Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 6,010
- 3,933
Hizo mita 121.5 ni sawa na urefu wa uwanja mmoja na robo wa mpira!! Siyo mchezo, hapo makao makuu ya Tanesco na Wizara ya Maji zitaondolewa.
Ni kuanzia KIMARA hadi KILUVYA.... Sidhani Sana Kama Makalallla makuu ya Tanesco na Maji yapo KIMARA......