DJ NYUKI
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 370
- 89
Si huyu alisema Lissu ni kifaranga tu anamtafuta mama yao?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Huyo huyo! Na aliye sema chadema mahafidhina!
Si huyu alisema Lissu ni kifaranga tu anamtafuta mama yao?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Aje Sumbawanga akikusanya watu maelfu ya watu kwenye mkutano kama kipindi kile ,natembea mtupu.
Nyie ndio wapambe nuksi anaowasema Zitto.I kind of agree with you. Zitto amekuwa akimstahi sana Mbowe wakati mwenzake ametumia kila aina ya fursa kummaliza kisiasa. Angalau angeanza na hili dili la hela za Singasinga wa Escrow. Angeweka wazi kabisa jinsi Mbowe na cronies wake akina JJ walivyovuta mlungula ili watu wajue aina ya upinzani uliopo nchi yetu.
Zitto anajua kuwa tarehe 10 ndio ananyang'anywa rasmi kadi.
ebu hata siku moja badilika, mbona mnapenda sana siasa za ubaguzi, wakati si misingi ya taifa letu, nilishawahi kusema hapa nyerere aliona mbali kutuunganisha kuwa wamoja bila kujali makabila na dini, sasa nyie mnaleta hivi mnajua madhara yake? hakuna vita mbaya kama ya ukabila na udini. mfano kenya na nigeria. tafakari.
Zitto You are pathetic on this issue, kindly refrain yourself, Una Maana Gani wapambe ndio wamewachomganisha, kama wewe na Mbowe mmekuwa akili ndogo hadi vifaranga wanaweza kunmichonganisha, jee ikiwa hamuwezi kutofautisha uongo na ukweli jee mtaweza kuongoza nchi nzima, ambapo mtakuwa na mamilioni ya wapambe.
This is very cheap Politics from an astute politician like yourself, This is the time for you to come clean and expose the weakness and shortfalls of Mbowe, as the opposition needs clean, fair and Nationalistic Leaders, Weka wazi maoni yako kuhusu nia ya Mbowe kugombea Kiti chake kwa mara ya tatu tofauti na constitution ys Chama. Waelimishe wana Chadema ili wasimchague kiongozi batil, kama unao ushahidi kama huo, na kama una imani ya kuwa ana haki ya kugombea basi unapaswa kusema ukweli hapo....
Naunga mkono hoja Kamanda........jamaa amejuta na kutubu,japo kiutu uzima lkn msj imefika,Hatuwezi kuZuia humu Jf kumshambulia Zitto lkn ningeomba baada ya kumaliza mashambulizi tutafakari mañeno yake na kuyapima......kwa mtu anayekipenda chadema na kuitakia heri siasa ya upinzani tanzania, ni bora chadema wayamalize na zitto kwa mustakabali mwema siasa za upinzani waombane misamaha yaishe, maisha ndivyo yalivyo.
Wapambe nuksi, mmemponza mwenzenu hadi anatia huruma,Sasa Chadema si mali ya Mbowe.? Chadema ni taasisi ya mbowe wengine ni misukule tu.
Binafsi naiona ni dalili ya ukomavu kwa Zitto. Ameeleza hali halisi baada ya tafakali ya kina. Hii ni changamoto kwa Mbowe. Naye anyoshe mkono wake wa kuume apokee salaam ya Zitto. Ni uungwana tu.
Amekumbuka shuka wakati kumepambazuka.
Iangalie nafsi yako kwanza kabla ya kuhukumu wenzako.