Zitto: We are happy that you are strong Eric

Zitto: We are happy that you are strong Eric

Mkuu unaamini kuna Mungu ?
Acheni kumsingizia Mungu, Kabendela alikuwa anapigania tumbo lake, waliokuwa wanamlipa walikuwa wanapogania matumbo yake. Mungu huyo huyo ndio ameagiza vijana kuwaheshimu watu wazima, ndiye ameagiza kuwaheshimu viongozi. So Kama unataka kuagiza habari za Mungu I would say Kabendela ameenda kinyume na matakwa ya Mungu.
Kabendela was fighting hard to discredit Magufuli's administration and he was doing that for money, Magufuli is fighting to protect his administaration, so lets see who is going to win, aache kulia kulia, apambane. Huu upuuzi wa watu kujiingiza kwenye vita wasizoziweza halafu wakiona wanazidiwa wanakuja kutafuta huruma ya raia ukome kabisa. Kabendela alikuwa analipwa kwa alichokuwa anakifanya na hayo malipo alikuwa ananufaika yeye na familia yake. Apambane, sisi hatuhusiki na chochote!
 
Ni wewe au nimesoma vibaya?
Ni ajabu kuona ‘praise team’ ukiandika haya.
Hata hivyo umefanya vyema, ni muda sasa sote tuungane kukemea uonevu huu.
Upo we mdada.Kitambo Sana Sijaona mwandiko wako.
 
ukiona praise team wanageuka ujue magu siku zake zinahesabika
 
Ha ha ha ha, Kama wewe Mwanaume toka huko utumwani uje upambane huku, unapiga kelele nyuma ya keyboard tena ukiwa utumwani, unawasafisha mavi bibi vizee. Njoo uje ujenge Nchi yako kenge wewe.
Jikite kwenye mada wewe mkaldayo acha porojo jamvini fanya kazi.

Mbusii wewee!
 
Endeleeni kumjaza upepo tu, yeye yupo nyavuni nyie mnapiga piga kelele hapa mkiwa nyuma ya keyboard. Bila shaka Lugemalila na Seth watampa Salam Zake.
Let see kama after three to four months kama kuna mtu atakuwa anamkumbuka. Huyo Zitto ameshamtumia kutimiza Political ambitions zake, "he is done".
Kwa hiyo wewe unachekelea? Alicheka nape, akacheka makamba na wakawa front line kwa kila hujuma Leo wanateketea na kujisemea kimoyo moyo kuwa huyu alitokea wapi sembuse wewe, unafurahia Wakati kila Dalili inaonesha kuwa tunaelekea kwenye mabadiliko hivyo kesho waweza kuwa wewe au wanao
 
Endeleeni kumjaza upepo tu, yeye yupo nyavuni nyie mnapiga piga kelele hapa mkiwa nyuma ya keyboard. Bila shaka Lugemalila na Seth watampa Salam Zake.
Let see kama after three to four months kama kuna mtu atakuwa anamkumbuka. Huyo Zitto ameshamtumia kutimiza Political ambitions zake, "he is done".
Unajitoa ufaham Kwa karanga za kuonjeshwa
 
Kinachoumiza wanamnyanyasa hivyo na kumpotezea mda wake alafu mwisho wa siku mahakama inakuja kutangaza kesi imefutwa eti DPP ameona haina haja ya kuendelea na kesi
Tunajua wewe hujapanga njama zozote dhidi ya yeyote.
Tunajua wewe sio mkwepa Kodi na tunajua huna hela za kutakatisha.
Tunajua tatizo ni kazi yako.
Ni uandishi wako.
Ni msimamo wako. Ni weledi wako.
Sisi marafiki zako tutapambania Uhuru wako. Inaweza kuchukua muda mrefu lakini TUTASHINDA.
Erick utakuwa huru, makosa yao ya kubumba yaliyokusweka jela hayatashinda haki. Watesi wako walisema wewe sio raia, Leo wamekutangaza wenyewe kuwa ni raia. Hata haya makosa ya sasa wao wenyewe watakutangaza kuwa huna.

We are happy that You are Strong Eric
View attachment 1173027
 
Who is next?
IMG_20190806_080331.jpeg
 
Washamba na Malimbukeni hawa, sijui huwa hawafikirii plan B wakitaka kupanga maovu yao.

Wamejing'ata ng'ata kwa makosa zaidi ya manne, eti leo wanaibuka na makosa mengine tofauti, kizazi hiki sio cha watu wajinga tena, muwe mnajipanga mkitaka kufanya uovu wenu, kuliko na kudhihirisha ujinga wenu namna hii.

Kuwa Imara utayashinda haya Erick.
Wewe ndiyo mjinga na inaonekana hujajipanga vizuri kwani hujapata taarifa yeyote kuwa alikamatwa kwa lipi? Watu wame unga unga tu story na wewe zuzu umezichukua kama zilivyo na kudai umejipanga. Hamjajipanga chochote bado ni wale wale wa udaku bila facts.
 
Ndio Maana nachukia watu wa Bara wote sijui kwanza lini mtaenda Dodoma tubaki Salama na Mzizima yetu...
 
Tunajua wewe hujapanga njama zozote dhidi ya yeyote.
Tunajua wewe sio mkwepa Kodi na tunajua huna hela za kutakatisha.
Tunajua tatizo ni kazi yako.
Ni uandishi wako.
Ni msimamo wako. Ni weledi wako.
Sisi marafiki zako tutapambania Uhuru wako. Inaweza kuchukua muda mrefu lakini TUTASHINDA.
Erick utakuwa huru, makosa yao ya kubumba yaliyokusweka jela hayatashinda haki. Watesi wako walisema wewe sio raia, Leo wamekutangaza wenyewe kuwa ni raia. Hata haya makosa ya sasa wao wenyewe watakutangaza kuwa huna.

We are happy that You are Strong Eric
View attachment 1173027
Msaliti wa nchi atapata shida tu hata mfanye nini. Hakuna mzalendo ambaye Yukos tayari kuacha ngome yake ikiteketea kwa sababu da nyie wakimbizi.

Tutailinda nchi yetu kwa hali na mali. Nyie wakimbizi ondokeni.

Wewe Zitto na huyo kibaraka wako na mkimbizi mwenzako ondokeni na iacheni nchi yetu salama vingibevyo itakuwa matatizo.

Zitto wewe unafanya mambo kwa maslahi yako.

Zitto wewe una tapa tapa tu huelewi nini unataka.

Zitto wewe haupo kwa ajili da watanzania.

Zitto wewe sio mtanzania.

Zitto wewe huitakii mema Tanzania na watu wake.

Zitto wewe umetumwa kuja kuvuruga amani ya nchi yetu.

Zitto wewe ni msaliti wa nchi yetu.

Zitto wewe ni mchonganishi wa watanzania.

Zitto wewe sio binadam wa kawaida kama sisi.

Zitto wewe unatumiwa na wajerumani na wazingu wengine.

Zitto wewe unataka watanzania tusiwe na amani tena.

Zitto wewe umedhamiria kuondoa amani yetu.

Zitto wewe unataka Tanzania na watanzania wateketee.

Zitto wewe unataka kuliangamiza Taifa letu.

Zitto wewe unataka watanzania tupigane wenyewe kwa wenyewe.

Zitto wewe unataka kuiona damu da watanzania ikimwagika.

Zitto wewe ni mtu hatari sana

Zitto wewe ni mtu wa kukuogopwa.

Zitto wewe siku nyingi za kuishi Tanzania tutakufukuza tu.

Zitto wewe watanzania wanakuchukia sana.
 
Wewe ndiyo mjinga na inaonekana hujajipanga vizuri kwani hujapata taarifa yeyote kuwa alikamatwa kwa lipi?
Mlolongo wa tukio uko hivi
-Polisi hatuna taarifa na hatujui Erick kama ametekwa au la
-Polisi tunamshikilia Erick kwa kosa la utata wa Uraia wake
-Polisi tunamshikilia Erick kwa kosa la kimtandao
-Polisi tutamfikisha Erick mahakamani tarehe 5/8/2019
-Mahakama, Erick anashitakiwa kwa makosa matatu(mtandao wa uhalifu, kukwepa kodi, kutakatisha fedha)

Haya makosa mmbona hayakutajwa mwanzoni? Yale ya mwanzo kwa nini wameyaacha?

Kizazi hiki sio wajinga tena, jipangeni....
Hamjajipanga chochote bado ni wale wale wa udaku bila facts.

Leta facts zako ukifafanua huu mkanganyiko.
 
Back
Top Bottom