Zitto: Wazomewe! Awataka CHADEMA warejeshe nyumba za Serikali

Zitto: Wazomewe! Awataka CHADEMA warejeshe nyumba za Serikali

Mkitaka Kujua Kajamaa Kenu ni Ka Nafiki na ACT Nzima,

Kaoneni Hapa Chini, Hapa ni wakati ENL anaokoka na Kupokelewa Kwenye Utukufu wa UKAWA / CHANDEMA






hujaelewa mkuu, unatapatapa tu, pole sana

sindano inaumaa ee!
 
lowasa na sumaye walikuwa serikalini wakat wananunua hzo haina tatizo.je magufuli nyumba aliohonga na aliomwuzia mwanafunzi vip?
 
Hatuna upinzani unaotutakia mema watanzania hasa ukawa. Hawa ni wagombania keki tu
 
Hivi ni nani atakayeuziwa nyumba/kasri ya serikari kwabei cheeee na asinuue?

Uwanja karibia ufanane Taifa Stadium unaniambia nitacha?

Tupunguze wivu wadau. Hata mimi nigenunua tu.
 
kulikuwa na kosa gani mtu kununua bidgaa ilioko sokon!! ZITO NI MVURUGAJI WA VIWANGO VYA JUU SAN!! CHEAP POLITICS!! na wasiojielewa mnadandia, ni wapi chadema km chama au taasisi ya kisiasa walinunua nyumba!! na km ziliuzwa ni ili watu wanunue!! Zitto yuko kazini na ccm yke!! ACT wako kazini kumsaidia mapombe aingie ikulu!! HATUDANGANYIKI NG'O, MABADILIKO NI SASA!!! LOWASA TO B MY NEXT PRESIDENT NO MATTER WAT!!! pipooooooooooz............
 
kulikuwa na kosa gani mtu kununua bidhaa ilioko sokon!! ZITO NI MVURUGAJI WA VIWANGO VYA JUU SAN!! CHEAP POLITICS!! na wasiojielewa mnadandia, ni wapi chadema km chama au taasisi ya kisiasa walinunua nyumba!! na km ziliuzwa ni ili watu wanunue!! Zitto yuko kazini na ccm yke!! ACT wako kazini kumsaidia mapombe aingie ikulu!! HATUDANGANYIKI NG'O, MABADILIKO NI SASA!!! LOWASA TO B MY NEXT PRESIDENT NO MATTER WAT!!! pipooooooooooz............
 
All in all, CDM watawakumbuka sana ZITTO na DR SLAA, baada ya uchaguzi
 
UKAWA wanapambana na rangi nyingi sana sio kijani tu!
Kama umeliona hilo, basi inatakiwa UKAWA wajipange kweli kweli, mpango wa kwanza ni kuziba nyufa walizoshindwa kuziwekea udhibiti wakati wanajenga nyumba yao ya UKAWA, bila ya kusahau milango na madirisha yaliyoibiwa
 
Back
Top Bottom