Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,167
- 20,346
Nimeshangazwa na ukimya wa hali ya juu wa Zuber Zitto Kabwe mtu aliyesifika kupambani haki za Watanzania kwa ujumla wao.
Walioko karibu na huyu Kiongozi wa ACT wazalendo watujulishe.
Huko aliko yuko salama?
DP world!
Walioko karibu na huyu Kiongozi wa ACT wazalendo watujulishe.
Huko aliko yuko salama?
DP world!