Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Pamoja na spining zako zote kwenye magazeti ya wahariri wasaka tonge lakini nikujuze tu kuwa kuanzia kesho 10-30/09/2014 ni siku ambazo historia ya Zitto Zuber Kabwe itafutwa rasmi ndani ya Chadema,

Ni siku ambazo lile joka lamdimu tulilokuwa tumelizimisha sasa tutaliua kabisa,

Ushauri wangu kwako muasisi na mkurugenzi wa kampuni ya upatu ya ACT ni kuwa jitahidi kutembea na kadi yetu kwani mda wowote tutaka uturudishie, ukigoma kutuletea tutaifuta hata ikiwa umeichimbia sanukuni kule Mwandiga.

Ni hayo tu mkuu, akufaaye kwa dhiki ndie rafiki wa kweli.

Ishukuriwe mahakama kwakuhifadhi wahalifu wa kisiasa,

Unajishushia hadhi Yericko
 
Zitto yupo na ataendelea kuwepo,kamwe huwezi kumfananisha na takataka yeyote ndan ya saccoss ya Dj na Babu!
Where is he now...??? Hahahahaha.....Mbona anaomba poo.....Hahahaha.....Kwa taarifa yako Zitto ni takataka jalalani..
 
Labda atakuja kuwa mwenyekiti wa kikundi chenu cha upatu cha ACT

Tatizo wewe hupigi kura, huna hadhi ya kuwa mjumbe wa baraza kuu,, wewe nafasi yako ni upishi na ufagizi ufipa. Wajumbe ndio watampigia kura Kansas.
 
Back
Top Bottom