Zitto: Wazomewe! Awataka CHADEMA warejeshe nyumba za Serikali

Zitto: Wazomewe! Awataka CHADEMA warejeshe nyumba za Serikali

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,538
DSC00256.jpg
 
Zitto hana nyimbo mpya ni sisemu B na tayari kabebwa na mafuriko ya UKAWA baada tu ya uchaguzi anapotea kwenye ramani ya siasa.
 
ZITTO Anataka kununuliwa tena,labda hela ya kampeni imeisha hivyo anataka aongezewe na Waliomtuma kudhoofisha wapinzani.........
 
Ccm A na ccm B wote wezi wametuibia nyumba zetu wa ludishe . baada ya ccm kuona wamebanwa na slaa wakaamua kumnunua mbowe ili wauwe upinzani.
 
Zitto kanifumbua macho! Kumbe anawajua walio chukua nyumba zetu' aisee wazirudishe tu na tukiwapa kura ndio watachukua na nchi yetu
 

Attachments

  • 1442171223384.jpg
    1442171223384.jpg
    23.8 KB · Views: 1,626
ZITTO Anataka kununuliwa tena,labda hela ya kampeni imeisha hivyo anataka aongezewe na Waliomtuma kudhoofisha wapinzani.........

mbona mnajifanya vipofu na viziwi mnapoambiwa ukweli? Magufuli kwa niasaba ya serikali ameuza nyumba lakini Lowasa na Sumaye ndio wanufaika , warejeshe nyumba zetu kwanza hawa wasanii wa siasa.
 
mbona mnajifanya vipofu na viziwi mnapoambiwa ukweli? Magufuli kwa niasaba ya serikali ameuza nyumba lakini Lowasa na Sumaye ndio wanufaika , warejeshe nyumba zetu kwanza hawa wasanii wa siasa.

Huyo huyo sumaye alielezeaga vizuuuuri kuhusu hii issue ss sijui yamemfikaje tena! Nina clip ila huwa haitaki ku upload ya sumaye na magufuli na walielezea vizuri sana.
 
Zitto kanifumbua macho! Kumbe anawajua walio chukua nyumba zetu' aisee wazirudishe tu na tukiwapa kura ndio watachukua na nchi yetu

Watanzania nani katuloga? Bango ashikiwe mnunuzi na vipi muuzaji na muhongaji je?
 
Zito amepoteza uhalali wa kuwa MPINZANI wa CCM. Hoja ya kuturudishia nyumba zetu ina mashiko lakini anapoona tone la maji (waliotoka CCM) na kutoiona bahari (waliobaki CCM) hapo anathibitisha kutumika kudhoofisha WAKOMBOZI
 
Watanzania nani katuloga? Bango ashikiwe mnunuzi na vipi muuzaji na muhongaji je?

Unajifanya Muhongaji humjui! Na sshv kaishiwa na kapitisha mchango kwa tigo pesa mpesa na airtel money' au hilo limekupita
 
hahaha duh! zito shikamoo. kwa hiyo ukawa wanaonyeshwa kuwa hawawafahamu kabisa wagombea wao. rudisheni nyumba za serikali bana nyie mbn matajiri halafu si tumepigika!
 
Swali ni nani kauzaaa?? Magufuli kauza! Zitto na ma CCM msitafute wachawi hapa wakati ninyi ndio wachawi! you are playing the old stupid game of scapegoat!
 
Zitto namkubali..ningekuwa Kigoma angepata kura angu.

Warudishe nyumba zetu.
 
Watanzania nani katuloga? Bango ashikiwe mnunuzi na vipi muuzaji na muhongaji je?

WAYOUT tafaari vizuri hata Mapoda ya kulevya anashikwa teja mnunuzi tuu myuzaji na msafirishaji (punda) muuzaji( mfanya biashara) hajawahi kusikwa na hata Mkaa njiani huko anashikwa mnunuzi muuzajihashikwe, jamani pia muuza gongo/chang'aa kule Msonga hashikwi wanashikwa wanyaji tuu. ONLY IN TZ
 
Back
Top Bottom