I saw this coming... two years ago. Nilitumia nguvu na juhudi nyingi sana kumshauri Zitto, kwani nilishaona kinachoelekea kutokea. Nilitukanwa na kuitwa msaliti humu lakini niliamini, na bado naamini kuna watu "wame - take advantage" ya udhaifu wa Zitto kummaliza na kuidhoofisha CHADEMA...
Kwa bahati mbaya Zitto hakunisikiliza! Najua mimi sio yeyote katika siasa, lakini kutokana na kufuatilia mambo machache kwenye hiyo siasa, basi yale machache ninayoyafuatilia nakuwa makini nayo...
Tatizo moja la Zitto ni kutokujua "weaknesses" zake... Kwani angeziua, bila shaka angezifanyia kazi, na isingekuwa rahisi kuchezewa kiasi hiki...
- Zitto wewe ni kiongozi mzuri sana lakini una ubinafsi kwenye suala la madaraka na umaarufu wa ksisiasa. Najua utakataa sana, but ukweli ni huo... Ulitakiwa tu ujue CHADEMA ni chama kimoja, na hakiwezi kuongozwa na watu wawili... baas. Then ujue kuna siku Mbowe angeachia madaraka, na wewe ungeongoza CHADEMA... baaas
Ushauri tena kwa sasa
Watu ulio nao ACT sio watu wa hadhi yako, wala sio watu wanaokutakia mazuri. Ndio wametumiaka kukudondosha CHADEMA, na wataendelea kutumika kukumaliza kisiasa... Huwezi kuwa na watu kama kina Mchange, eti useme ni watu makini! Are you kidding?