Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,515
- 17,613
Zitto ni mtu aliye kufa kibudu kisiasa hivyo kwa sasa anatumia unafiki na ubinafsi kuishi ...hakuna mtu paleNimeshangazwa na ukimya wa hali ya juu wa Zuber Zitto Kabwe mtu aliyesifika kupambani haki za Watanzania kwa ujumla wao.
Walioko karibu na huyu Kiongozi wa ACT wazalendo watujulishe.
Huko aliko yuko salama?
DP world!