Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,043
- 1,012
akili ya zitto ni zaidi ya viongoz na wanachama wote wa chadema kwa pamoja
We zito huyo ni kilaza ndio maana lumumba mlimteka
akili ya zitto ni zaidi ya viongoz na wanachama wote wa chadema kwa pamoja
Ndio habari ya Lumumba!
Ndo tumewaambia mujiandae kumpokea....Kiama chake kinakuja soooon....
Pamoja na spining
zako zote kwenye magazeti ya wahariri wasaka tonge lakini nikujuze tu
kuwa kuanzia kesho 10-30/09/2014 ni siku ambazo historia ya Zitto Zuber
Kabwe itafutwa rasmi ndani ya Chadema,
Ni siku ambazo lile joka lamdimu tulilokuwa tumelizimisha sasa tutaliua
kabisa,
Ushauri wangu kwako muasisi na mkurugenzi wa kampuni ya upatu ya ACT ni
kuwa jitahidi kutembea na kadi yetu kwani mda wowote tutaka uturudishie,
ukigoma kutuletea tutaifuta hata ikiwa umeichimbia sanukuni kule
Mwandiga.
Ni hayo tu mkuu, akufaaye kwa dhiki ndie rafiki wa kweli.
Ishukuriwe mahakama kwakuhifadhi wahalifu wa kisiasa,
Unajishushia hadhi Yericko
We zito huyo ni kilaza ndio maana lumumba mlimteka
Mimi nasubiri mkiuke amri ya mahakama.[/QUOTE
Chadema hawatakiuka agizo la mahakama ila watafata taratibu. Kama ni faulo tayari zitto keshachezewa kwenye hizi chaguzi ya ndani ya chama. Ile nguvu aliyokuwa nayo kwenye wajumbe wa baraza kuu Mbowe na genge lake wameshaisambaratisha yote na wengne wameamua kujiuzulu baada ya kufanyiwa mazengwe.
Kilikochobaki ni kuitisha baraza kuu lenye sura mpya na zinazosema zidumu fikra za mwenyekiti. Kwan walioshinda wengi wao wamepewa sapoti kutoka makao makuu ili waje kufanya kazi mbili tu.1.Kumlinda mbowe kwenye kiti chake na 2.Kupitisha azimio la kumfukuza Zitto. Kwani kilichokua kikimpa hofu mfalme ni wajumbe wa baraza kuu na ndo wameshafagiwa kwa 80%. Hadi hapo wakua wametekereza amri ya mahakama kwa ushindi mnono.
Ndo siasa zetu zilivyo. Hivyo ukiona hao vifaranga wanafanya sherehe na mama zao ndo ujue mchezo umeisha kilichobaki ni kunajisi fuko la ruzuku bila maswali.
Kwa makosa na uibifu aliyo ufanya ndani ya chama hatakiwi kusameweha
Matusi ya nini mkuu?
Hadhi yako ni kumpikia mbowe chai na kufafia ofisi, huna hadhi ya kuwa mjumbe baraza kuu..teh teh, kesho wakati wajumbe wanachagua viongoz wa bavicha utakuwa nje kwenye benchi usubir matokeo utuletee huku jf..
Matusi ya nini mkuu?
Yericko amechoka sana,, atakuwa na utapiamlo.. Kila siku anasaga soli mpaka ufipa kuombaomba, hata ela ya daladala hana,,
Ile singo yako ya kuporomoka kwa Dr. Slaa bado haijaenda redioni?
Au unaogopa kuitoa? Nilitarajia nikuone kwenye Fiesta ukitumbuiza.
Tunampoka rasmi kadi bosi wenu, upo?
Yaani ukisikia kijambo ndio wewe!!zitto ni kenge gani?
Ile leka tutigite inaendeleaje baada ya kupiga hela ya umma nssf?
Mzdhara yakutumia kichwa kufugia nywele hayo,tehe!
Zitto ana akili kuliko wanachama na viongozi wa kitaifa wa chadema