Zitto: Wazomewe! Awataka CHADEMA warejeshe nyumba za Serikali

Zitto: Wazomewe! Awataka CHADEMA warejeshe nyumba za Serikali

Zitto a.k.a nitoke vipi, maana umepotezwa kwenye siasa ya bongo.
 
Zito amepoteza uhalali wa kuwa MPINZANI wa CCM. Hoja ya kuturudishia nyumba zetu ina mashiko lakini anapoona tone la maji (waliotoka CCM) na kutoiona bahari (waliobaki CCM) hapo anathibitisha kutumika kudhoofisha WAKOMBOZI

Tokea Lowassa alivyoamia CDM kimekuwa chama cha kupinga ufisadi
 
Hivi nani kawauzia nyumba hizo? Zitto nilikuheshim saana lakini sasa naona nisikuheshim. Vipi majina ya viongozi wenye akaunti za kibenki nje ya Tanzania. Nakuomba ututajie angalau kumi tu ila mkuu wa kaya sijui kama naye atakua nayo.


Uko Nje ya mada, Kuna mada kuhusu hilo (akaunti) humu JF!

 
Mkitaka Kujua Kajamaa Kenu ni Ka Nafiki na ACT Nzima,

Kaoneni Hapa Chini, Hapa ni wakati ENL anaokoka na Kupokelewa Kwenye Utukufu wa UKAWA / CHANDEMA






Kuna utata gani kwa yy kusema hivyo! Yangetimia na ingekuwa sawa kama sio ubadhilifu wa wanasiasa! Sio mafisadi kukimbilia vichakani! Badala ya kuimarika ndio vimelegea kabisaa!
 
Nyumba za serikali Magufuli zote aligawa kwa Vimada, Tarehe 26 oct Lowasa akiwa ndani ya ikulu ataanzisha mchakato wa kurudisha nyumba zote alizogawa Magufuli kwa vimada wake.

Aanze kuirudisha ile aliyoinunua yeye na ile aliyoinunua Sumaye... wengine watafuata awe mfano wa kuigwa
 
mbona mnajifanya vipofu na viziwi mnapoambiwa ukweli? Magufuli kwa niasaba ya serikali ameuza nyumba lakini Lowasa na Sumaye ndio wanufaika , warejeshe nyumba zetu kwanza hawa wasanii wa siasa.

Sasa kama ni serikali ndo imeuza kuna tatizo gani...hapo ni kuiuliza serikali ilikuwaje ikauza hizo nyumba na sio kuanza kuwazingua watu ambao wamenunua kwa hela zao......iulizeni serikali yenu
 
Hahaha waitaimba sana mwaka huuu zitto nae kajitokeza katika gazetti la uhuru kazi wanayo 2015 aisee
 
Doooh, yani sasa hivi kila mtu anatafuta kick ya kujulikana kisiasa mpaka yanaibuka ambayo hata hayajulikani, sasa tumuelewe nani
 
Hahaha waitaimba sana mwaka huuu zitto nae kajitokeza katika gazetti la uhuru kazi wanayo 2015 aisee

Hahah, sema na wewe umesema kitu ambacho hata sikukifikiria, gazeti la uhuru Zitto alikuwa analipiga vita, lakini sasa hivi ndiyo anapatia kick huko, duuu, kwani ni gazeti la uhuru au Tanzania Daima
 
Zitto hana nyimbo mpya ni sisemu B na tayari kabebwa na mafuriko ya UKAWA baada tu ya uchaguzi anapotea kwenye ramani ya siasa.
Kwa taarifa yako ukawa baada ya uchaguzi ndio watapoteana na kupodeza dira ya upinzani tena Zitto ndiyo atabaki kua mpinzani pekee ukawa mmeuzwa na hamna jipya tena
 
Seke seke za hizi nyumba hazina dhambi yeyote mtu kununua kwa sababu serikali inazo nyingi na muda mwingine hata service hazifanyiwi isitoshe zina gharama zisizo kuwa na tija kwa serikali so wakaamua kuzitoa kwa watumishi wa umma magufuli alizitoa kwa askari tena bure hawalipii kodi ya aina yeyote nyingine anae weza nunua ana nunua na huu ni utaratibu wa nchi nyingi tu sasa bhasi sisi tusio jua mbele wala nyuma na elimu yetu finyu tunaona tunaibiiiwa! Hata ww kama unayo pesa ya kuzi nunua hukatazwi na zinatangazwa maramara na hizo ni serikali inapunguza cost zisizo na tija kuzikarabati na kuzitoa ni kukunufaisha mwananchi wake! Fuatilieni vzr na hili hata huyo SUMAYE ALILIONGELEA LABDA AJIKANE NA ASEME ALIEONGEA NI PACHA WAKE!

Haahaaa Wayout acha kutuyeyusha eti hata wewe kama unahela unanunua?? Halafu nyumba ipo masaki kiwanja tu bilioni kadhaa ila inauzwa kwa milioni sitini tu?? Na ukitaka kujua nenda kafanye utafiti wakinanani waliouziwa nyumba hizo? Nakuhakikishia majina ya malofa hayapo n'go!

Pamoja na kumkubali Magufuri, Kondoo mmoja ndani ya mbwa mwitu miambili, hakuna namna mabadiliko hayaepukiki! GO go UKAWA
 
Tunachoambiwa na zitto ni kwamba chadema ndio wenye sera ya uuzaji wa nyumba na ndio wenye serikali. Pia baada ya chadema kurejesha nyumba za serikali chadema wanatakiwa kutuambia kwanini chenji ya rada iliyorudishwa hawajaifanyia kazi iliyotakiwa na baada ya kujibu kuhusu rada watwambie Kwanini walitorosha twiga kwenye ndege. Baadae chadema watwambie Kwanini walichakachua maoni ya Wananchi kwenye rasimu ya warioba.
 
Zitto kanifumbua macho! Kumbe anawajua walio chukua nyumba zetu' aisee wazirudishe tu na tukiwapa kura ndio watachukua na nchi yetu

Watumishi wengi wa serikali waliokuwa wanaishi kwenye nyumba hizo waliuziwa, wengn bado wanakatwa kwenye mshahara hadi sasa. Hata ww ungepata hiyo nafasi ungeitumia! Maana nyumba ziko maeneo mazuri, mf dar ziko osterbay! Halaf zina maeneo makubwa
 
Seke seke za hizi nyumba hazina dhambi yeyote mtu kununua kwa sababu serikali inazo nyingi na muda mwingine hata service hazifanyiwi isitoshe zina gharama zisizo kuwa na tija kwa serikali so wakaamua kuzitoa kwa watumishi wa umma magufuli alizitoa kwa askari tena bure hawalipii kodi ya aina yeyote nyingine anae weza nunua ana nunua na huu ni utaratibu wa nchi nyingi tu sasa bhasi sisi tusio jua mbele wala nyuma na elimu yetu finyu tunaona tunaibiiiwa! Hata ww kama unayo pesa ya kuzi nunua hukatazwi na zinatangazwa maramara na hizo ni serikali inapunguza cost zisizo na tija kuzikarabati na kuzitoa ni kukunufaisha mwananchi wake! Fuatilieni vzr na hili hata huyo SUMAYE ALILIONGELEA LABDA AJIKANE NA ASEME ALIEONGEA NI PACHA WAKE!

Watumishi wengi wa serikali waliokuwa wanaishi kwenye nyumba hizo waliuziwa, wengn bado wanakatwa kwenye mshahara hadi sasa. Hata ww ungepata hiyo nafasi ungeitumia! Maana nyumba ziko maeneo mazuri, mf dar ziko osterbay! Halaf zina maeneo makubwa

Asante kwa ku brief vzr
 
Back
Top Bottom