Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Leo nikiwa nafatilia mechi ya Simba na AFC Leopard ya kenya ghafla aliingia aliekuwa diwani wa kata ya Elerai kwa tiketi ya CHADEMA (Bayo) kilichofata ni kurushiwa matusi kama **** wewe huna maana yoyote huku Bayo anae akijitutumua kujibu mashambulizi akisema kama mmeniona sina maana basi mke wangu na watoto wangu wanajua nina maana kadri alivyokuwa anaendelea kujibishana na mashabiki waliokuwa wamekaa jukwa la simba ndivyo walivyokuwa wanazidi kumsakama kuana hivyo wazee waliokuwa wamekaa maeneo hayo waliingilia kati na kuwaambia hapa tuko kwenye mpira acheni siasa, hata hivyo Bayo hakukaa zaidi ya dakika 20 akaondoka zake...
Malla, Bayo, Charles, Rehema kaeni mbali na machaliiiiii wa Arusha wana hasira na nyie....
Malla, Bayo, Charles, Rehema kaeni mbali na machaliiiiii wa Arusha wana hasira na nyie....