MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,488
- 20,444
Six lanesHapa kwenye mita nina shaka 121.5 ????
Six lanesHapa kwenye mita nina shaka 121.5 ????
MuombeeniMagu amejitoa kafara kwa maendeleo ya sasa na baadae. Mungu amlinde
30 mita huwa zinasogea kila barabara inapopauliwa
Ni kweli aiseeHapa kwenye mita nina shaka 121.5 ????
Huo mpango wa ujenzi ulikuwepo toka enzi za jkBomoabomoa huwa ni project inayojitegemea. Hizo six lanes ni mradi mwingine unaweza kuanza upembuzi yakinifu 2020.
Unaniuliza mimi? Muulize alietia saini hapoMleta mada mbona muhuri hakuna
Hapa kwenye mita nina shaka 121.5 ????
Imenibidi nicheke jaman khaaUnaniuliza mimi? Muulize alietia saini hapo
kiwanja cha mpira na nusuMita 121.5 kutoka katikati ya barabara sio mchezo.
Dah..... Unadhani itakuwa ni sentimita?Mita 121.5 kutoka katikati ya barabara sio mchezo.
Wanahesabia pale walipoishia sio?30 mita huwa zinasogea kila barabara inapopauliwa
Hapo kwenye Jengo la Tanesco ndio patamuHizo mita 121.5 ni sawa na urefu wa uwanja mmoja na robo wa mpira!! Siyo mchezo, hapo makao makuu ya Tanesco na Wizara ya Maji zitaondolewa.