Zitto: Wazomewe! Awataka CHADEMA warejeshe nyumba za Serikali

Zitto: Wazomewe! Awataka CHADEMA warejeshe nyumba za Serikali

Wote wameoza ndani ya Ccm hakuna jipya usiwadanganye watu kusema alisema alisema.
Mwaka wa Lowasa huu

Ngoja ni lale maana mama watoto anadhani na chat na mchepuko! Ngoja nilale ccm tunakawaida ya kuota usiku sio mchana kama chaDOMo. Bye
 
................😷
 

Attachments

  • 1442181490119.jpg
    1442181490119.jpg
    24.6 KB · Views: 415
Mtu mwenyewe ameanza kubebwa leo kupanda ngazi hizo ngazi za ikulu atapanda vipi huyo fisadi ikulu ataiona kwenye Tv au kwa ataenda kwa mwaliko.

kura yako moja haiwezi kumzuia Lowasa kuingia ikulu watanzania 90% tumeamua kumpeleka ikulu hata akiwa juu ya machela make jamaa ni mchapakazi na mtu mwenye maamuzi magumu. Ni bora tuchague fisadi mmoja kuliko kuchagua mafisadi elfu hamsini ya Ccm!!! Lowasa lazima aingie ikulu mkifunga mlango atapitia dirishani.
 
Waliotuibia wakiwa ccm, wanakuja kutaka kutuibia tena UKAWA.
 
Kwanini warudishe??? Na wakirudisha zitapelekwa wap?? Serekali ni watu
 
Ukiwa ndani ya ccm hata uchukue viwanda vyote, mashamba nyumba hutaulizwa lakini ukitoka ccm ukaenda chama kingine utambiwa rudisha. Swali ni je ukiwa ccm upo nuu ya sheria?? Leo hii kinana akiondoka ccm utasikia wakisema arudishe ICD unazo miliki kurasini na pia watasema alishiriki kuuwa tembo na kusafirisha pembe za ndovu. Lakini kwa vile sasa yupo ccm hawawezi kulisema mapaka aondoke.ccm kuna waovu wengi sana ndo maana wanapigania chama kwa nguvu zote ile wasije umbuka namba moja kumbuka atakuwa kikwete kinana na mkapa
 
Hivi nani kawauzia nyumba hizo? Zitto nilikuheshim saana lakini sasa naona nisikuheshim. Vipi majina ya viongozi wenye akaunti za kibenki nje ya Tanzania. Nakuomba ututajie angalau kumi tu ila mkuu wa kaya sijui kama naye atakua nayo.
 
Zitto kanifumbua macho! Kumbe anawajua walio chukua nyumba zetu' aisee wazirudishe tu na tukiwapa kura ndio watachukua na nchi yetu

mbona Na yeye mgao wa Escrow kwa singa singa alipata kisiri siri?
 
Nyumba za serikali Magufuli zote aligawa kwa Vimada, Tarehe 26 oct Lowasa akiwa ndani ya ikulu ataanzisha mchakato wa kurudisha nyumba zote alizogawa Magufuli kwa vimada wake.
Kama mmefikia hatua hii ya kumuita lowassa kimada basi mna hatari.
 
Kama mmefikia hatua hii ya kumuita lowassa kimada basi mna hatari.

Mwambie Zitto ataje majina ya waloficha fedha nje ya nchini na akimaliza hilo ataje pia walonunua nyumba za serikali, porojo hatutaki twahitaji uwazi na ukweli
 
Inafurahisha sana unapo muona mtu wa CCM anahamaki na kusema ""warudishe nyumba zetu bila hivyo kura hakuna" Kwanini tusianze na muuzaji ambaye ni Magufuli!? Kwa taarifa yenu raia huku nje hawaoni wala hawasikii wao ni UKAWA - Lowassa. Hata mseme Lowasa ni gaidi achana na wimbo wenu kuwa ni mwizi ambao umeaha chuja.
 
Ahahahahahahaaaaaaaa wamekuja na single mpya kupitia Zito,nayo itachuja soon tu
 
Back
Top Bottom