Zitto: We are happy that you are strong Eric

Zitto: We are happy that you are strong Eric

pic.twitter.com/oSxGwd6HJc

Tunajua wewe hujapanga njama zozote dhidi ya yeyote.
Tunajua wewe sio mkwepa Kodi na tunajua huna hela za kutakatisha.
Tunajua tatizo ni kazi yako.
Ni uandishi wako.
Ni msimamo wako. Ni weledi wako.
Sisi marafiki zako tutapambania Uhuru wako. Inaweza kuchukua muda mrefu lakini TUTASHINDA.
Erick utakuwa huru, makosa yao ya kubumba yaliyokusweka jela hayatashinda haki. Watesi wako walisema wewe sio raia, Leo wamekutangaza wenyewe kuwa ni raia. Hata haya makosa ya sasa wao wenyewe watakutangaza kuwa huna.

We are happy that You are Strong Eric
View attachment 1173027
 
Una type ukiwa nyuma ya keyboard na Jina fake. Mungu yupo subir tuone
Endeleeni kumjaza upepo tu, yeye yupo nyavuni nyie mnapiga piga kelele hapa mkiwa nyuma ya keyboard. Bila shaka Lugemalila na Seth watampa Salam Zake.
Let see kama after three to four months kama kuna mtu atakuwa anamkumbuka. Huyo Zitto ameshamtumia kutimiza Political ambitions zake, "he is done".
 
Nani yule alisema.." si mnasema nawachekea sana basi chuma hicho kinakuja!"
Mwingine akasema..
"Yule kama aliwabatiza kwa maji...sasa huyu atawabatiza kwa moto"
Sijui walisema kweli vile au walikuwa wanatania?...
Sasahivi wanabatizwa wao kwa namna moja au nyingine
 
Yaani kwenye utawala wa sasa chini ya Daktari JPJ Magufuli unaweza ukapredict mzigo watakaomtupia mtu wanayeona anawasema sana

1) Uraia wenye utata: hapa unaweza kuulizwa utaje majina matatu ya babu yake na babu yake baba yako, au uonyeshe walizikwa wapi
2) Cyber crime and/or Uchochezi
3) Ukwepaji Kodi (hata kama huna biashata yoyote)
4) Ujambazi sugu wa kutumia silaha (ukipenda, organised crime😛)
5) Utakatishaji Fweza
6) All of the above

Harafu hawahawa ikifka Ijumaa au Jumapili wanawahi mbele kabisa wawekewe mikono na watumishi wa Allah/Mungu
 
EBNWs7cX4AARmBw.png
 
Yaani kwenye utawala wa sasa chini ya Daktari JPJ Magufuli unaweza ukapredict mzigo watakaomtupia mtu wanayeona anawasema sana

1) Uraia wenye utata: hapa unaweza kuulizwa utaje majina matatu ya babu yake na babu yake baba yako, au uonyeshe walizikwa wapi
2) Cyber crime and/or Uchochezi
3) Ukwepaji Kodi (hata kama huna biashata yoyote)
4) Ujambazi sugu wa kutumia silaha (ukipenda, organised crime😛)
5) Utakatishaji Fweza
6) All of the above

Harafu hawahawa ikifka Ijumaa au Jumapili wanawahi mbele kabisa wawekewe mikono na watumishi wa Allah/Mungu


h😂😂😂😂😂 nimecheka hyo ya 1 ila uko sahihi sana..dah Maisha haya
 
Yaani kwenye utawala wa sasa chini ya Daktari JPJ Magufuli unaweza ukapredict mzigo watakaomtupia mtu wanayeona anawasema sana

1) Uraia wenye utata: hapa unaweza kuulizwa utaje majina matatu ya babu yake na babu yake baba yako, au uonyeshe walizikwa wapi
2) Cyber crime and/or Uchochezi
3) Ukwepaji Kodi (hata kama huna biashata yoyote)
4) Ujambazi sugu wa kutumia silaha (ukipenda, organised crime😛)
5) Utakatishaji Fweza
6) All of the above

Harafu hawahawa ikifka Ijumaa au Jumapili wanawahi mbele kabisa wawekewe mikono na watumishi wa Allah/Mungu


h😂😂😂😂😂 nimecheka hyo ya 1 ila uko sahihi sana..dah Maisha haya
 
Back
Top Bottom