Mzee Rufiji,
Unajua I wish kungekuwa Realty Show ya bunge na wabunge wakiwa bungeni, unajua kama unakumbuka mambo ya darasani wakati tunasoma either shule ya msingi au secondary, ni yale yale ndani ya bunge,
Mle ndani wabunge huwa kama watoto wadogo, na ndipo ninaposema kuna mama mmoja ambaye kazi yake ilikuwa kusambaza picha za porno na sasa ni waziri, halafu viongozi wote huwa kwenye level moja hata PM mwenyewe,
lakini kitu kimoja tu ni kwamba siku zote kuna arrogance ya wabunge kujiona kuwa ni viongozi muhimu sana, na utai-notice hiyo pale tu wanapokuja wageni ambao si wabunge, na ndipo inapokuja issue ya vikatuni ukweli response ya spika na baadhi ya wabunge ni motivated na hiyo arrogance, ndani ya bunge kulikuwa na upinzani mkubwa kuwa waiache hiyo issue na waandishi waendelee na uandishi wao,
lakini kuna kundi moja la wabunge wachache ambao hawataki mabadiliko na kuelewa kuwa times have changed na kwamba waandishi kama comedians wanayo haki ya kueleza jinsia zao na kero za wananchi kwa kutumia sanaa (vikatuni na etc), lakini wao wakanga'ng'ania tuu na ndio ukaona Spika akapiga kelele kwa hiyo ikabidi kumuarifu mzee JK haraka sana na issue ikaisha hapo hapo,
Hii ndio faida ya kuwachagua viongozi waliochoka, katika kasi mpya kwani wao hutaka kurudisha time nyuma tuuuuuu!, kwa hiyo JK akakumbushwa kuwa hayo malalamiko against vikatuni sio sambamba na kasi mpya!