OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
Unasema siasa za faida kwa taifa? Hahaaa kwahiyo Zitto kupiga hela za lumumba na kuihujumu chadema ni maslahi kwa taifa?
Kama mna uhakika ni karibu mwaka sasa kelele ni hiyo hiyo moja tu na mna wanasheria huko nini ngumu kumaliza hii kesi moja??!!!
Say kweli hayo unayosema, hilo linakuzuia wewe japo kuandaa semina kushirikiana na wengine japo kuzungumzia dira zenu katika kipindi cha uchaguzi ili wataoingia wabebe matarajio yenu badala ya kukomaa na huyu hasimu wako???!!
Haya kwa mfano anaenda chama kingine na anaendelea kupiga hizo hela we utakuwa na nini cha kufanya akiwa huko, utadai kadi tena???!!! Angalia mambo yenye muendelezo achana na hizi mambo za kupita na zisizo na muendelezo thabiti haswa kwako kama kijana wa Taifa hili, focus kwenye issues!!!
Zinatakiwa siasa za issues sio siasa za watu hizi wengine wanazita "za maji taka".