, waliowapigia hawa vilaza kura kwa uroho wa pesa vilaza hawa wakawasaliti, mi naona kuzomewa tu haitoshi masela wawavizie uchochoroni wacharaze viboko vya uhakika iwe fundisho kwa akina yuda eskariot wote ukiweno na wwdalili za kuishiwa na uhuni katika siasa. kama mwanasiasa mkomavu hutozomea
Wewe ni balaa watu wakimaliza maandamano tu wanakula sana mzigo! Maandamano ya Meya walikukuta stadi ya vifodi upo hoi Machalii wamefanya mambo yao! Teh teh tehWewe mwenyewe unamtamani sana Lema, sema daaah ndo hvyo tena tayari ana mke wake. Unatamani akuchukue hata kwa usiku mmoja tu! Hakutaki keshaoa bana. Afu punguza kiherehere mjinga wewe!
<br />Hapo inaonyesha kuwa wenzetu Chadema uvumilivu hakuna kabisa. Iweje mtu ambaye alikuwa kiongozi wako leo umzomee?
Jinga lingine hili ubongo kamasiPro-CDM, bado wachanga kisiasa kila kitu wanachoambiwa na kina Lema wanakubali tu hata kama cha kipuuzi.Sasa unamzomea mtu kwa nini! siku moja Lema anatawambia kesho muwalete wake zenu wakachukuwe mafunzo BAWACHA watarudi baada ya wiki sijui mtakataa au mtakubali?