Zitto: We are happy that you are strong Eric

Zitto: We are happy that you are strong Eric

Kwa hiyo wewe unachekelea? Alicheka nape, akacheka makamba na wakawa front line kwa kila hujuma Leo wanateketea na kujisemea kimoyo moyo kuwa huyu alitokea wapi sembuse wewe, unafurahia Wakati kila Dalili inaonesha kuwa tunaelekea kwenye mabadiliko hivyo kesho waweza kuwa wewe au wanao
Sichekj, kila mtu abebe mzigo wake. Kama ambavyo malipo aliyopewa kwa kazi ya kumtukana mkulu alikula pekee yake, basi na msala huo aubebe, wasiombe huruma yetu. "Period"
 
Msaliti wa nchi atapata shida tu hata mfanye nini. Hakuna mzalendo ambaye Yukos tayari kuacha ngome yake ikiteketea kwa sababu da nyie wakimbizi.

Tutailinda nchi yetu kwa hali na mali. Nyie wakimbizi ondokeni.

Wewe Zitto na huyo kibaraka wako na mkimbizi mwenzako ondokeni na iacheni nchi yetu salama vingibevyo itakuwa matatizo.

Zitto wewe unafanya mambo kwa maslahi yako.

Zitto wewe una tapa tapa tu huelewi nini unataka.

Zitto wewe haupo kwa ajili da watanzania.

Zitto wewe sio mtanzania.

Zitto wewe huitakii mema Tanzania na watu wake.

Zitto wewe umetumwa kuja kuvuruga amani ya nchi yetu.

Zitto wewe ni msaliti wa nchi yetu.

Zitto wewe ni mchonganishi wa watanzania.

Zitto wewe sio binadam wa kawaida kama sisi.

Zitto wewe unatumiwa na wajerumani na wazingu wengine.

Zitto wewe unataka watanzania tusiwe na amani tena.

Zitto wewe umedhamiria kuondoa amani yetu.

Zitto wewe unataka Tanzania na watanzania wateketee.

Zitto wewe unataka kuliangamiza Taifa letu.

Zitto wewe unataka watanzania tupigane wenyewe kwa wenyewe.

Zitto wewe unataka kuiona damu da watanzania ikimwagika.

Zitto wewe ni mtu hatari sana

Zitto wewe ni mtu wa kukuogopwa.

Zitto wewe siku nyingi za kuishi Tanzania tutakufukuza tu.

Zitto wewe watanzania wanakuchukia sana.
Saa zaidi ya 3 na kurasa zaidi ya 80 hujapata like hata moja?
 
Sitokuja kumsupport kufuli hata siku moja, kuna vitu anafanya vya maana ila ikija kwenye maswala ya haki za watu jamaa ni kalio kabisa. Atakutafuta akukomoe kwa nguvu zote, yaani huyu jamaa walivyomtafutia kesi kwa nguvu hadi inashangaza, na hizi walizompa akishinda watatafuta nyingine hadi waipate ikiwezekana kumtungia ya uongo, usijekuta sa hivi hata evidence zishatengenezwa fake ilimradi tu jamaa awekwe ndani. I seriously hate this dude with all my heart, endeleeni kumuombea coz kila siku anapiga makelele wajinga mnafurahia mtu wa mungu.
 
Back
Top Bottom